Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sanaDeep informal alielewa his assignmen well! Alijua jinsi the big boss anapendwa kutukuzwa so he ensured that kumtukuza is done 100 %[emoji1]
So kulikuwa na meeting kati ya the new boss na the old old boss, hii meeting ilikuwa inahusu tender ya invester mmoja mgeni toka west africa kutumia moja ya plots za kampuni kuwekeza kwenye kampuni kama bond ya uwekezaji wake!
This man from west africa alikuja alone with his private jet na assistant wake mmoja tu kunegotiate the deal! Aliitaka hii plot since iko sehem mzuri na inapotential kwa biashara yake ya saruji [emoji23]
Hii plot ili wahi kuchukuliwa na CEO wa 2010 - 2015 kutoka kwa CEO wa 2000 - 2005 tena in bard terms! So the meeting ilikuwa kwanza kurudisha ownership ya plot hiyo kwa the old CEO wa 2000 - 2005 then yeye ndio asign deal na tajiri from west africa kitu kilicho mkera sana the CEO of 2010 to 2015! Maana plot hiyo aliifanya kama yake!
So wakati meeting preparation zinaendelea our deep informal kumbuka yeye ndio planner wa event yote pale headqutors! Alichofanya katika zile protocal za kupokea wageni moja ya askari aliwekwa ndani specific kuhakikisha when The old CEO atakapo fika headquators basi anatimiza wajib wake
Huyu askari alikuwa na kitu inaitwa polonium 210, hii kitu huwa inatiwa kidogo tu kwenye chai, water or juice na always humuondoa mtu in between 25 to 30 days since amepewa! The guy anderstood the asignment!
The old CEO loved coffee, nahapo ndio nyudo ilipo pigiwa! So wakiwa wanamsubiri tajiri from west africa, agent anatimiza kazi yake. Mkutano baadae unakwenda vizuri, makubaliano yanakamilika na kinachobaki nikutia siganture tu!
Sasa bwana......., the old CEO katoka vizuri headquators six days after the meeting akaanza kutokujiskia vizuri[emoji22] akampigia simu kijana wake kumwambia toka ametoka hapo makao makuu he was not fine!! Kijana akaamua kumpeleka hospitali for full check up.
The doctor alifanya checkup was one of the secret agent kwenye cycle ya CEO wa 2010 - 2015 dawa za hapa na pale kuchengesha muda tuuuuuu, stage two hiyoooo ikaingia things got sereous, after 16 days he was no more![emoji22]
One man down ......one man down........... I repeat one man down........... !!!!!
New boss could not suspect enything since tukio limechezwa kwake na anapaamini 100% so he trusted doctors reports kumbe something big was on the way!!
Kwenye target board one mtoa kibri kwa our new CEO has gone! few to come!! These guys bana walikua sereous na jambo lao [emoji23][emoji23][emoji23]
New boss kwakuwa aliyemtoka ni mentour wake, na alisha kuwa CEO wa kampuni kama yeye, so alitaka mazishi makubwa, mazuri na ya heshima kumuenzi boss wake wazamani! So he called the his planner, kumbuka planner ndio deep informal!
After the successfullnes of the first mission now comes the second mission!!
Ukiskia kuuna ndege wawili au zaidi kwa jiwe moja ndio hii sasa!
Deep infomal akachora ramani zoote za remained target watako fika mazishini nyumbani kwa the late CEO. Ramani ikatua kwa the KING MAKER, vijana waka kaaa na kusuka the whole plan!
Targets kweli wakaenda ispokuwa mmoja tu. kilicho wakuta huko hao wengine no one noticed, baada ya kurudi, mmoja baada ya mwingine nikurudisha jezi kwa kipa[emoji23][emoji23][emoji23]
Now the new boss felt something un usual was goin on!! But it was tooooooooo late![emoji2957][emoji22]
Kashtuka he is alone,
Unamjua aliye baki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......
Nakuja..... Nalala kwanza ........
So tarehe ikapangwa, mwenyekiti akapewa feed back, preparation zikaanza kufanyika kuelekea kwenye meeting husika!! This is huge!!
The old CEO was very happy kuskia habari hii njema! Since heplaned all this all the way along!! akawaachia kazi vijana wake wamalize mchezo!
Unamkumbuka kijana aliyepewa kazi yakumfanya mwenyekiti wa kampuni pinzani aombe meeting na the targeted CEO[emoji57][emoji57]
Huyu ni assistant wa mwenyekiti, lakini kimuundo nikama anaushawishi mkubwa sana ndani ya kampuni husika!! Iinspite of him kuwa assistant anaambition ya kuwa owner pia wa kampuni hii!!
