Dark days 17/03/20...

Inauma sana
 
Dah fucking game
 
Malipo ni hapa hapa
 
Asee, siasa chafu sana....
 
Wapi George W. Bush? Au zile damu alizomwaga hazikuwa za binadamu!?
 
Jibu liko hapo mwisho na nadhani Yoga kalielezea.

Mchwa hawaangushi mti in oneday, ni kapulosesi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] daahh nacheka kama mazuri huyo Mzee wa ukweli na uwazi siangekaa kando tu ,mtu alikuwa amesha zeeka but still anajitakia mabalaa ona Sasa kilicho mkuta ,[emoji848][emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji30][emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…