Kuna watu wanaamini kuwa ndani ya mfumo ndo kuna msuguano, akina Polepole wametangulizwa tu na kundi flani ndani ya mfumo.Mkuu no one can beat the system this is the harsh reality ambayo hata wapinzani wame-realise. So Polepole,Kabudi,Bashiru, and the likes are heading to the political oblivion come 2025.
Funzo ni kwamba ukiingia kwenye system tengeneza mazingira mazuri yaani golden parachute Ili siku uking'olewa uwe na uwezo wa kutua mahali salama. Till then hakuna atakayeweza kupambana na system na akashinda.
Kuna watu wanaamini kuwa ndani ya mfumo ndo kuna msuguano, akina Polepole wametangulizwa tu na kundi flani ndani ya mfumo.
Hii nchi hakuna mwenye nguvu kuliko mwenyekiti wa CCM so hakuna wa kumpinga labda wamuue ila kisiasa hakuna anayewaza pambana na mmiliki wa jeshi utafanyiwa surveillance na ujasusi mpaka upotezwe kisiasa.Kuna watu wanaamini kuwa ndani ya mfumo ndo kuna msuguano, akina Polepole wametangulizwa tu na kundi flani ndani ya mfumo.
Kwa Jk si tuliambiwa hivi hivi Hadi ccj ikaanzishwa ila ikawaje? Same to enzi za JPM tukaambiwa CCM imepasuka ila mwishowe Kinana na January wakaomba msamaha kwa goti.Sio kuamini tu kuna uhalisia pia. Mfumo huzalisha mfumo na mfumo huufisha mfumo
Currently JK anayo hiyo nguvu., huko nyuma (wakati wa Mwinyi na Mkapa) alikuwepo Nyerere.Hii nchi hakuna mwenye nguvu kuliko mwenyekiti wa CCM so hakuna wa kumpinga labda wamuue ila kisiasa hakuna anayewaza pambana na mmiliki wa jeshi utafanyiwa surveillance na ujasusi mpaka upotezwe kisiasa.
Kuandika unapuyanga hiviNyie humu ndani acha kupeana story za vijiweni hiv kweli hii tooic yenu iwanyime usingizini na wao wanawaangalien wanashindwa kumbana max aifute hiv mnajua ishu za kuketa taharuki au usalama wa nchi mnadhani mtachekewa na hiz story zenu nyie hamuijui tanzania
Na wakati wa Bt na Chuma, mkapa ndio alikuwa na HIYO NGUVU pia!Currently JK anayo hiyo nguvu., huko nyuma (wakati wa Mwinyi na Mkapa) alikuwepo Nyerere.
MkuuMko kimya sana hapa. Kulikoni?
Kweli kabisa mkuu.Wewe Nani kakudanganya Jambo kama hili anaweza kufanya MTU mmoja?yaani taarifa kama hizi awe nayo MTU mmoja tumia akili.hiki ni kikundi cha watu.
Karibu Samurai,Katibu mkuu white house...
Katibu mkuu kiongozi...
hahahahaha.... akili ni nywele..