So he wantend to play the game well ili at the end of the day achukue uskani!! Huyu aliwahi kuwa kwenye kampuni flani ambayo ni very big company mshindani mkuu zaid wa existing company ya the targeted big boss CEO!
Alifukuzwa Kwenye kampuni hiyo kwa kusnich taarifa za kampuni husika akiwa na lengo hilo hilo ambalo analitaka sasa! Kupindua uongozi[emoji849][emoji57][emoji57]
So the old CEO used him that time, na he was using him in the moment!!
Baada ya kutoa taarifa kwa the old CEO alipokea notification haraka kutoka kwa vijana wa the old CEO afike moja ya hotel kubwa ufukweni mwa bahari kwa maelekezo zaid!
One thing the old CEO was good at , ni kuplay the game all along without being noticed!! You know why and how!! He is a well trained spy and a mafia kitambo sanaaaaaaa!! And he has connections[emoji51][emoji51][emoji30][emoji30][emoji30]
So kwa kijana mtumiwa the Funny thing is, alijua yeye anashiriki kama mtoa taarifa kumbe jamani! [emoji13][emoji13][emoji13] He was the one setting the trap without knowing!!
Kijana akaenda kwenye meeting kama notification alivyomwelekeza! he met one of the guys from the other team, akamwambia kwenye hiyo meeting kuna hiz documents mpatie mwenyekiti wako hizo ndio akazipresent kwa the CEO!
Akaambiwa if these docent will be well received, na biashara kufanyika, we apromiising you a best possition in the company!!
Kijana aka smile akazipokea documents zile with exitemt. Ali dream of his position since at the moment ni mtu tu mwenye ushawishi in the company but hana maslahi ya kueleweka
Document zilikuwa zinaonyesha mapendekezo ya how wanaweza fanya joint hizo za kibiashara, kulikuwa na document za aina mbili, one ni bundle of summary ya the whole joint venture, na bundle la pili zilikuwa ni well detailed expalanations on how these two companies may unite and work together and have huge profit in the future!!
So kijana akapewa a litlle bit presentation ya kilichomo mule ili nayeye akatoe presentation kwa mwenyekiti, ingawa pia mwenyekiti alikuwa na prepared issues zake za kumwambia CEO
So he took the documents in bags, nakala mbili, one for them na nyingine ni refernece kwa CEO zikiwa seald!
Kijana aliondoka and He went and present the whole issue kwa mwenyekit! Ile presentation ilimgusa sana mwenyekiti nakumsifia sanaaaa kijana kwa good preparation and presentation!!
Funny thing hakujua muandaaji wa documents zile sio huyo kijana[emoji12]
Tarehe ikafika mwenyekiti na team yake waka chukua flight mpaka nyumbani kwa the boss! Wakapitia protocal zoote na wakawa veryfied kuonana na the CEO maana ulinzi ulikuwa mkali balaaa!! [emoji849][emoji849][emoji849]
So ikafika chance these two wakakutana!! Wakaongea for almost four hours, mwenyekiti akamkabidhi nakala ya documents CEO zille seald akamsihi azisome!! Kama kuna sehemu hakuelewa kupitia document zile kuna a very good detailed expalnation ataelewa!!
The meeting was very succesfull!! Kila upande ulitoka na statement ya furaha!! The future was bright[emoji849][emoji849][emoji849] kumbe the future was dark!![emoji12][emoji12]
So mwenyekiti alibaki na nakala zake and CEO alibaki pia na nakala zake!! Wakati mwenyekiti anarudi, akaamua apitie document zile hasa zile zenye detailed explanation!! Boss akawa anajisomea taratibu.
kafika town vizuri tu!! Ila within two weeks!! Hali ikabadilika! He was Rushed to the hospital but in few days majonziiiiiiii! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
The news came back to the CEO, he was shoked mbaya sana!!
Aksed him self how?? Mbona hii kama ile ya wanzo?? he felt vita imemfuata kwake!! Aliandaa statement ya kuguswa na ondoko la mwenyekiti but deep down akaona huu sasa ujinga huu!! He decided kutoka kwake na kurudi town ili aanzishe mashabulizi mwenyewe sasa[emoji51][emoji51][emoji51]
So akawasha gari zake from his home to town, njiani anajiandaa kwenda akapata wazo la kuchukua zile documents alizopewa na mwenyekiti azipitie ili akifika town kwa kujali uhusiano mwema awaite representatives wa kampuni hiyo awape pole na wafikie terms[emoji22][emoji22]
He oppened the documents na kuzipitia pitia mdogo mdogo! But also decided to call kijana wake ampe updates on what is goin on!! Kijana akamsihi boss usije kwanza mambo sio mambo!!
Boss akasema nooo!! Am coming!! I will run the whole opration myself kama umeshindwa!!
Kafika mjini salama!! chakwanza akamuita deep informal!! Akamtuma amuite the old CEO wazungumze!!
Baadae Akamwita kijana wake, akamwambia a trace the phone calls za huyu (deep informal) kwakuwa amempa maelekezo amuite old CEO akitaka amtume akamwakilishe kwenye summit flan ya all companies nje ya nchi!!
Alitaka kujua wataongea nini kwenye simu hizo!! So wakaprepare vijana kufanya ya fuatayo
Mosi :- kutrace movements za informal
Pili :- kurecord all convos!!
Kumbe time was not on their side!! These peope were very smart and carefully!! waliweza kujua plan za team B mapema na kuchukua tahadhari!!
Two days zikakata wthout hard evedence, the ol CEO akachenga kuwa anashida ya kifamilia but atafika soon!! One week ikawa imekata harakati zikiendelea,
Sasa bwana CEO chest pain zikaanza[emoji22][emoji44][emoji44][emoji44] na ganzi flani hivi zisizo eleweka throught his body especially upande wakushoto!! Akalalamika lalamika kwa mwandani wake wakashauriana!!
Akamuita dactari wake, (yule daktari aliye shughulika na kipenzi chake three monthes ago[emoji857]) The doctor after reciving a call from the CEO!! he knew picha limeanza!! So he notified the old CEO. The old CEO called his team!! And said "the first symptoms have begun, stage three should be initiated"
Bwana bwanaaaa!! Mpango wa smooth transfer of power ukaanza!! Since they all know what they have done so far and what is about to go down.................[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Deep Informal akapigiwa simu! "You need to get out of the company from today, find any activitiy ukafanye out of the company hakikisha haupo hapo kwenye kampuni kwa siku kadhaa until we tell you so! [emoji849][emoji849]
The CEO is now sick!! ........
The deep informal is told to stay out!...
Kwanini??, Docta naye je ......
Best and sad part....... Badae!!
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
Malipo ni hapa hapaUgonjwa wa CEO ukaanza kuwa sereous, maumivu makali sana upande wa kushoto, kwenye kifua mbavu pamoja na ganzi mwilini!
Doctor akasuggest baadhi ya vipimo kwa CEO japokuwa muda mwingi alikuwa akimwambia huu ni uchovu tu, hali itakaa sawa na akawa anampa dawa za michongo!!
Kumbuka this man was higly trusted by the CEO, hakufikiria wala kuwaza kwamba he can betray him!!
CEO akaendelea kutumia dawa hizo za mchongo, ambazo in one way or another zilikuwa zikimpa outside phyisical finess ila ndani ya mwili kuna lot of slow death activities zinaendelea
Wakati haya yanaendelea the old CEO alitumia muda huo kuwa na kikao na afisa usalma mkuu wa kampuni, mwanasheria mkuu wa kampuni na baadhi ya important board members kujua namna kampuni inapaswa kuendelea!!
The sick CEO baada ya kupata taarifa hiyo, alichukia sana, yuko kitandani he isnt okey then anaskia kuna meetings zinaendela kuhusu hatma yake!!
Akakumbuka since amerudi hakuwa na secretary!! Anaamua kumteua secretary mpya kuonyesha kuwa yeye bado ni CEO na ana run the company!!
The old CEO wakati huo akiwa na team yake wao walishaanza kueneza speculation kuwa the CEO is sick na hajiwezi!! Wali wa involve a lot of people na media kuneza habari hiyo!!
hii nayo ili msukuma the new CEO kutaka kuonekana public akifanya kazi! So aliona akionekana akiwa na secretary ataweza kuwaprove watu wrong!! Na ni mda sasa haonekani public
doctor new the secret!! CEO alifosi kutoka medical room baada ya kumaliza drip yake ya tatu na akaja direct kwenye press kavalia suti yake akijitahidi kujionesha mkakamavu!!kumbe Hakuwa sawa!! He was forcing aonekane sawa!!
Kwenye press alisalimia tu then akampa nafasi secretary azungumze baada ya hapo it was the last day for the man to be seen in public
After the press nikama tatizo lilizidi, alizungumza zungumza pale na some company staff then he was rushed to the medical room, after one hour akawa kama amepoteza fahamu! And was taken to a hopital
What happened??
Iko hivi.... One day baada ya kukubali kukutana na the late mwenyekiti, a sereous meeting ilikuwa ikindelea in one of the base ya the old CEO!
Decitions were to be made on how the CEO will be terminated! And what will happen after his termination!!
Hili suala lilikuwa zito sana! stage hii sasa iligusa a group of whom call themselves "deep company obsevers" hawa ni ex - leaders of the company! Their chair man ndio the old CEO
Ni group la watu ambao wanamaslahi makubwa sana kwenye kampuni! Miradi mingi sana ya kampuni tenders ni zao!! Hakuna tender au uwekezaji ndani ya kampuni ambao behind the scene wao hawahusiki!!
These people includes native and non none native! Some living in the country and other outside the country!!
Alipojichanganya our new CEO ni kutaka kuvunja hii kitu na kutaka kurenew kila kitu alichokikuta!!
Muda mwingi Alicheza na public zaid ili apate sympath!! but kwa hawa elites mgogoro ulizidi kukua!! Na ulikuwa kutokana na tabia za CEO dhidi yao!! Ali block their opperations, take their money by force and threat them!! Aliwafanya atakavyo!! Baadhi walianza kumuogopa!
Hivyo after the meeting maamuzi yalifanywa kutumia powder inaitwa NSP, hii ni modified polonium 210! Hii inauwezo wa kucheza na mtu kwa more than 80 to 90 days since awe contacted with!!
Hii inamuondoa mtu taaaratibu!! Na ni very thin to be seen with neked eyes!! Ina sifa ya kushambulia moyo, mapafu na ubongo very slowly dependimg na health status ya mhusika until total death!!
Hii ndio iliwekwa kwenye zile seald documents, documents alizozisoma mwenyekiti akiwa wa kwanza akitoka kwa CEO na pia DOCUMENTS alizokuja kuzisoma our CEO Kama nakala kutoka kwa mwenyekiti
Taraatibu powder hii ilikuwa ikiwatafuna daily bila kufahamu!! Dalili zilijionyesha mapema hata kwa CEO but hakuchukulia serous sana
hali ya CEO ilibadilika sanaaaa baada ya press, hakuwa anajitambua! his condition was getting worse!!
Doctor akapenyeza info kwa the OLD CEO, kuwa huyu safari ndio imewadia, team ya old CEO ikapenyeza taarifa hiyo kwa mmoja wa viongozi wa kampuni nyingine shindani, kiongozi huyo akaenda kwenye social medias akapost tangazo la pole kufuatia kifo cha the new CEO. He did that for popurality na uhasama dhidi yake na the dying CEO[emoji850][emoji26]
Booom!! Habari ikatua kwa jamii na wafanyakazi,
Watu wakataka msemaji wa kampuni atoe ufafanuzi! Athibitishe taarifa ile!!
[emoji57]Jamaa akatoka akasema the guy is fine and well!! Na yuko ofisini anaendelea na kazi! Na akasikia akisema msipende kusikiliza speculations[emoji16][emoji16][emoji16]
After 15 hours of suffering, pain na near death experience, majira ya saa tisa za usiku, the CEO woke up!! Ilikuwa ghafla!! The doctor was called immedietly, then a litle check up on him was done, kisha his wife, son and doughter were also called to see their farher!!
He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! His wife came close and hold his left hand, his son and doughter also came and stood behind their mother! They both in tears, watching their very sick father! then slowly He closed his eyes!
A moment of silence ....................
the machine stoped bping!! Daktari na manesi haraka wakaingia, wakawatoa nje mama na watoto, walijaribu kufanya evrything they can but the CEO WAS NO MORE the suffering came to an end!
The doctor pronounced him dead!! [emoji849][emoji849][emoji26][emoji26][emoji24][emoji24][emoji24]
TARGET DOWN! ...... I REPEAT TARGET DOWN............. our CEO is DEAD!!
Kume kucha ....... kume kucha ........
Team yake na CEO were in shork! Hawakuamini! They decided to play dirty baada ya kusikia their CEO is dead! Team ikamuweka chini ya ulinzi dactari! Ika mwambia hakuna kutoa taarifa hiyo popote na kwa yeyote kwa sababu za kiusalama!!
Kiongozi wa team akawasiliana na new secretary, akamtaarifu, they need money!! And they need it very fast! Akamwambia sababu kwanza aliye kuteua is no longer alive! Pili una mda mchache sana toka upewe huo usecreatary guarantee ya kubaki kwenye hiyo pisition ni verry low!!
Akamwambia; assistant wa CEO kiutaratibu ndio anapaswa kuwa CEO but hafit in that position, we need money to sedduce all seccurity aggences ndani ya kampuni kumkataa huyu assistant!!
ishu hii itakwenda kwa board members!! So we need kujipanga with good balance we can select our own CEO distribute some cash and we have people kule kwenye board, then our own guy atakuwa selected and wewe unaremain in your position as secretary!!
Secretary akawasiliana chap kwa haraka na mhasibu mkuu wa kampuni! Akamdirect kutoa kiasi cha pesa kutoka accout kuu na kiwekwe kwenye account ya mmoja wa team ya the dead CEO haraka iwezekanavyo!!
Sasa kumbuka daktari alikuwa na mawasiliano mazuri tu na ya siri na the old CEO, akafanikisha kumpenyezea taarifa ameshikiliwa na team ya CEO na CEO tayari is no more!! Na huku mazito yanaendelea!!
Team hii ikiongozana na yule bwana mdogo ilikiwa inajua Assistant wa CEO sasa ndio anakuja kuwa kuwa the CEO, it was a nightmare to them! Hawakutaka kusikia maana wanataarifa kuwa yule ni mtu ni wa the old CEO maslahi yao yanakwenda kufutika!
Mchakato ukaendela kwa wao kuzuia tangazo la kifo na wakaanza harakati za kuhakikisha anawekwa mtu wao!! siku tatu zinakatika toka CEO awe dead!! purukushani zinandelea!! Raia wanahoji where is the CEO??
Mzee wa connection Tayari alikuwa keshajipanga!
Alijua haya yatatokea na alishaandaaa plan nzima!! Wakawasiliana na afisa usalama wa kampuni kudeploy stage four ya mission nzima kwanza nikucleanup the mess!
Wakamkamata kwanza dogo kiongozi wa timu ya the ded CEO na members wengine woote wakawatia kizuizini!!
Secretary[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] akafuatwa, chap kidogo akawekwa chini ya uangalizi, maajabu aliyemfuata na kumkamata ni kijana wahapo hapo company house na ana mjua kila siku, na nimiongoni mwa walio pata fungu [emoji23][emoji23][emoji23]
You remeber our deep informal?? akapigiwa simu! Akaambiwa anahitajika haraka sana DSM arudi!
"Uko wapi? Niko .....,! Haya hapo hapo ulipo leo usiku kuna watu wanakuja na kuna waandishi wa habari watakuwa na hao vijana! The CEO is gone wewe ndio unachukua jukumu! So kuna kijana ana speech soma kama ilivyo!! asubuhi itakubidi ufike DSM haraka sana toa ushirikiano wako "
Simu hiyo ilipigwa saaa tisa za mchana!! Akiwa na walinzi wake, nusu saa tu baada ya mazungumzo hayo kundi lingine la walinzi linaongezeka pale ndani!! Iina kuja na full convoy with protection
wanashuka vijana na wanaongea na walinzi wa mhusika then wanaingia kumuona mhusika!!
wanambrief sasa sereously on the death of the CEO then wanaandaa press na wanamuistruct kuwa taarifa hii ina bidi isomwe saa usiku, why sababu za kiusalama! Huyu ni CEO, anawafuasi anything can happen nibora press iwe usiku kuliko jioni hii!!
So mhusika anakubari anasubiri usiku mnene, woga ni mwingi! The so called a plan now imekuwa reality l![emoji41][emoji41] Anapaswa sasa ku anouce the death of the CEO and become the CEO
waandishi wao, nao walikuwa wako prepared!
Time came!! then anaapear on the screeen!!
Breaking news......
"Nasikitika kutangaza kifo cha CEO kilicho tokea leo(realy leo????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]) , CEO wetu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya ........"
---
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
Hivi tarehe 01/04 huwa ni sikukuu ya kitu gani? Usijekuwa ndivyo umemaanisha halafu ukatuacha gizani!!!Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
Asee, siasa chafu sana....Moja ya vitu vya ajabu na famous sana kufanywa na the late CEO ni attempt assasnation ya moja ya wapingaji wake wakuu!! Kulikuwa na jamaa mmoja mtata sana! Huyu jamaa alikuwa one of the best katika harakati zake zakupinga mambo ya the late CEO!!
Alijua kumzungumzia mtu kwa evidence, facts na sometimes alimtaja kabisa muhusika aliyekuwa kwenye mgogoro naye tena hadharani bila woga wala kupepesa macho!!
Haikuwa bure!! He had back up!! Hizo facts, evidence hazikujitokeza tuuu! Alipewa na alipewa na watu ndani ya kampuni under the director of MR Born town!!!
Iko hivi, the late CEO alipoingia madarakani alikuwa na hasira na udhalilishaji aliofanyiwa during the process of his selection to be the CEO, kuna kundi liliopasuka kutoka kwa MR born town likipinga maamuzi yake! lilitoka wazi wazi kumpinga na kumkataaa huyu the late CEO! Waliandaa mpaka press yaaani! [emoji847]
Na hili kundi ndio hilo today bado hariliziki na maamuzi ya Mr born town[emoji23] na harakati zao bado zinaendelea
So mr born town alifight mpaka jamaa akawa the CEO, alijua hiyo ni tiket ya yeye kulindwa na bwana mdogo! Jamaa alipokabidhiwa tu rungu alianza kudeal nalile kundi liliomkataa hadharani during the process ya kumteua CEO na alishughulikanalo kweli kweli,
Sasa kuwashughulikia huko kukapitiliza mpaka kwa Mr born town! Katika kumpunguza makali mr born town alimtumia kijana huyu anayejulikana kwa misimamo kuibua hoja mbalimbali na kali dhidi ya the dead CEO
Kijana alikuwa hana break[emoji23][emoji23][emoji23] alimtibua na kumchanganya kweli kweli the late CEO[emoji28][emoji28] kulikuwa na ishu ya kampuni kuwekeza kwenye madini, late CEO aliuona mkataba baina ya kampuni yake na kampuni nyeza mkataba huo wa madini haukuwa sawa!! Na deep down alijua kuwa mr born town ana parcentage zake pale kila mwezi kutokana na mkataba
Aliamua kuufumua mkataba na kutaka terms mpya!! Alifanikiwa kuwatight hawa jamaa kiubabe sana. Kwa kuwa hakufuata utaratibu, kwenye kuuvunja mkataba, kijana akawasiliana na hawa kampuni ya pembeni akawaambia huyu amevunja mkataba, mnaweza mpeleka mahakamani na mkapata fidia!!
Na akiwalipa fidia maanayake amefanya maamuzi ya hovyo akiwa ofisini hivyo kitendo cha kuwalipa nyie fidia ni kuipa kampuni hasara! so hafai kuendelea kuwa CEO[emoji1787][emoji1787]
Saa Sio kwamba wao hao jamaa walikuwa hawajui kuwa jamaa kavunja mkataba kimakosa ila kwakuwa wao niwageni na niwawekezaji walijua kabisa kwamba bwana mkubwa kavunja mkataba ila kwakuwa alishika mpini hawakuwa na namna!
Jamaa aliwahakikishia ushindi, maana behind the scene the big done mwenyewe ashapanga connection zake!!
Jamaa msema sanaa akatoka akaanza kueneza habari hiyo kwa wafanyakazi na public! So waliokuwa na investments zao wakapatwa na mashaka sana. Ikabidi the late CEO aitishe press akiwa na team yake kuelezea upande wake!! And he was good!
Aliweza kuwaaaminisha watu kuwa kijana msema sana was wrong and he was right! Na akaapa kuwashughulia wasaliti wooote ndani na nje ya kampuni hasa wanao kwamisha jitihada zake!
Hiz taarifa zilimuudhi sana late CEO, aliwaita vijana wake waanze kumtrace huyu jamaa!! Moja ya vijana aliotaka wawe includeded ili awe anampata updates daily ni huyu branch manger wa makao makuu alipokuwa anaishi yeye the late CEO!!
Mr late CEO alimwamini sana huyu dogo, dogo alijikuta tu ni branch manager ila hana uzoefu wala expossure ya kutosha kwenye nafasi hiyo!! Alionekana mjanja kwa washamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo alikuwa msumbufu sana kwa wafanyakazi wenzake!!
So alipopewa kazi ya kusimamia task hii kama kawaida yake alimess up!, mr born town akacheza kama pele, maana taarifa alikuwa nayo!! So alipenyeza watu wake in that task force!!
waliandaa mission, but this time late CEO alicheza kama pele pia! Walioandaliwa kwenye kikosi kazi sio waliokwenda kuifanya kazi!! Alifanya hivyo ili kum blind mr BORN TOWN !
Yaani few days befor the mission alichukua vijana wengine kabisa tofauti na mr born town alivyo jua
kikosi kazi kikatumwa kutoka town mpaka eneo kijana msema sana alikuwa anaishi kwa muda! Lakini before kwenda tayari walikuwa wameshaanza kurekodi mazungumzo yake yote! Walikuwa wakimtrace kwa kutumia simu kujua movement zake zoote!!
Mr born town kupitia plantend agents wake wale wa kwanza ndani ya kikosi kazi cha kwannza aliwahi kumnotfy kijana kuwa he is on target awe mwangalifu!
Kijana akaenda pulic akatangaza kuwa the late CEO anamtishia maisha akafumuka mbaya mbele za watu!! Baada ya pale the CEO said enough is enough!!
so jamaa alikuwa anatoka zake kwenye meeting nyuma kulikuwa na gari moja white saloon, ndani kulikuwa na watu wili, dereva na kijana mmoja msaidizi wa branch manager makao makuu! [emoji41]
Gari ilikuwa ikiifuata nyuma gari aliyokuwemo kijana msema sana[emoji1787][emoji1787] so dereva wakijana through side mirrors, aliinotice ile gari!
Akakaa kwanza kimya kuthibitisha kwanza kama kweli ile gari inawafuata!
Akaanza kukata kona zisizo na tija, ile gari ikaendelea tu kuwa nyuma yao! kijana msema sana ikabidi aulize huku tunakwenda wapi, dereva akamtonya kijana, kuna gari iyohapo nyuma inatufuata mda mrefu sana!
Kijana msema sana akashtuka akaangalia kwenye side mirror ya upande wake akiona ile gari!
Kijana akamwambia hemu twende nyumbani pale kuna ulinzi na security camera, lakini pia ni rahisi kupata msaada sababu nimakazi ya watu potential! Ulinzi ni masaa 24!
So Wakaanza kufata uelekeo wa nyumbani kwake, ile gari iliwafuata kama 10 minutes hivi then ikawa imepotea
Kumbe dereva na yule kijana ndani waliamua kuwaacha sabu washasoma uelekeo gari inako kwenda! walitoa taarifa kwa kikosi kazi kilichokuwa karibu na makazi ya kijana, kuwa kijana anaelekea upande wao so waendelee!
Haraka sana vijana wakikosi kazi Walitoka pale ndani na gari mbili aina ya land cruser nyeusi, wakatega eneo kuisubiri gari ya kijana karibu na makazi yake,
ile nyingine iliingia ndani ya makazi moja kwa moja ikawashusha vijana wawili nakuondoka! Hawa wawili walifika mapema kabla ya kijana msema sana kufika! Kazi yao ilikuwa ku clear the enviroment! Walichofanya ni kuwaondoa wale askari pale getini! Baada ya boss wawale walinzi kuwa oder wafuate maelekezo ya hao watu wa wili baada ya kuwapigia simu! Oia kutemper na CCTV cameras[emoji23][emoji23]
Kijana akiwa na dereva wake walipofika tu karibu na nyumba, ile gari nyingine ikaunga kwa nyuma! Dereva aliinotice ile gari kwa haraka akamshtua kijana! kilichowashtua ni gari iko tinted full kioo cha mbele na waliipita ikiwa imepaki ghafla ilionekana iko nyuma yao!
Walienda mpaka getini, kwa kawaida walinzi wa getini hutoka kuuliza utambulisho na kumfungulia geti mgeni, but haikuwa hivyo palikuwa kimya na hakukuwa na mtu ispokuwa wale vijana wawili waliokuwa ndani ya makazi! mmoja akatoka akawa amesimama anaitazama ile gari ya kijana, geti bado halijafunguliwa gari iko silencer!
Ghafla mlio wa Break kali nyuma ya gari ulisikika, derva chap akamwambia kijana ustoke kwenye gari, aka lock milango yote ya gari kwandani! Mmoja wa vijana akashuka toka gari ya nyuma haraka sana! Akawahi mlango wa upande alio kaa kijana akauvuta ukagoma akarudi hatua nne nyuma, vijana wengine wawili wakashuka chap sanaaaa wakawa wanakoki silaa zao! Yule wakwanza akapiga risasi moja kwenye kioo cha bwana kijana!! wale vijana waliokuwa mbele nao wakazunguka wakaja wakajiunga na hawa watatu
Shuhuli ikaanza aisee
Zikaanza kurushwa risasi hovyo kuelekea kwenye gari ! Upande wakijana
Wakati huo kwenye hiyo gari ya hawa vijana branch manager, kijana wa CEO alikuwa akitazama showw showw!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati kijana msema sana na yeye alisha laza kiti kichwa kipo siti ya nyuma kiwiliwil ndio kipo saana kwa mbele!! So hakuwa boya! Wapigaji walijua jamaa bado ka kaaa! So walizitandika nyingi sana eneo hilo, derva alisha shuka akawa kajikinga upande wa mlango wa nyuma ambao risasi hazipigwi sana!!
Baada ya dakika kama tatu hiv jamaa wakatulia kimya wakaskilizia kama kuna movement zozote hawakuona ispokuwa damu(very local) ikichuruzika upande wa mlango wa target!! Badala ya kuhakikisha kama kijana msema sana ameficha moto branch manager mule ndani akawaambia waondoke haraka!!
vijana wote waliingia ndani ya gari haraka sana kisha gari ilianza kutokomea kama haina akili!! taarifa za tukio hilo zikaanza kusaambaa kwa kasi ya ajabu kwamba msema sana kapigwa risasi! Juhudi kadha wa kadha zikafanyika kwa uangalifu sana kunusuru maisha yake!!
Taarifa ikamfikia late CEO kuwa kijana bado yuko hai! Kapelekwa local hospital!! Akachefukwa sanaaaa akatoa order kijana aletwe mjini atamtibia mwenyewe chini ya uangaluzi wake wakati huo akawa amemnotify daktari wake kuwa ajiandae kumfanyia kazi maalum! Daktari akawa ameelewa anachokitaka CEO na huyu ndio yule daktari mtoa dawa za michongo CEO alipoanza kuumwa[emoji16][emoji16]
Daktari akampa tarifa mr born town kuwa huyo kijana akiletwa huku haponi! Mr born town akawanotify team ya kijana msema sana kuwa fanyeni mnavyoweza pelekeni huyo mtu nje ya nchi mkimpeleka town kwa bwana yule hapa haponi!! [emoji23]
Chap kwa haraka team ikajiorganise wakamtransfer jamaa kwenda nje!! The late CEO alikasirika sana hakujua hafanye nini but ilikulinda heshma yake akaenda mtandaoni akatoa pole kwa kijana[emoji1787][emoji1787]
Akachukua phone akamtwangia brach manager! Akamuuliza uko wapi? Kijana akasema hapa tunakaribia town boss!! CEO akakata simu, akatafakari akampigia mwenyekiti wa board ya kampuni!! Akamwambia zuia kibali cha huyo kijana kutoka nje!!
Mwenyekiti wabodi kwakuwa ni mtiifu na ni timu CEO kweli kweli akgoma kutoa kibali! Sasa hapo ndio utaijua nguvu ya the born town! The guy alichukua phone akampigia mfanya biashara mmoja mkubwa ambae pia nimemba wake kwenye tim yake lakini pia ni board member akamwambia akikisha unasuport kijana aende nje,.maana huyu ni karata yetu ya baadae!!
The business man kafuata maelekezo and kijana was lifted outside the country!! Akiwa huko the todays CEO ambaye alikuwa assistant wa the late CEO alikuwa akimjulia hali mara moja moja!! Hii ilijenga bond pia kati ya the today CEO na kijana msema sana!
Sasa baada yakufika dubai, CEO anatengenezewa time table ya namna atakavyo kutana na wageni mbali mbali! Kitu walifanya bana,.kwenye time table anaonekana CEO Atakutana na investors from doha!
So alichukuliwa mwarabu mmoja akaambiwa weee ndio utakuwa investor, then akawa na securty wake! Lengo nikuwa mwarabu akifika pale kuonana na CEO akiwa na securty wake binafsi miongoni mwao atakuwepo kijana wa CEO yaani kajipandikiza! Yote hii ni kumkwepa mr born town na connection zake!
Je nini kilizungumzwa ..........??[emoji23][emoji23]
Je lat CEO alimfanya nini BRANCH MANAGER [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
---
Muendelezo soma Dark days 17/03/20...
Wapi George W. Bush? Au zile damu alizomwaga hazikuwa za binadamu!?Mimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
Watu wanamchukulia kinyonge sana wengine wanasema aangushwe na new CEO.. Sawa ngoja tuoneThe best Mastermind ever to live in our country.
Fanya mema,haki bila upendeleo..Mbona badoo
Ukweli utakuja kujitenga na uwongo tuu..
R.I.P Dady hii Dunia haina mwenyewee wote watakufa na kuoza na kunuka kama mizoga ya Mbugani.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Jibu liko hapo mwisho na nadhani Yoga kalielezea.Tuendelee ila kabla ya kuendelea nambie , sote tunajua late CEO alikuwa smart sana ilikuwaje akamuamini branch manager kiasi hicho wataki tunajua branch manager ni kijana wa old CEO?
Pili the late CEO alikuwa na baba yake yaani alompigania kupata cheo ambae nae alikuwa ceo je ilikuwaje akaondoka kuelekea kwa muumba gafla?
Je ulikuwa ni mpango kuwa mtu hawezi muwajibisha mtoto baba yake bado akiwa hai?
Kama yeye alivyo oza baada yakutanguliza waliokuwa wanampinga.Mbona badoo
Ukweli utakuja kujitenga na uwongo tuu..
R.I.P Dady hii Dunia haina mwenyewee wote watakufa na kuoza na kunuka kama mizoga ya Mbugani.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hii siku 01/04 ni siku ya sikukuu ya............. Yogaaa unazingua sio.Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
[emoji16][emoji16][emoji16]Kijana:"mapenzi yataniua, Bora nimpende mamaangu"
Kumbe mamaake kijana nae hampendi kijana anapenda VICOBA [emoji23]
[emoji23][emoji23] hapana bwana andaaa popcornHii siku 01/04 ni siku ya sikukuu ya............. Yogaaa unazingua sio.
Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app