Kila mtu Ni mwema Sana akiwa Hana pesa Wala madaraka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sawa lakini Mbona kuna vitisho VYA CHINI chini VYA kumkatisha madaraka ya lady gaga!!??!!??kwani YEYE nae kakosea wapi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naona hii inahusu kule Zanzibar na mzee wa usitutishe huku Yule jamaa wa ujiji akiwa ndiye joint bila kujijua ,Something fishy.....was goin on,......
kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!
Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!
Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!
Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO
So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!
Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!![emoji848] Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!
Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........[emoji12]
Walitaka pate woga!!!!
Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!
[emoji16][emoji16][emoji16]Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini[emoji848])
The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison[emoji16][emoji23][emoji23] with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss![emoji38][emoji38] Kumbe anatengeneza a very nice trap[emoji23][emoji23]
So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake![emoji18][emoji18][emoji18]
The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo
Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!
So the boss took a flight [emoji3575] chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news[emoji16][emoji16][emoji16] akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!! [emoji38]
The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone[emoji3][emoji26][emoji26]
Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!?? [emoji849]
Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana [emoji57][emoji12][emoji12]
mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake [emoji849][emoji57][emoji57][emoji850]
So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara
Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........[emoji849][emoji26][emoji26]
So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene[emoji849][emoji848][emoji848]
What hapened to the deep informal.........[emoji16][emoji16][emoji16]
Muendelezo soma Dark days 17/03/20...
kumbuka the law of karma inafanya kazi hasa kwa late CEO, damu za akina [emoji3496]8, yule mwandishi na mr kuongea sana na wengineKwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli.
Ila Mimi maombi yangu ni tabasamu apigwe apigwe apigwe mpaka achakae.
vile vile ilikuwa ni halali the late CEO naye kurudishwa kuzimu sababu na yeye alifanya dhuluma ya uhai wa wengiKumbe late ceo alikuwa sawa kuua na kupiga risasi wanafiq wote. YULE ALIKUWA KIONGOZI TUMEZINGIRWA NA FISI NA MBWA.ni bora angeendelea kuwamaliza mmoja mmoja. SASA born town si atamuua kila atakaekwenda kinyume nae. Watu wetu wa usalama tuwatafutie jina lingine ni UCHAFU.
[emoji16][emoji16][emoji16] the informerOld CEO aliongea kitu ambacho kilinistua sana "baada ya kusoma habari kwa bwana yule (kigogo) kisha akatabasamu". Ina maana alikua anajua kila kitu kwasababu alikua mhusika mkuu na huyo macho malegevu, na yeye safari yake yaja.
Ulikuwa haujui ukiongoza nchi Ni kukaribia kifo , ukiongoza nchi Ni kukosa usingizi na kila Aina ya mabalaaKumbe kuongoza nchi ni kazi namna hii yaani unayemuanini ndio walewale
Ni mkali wa kutengeneza connection anajua kula n watu pia .. though apart from that amekulia ktk mazingira hayo so anaijua system in and outInaonekana old CEO Alikuwa na watu sana kule kitengo maana licha ya marehemu kufumua Ile safu ya juu lakn Bado aliyewateuwa walikuwa loyal kwa old CEO.
Eehhh mlamba asali halambi siku 1 Tena kaanza na movement kabisa [emoji16][emoji16][emoji16] patamu Sana ..ngoja movie liendeleeAliambiwa ashike kwa muda ikifika 25 aachie wenyewe, kanogewa anataka kuendelea
Tuendelee hayo haya epukiki Leta uhondo [emoji16][emoji16][emoji16]Jamani mnataja watu mie sijawataja [emoji16][emoji16][emoji16] please hii ni story tuuu wapendwa [emoji41][emoji16][emoji23][emoji28]
Ukiwaa Ambitious hupaswi kuogopa umauti ,kumbuka kwamba Kuna watu wanazaliwa kwaajili ya kuja kukamilisha Mambo magumu [emoji16][emoji16][emoji16]Mara nyengine ni kheri kuwa mtu wa kawaida, ukubwa na utukufu una gharama mbaya mnooooo!
Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na macho yake Kama vile amefika climaxT 2021
SSH
Tumia akili kashindikana ,mtu analeta utabiri wa Mambo yatakayo Kuja kutokea miaka 3 baadae [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Huyu Yoga na Tumiakili wote watakuwa watu wa kotengo hawa
Naomba nitag kwenye Uzi wa FDRSijui mkuu!!yoga anajua au Tumia akili !!lakini uzi wa FDR na zile last digit alizosisitiza ni kama Mwakani 2023 Hadi 2035 Ili tupate miaka 12 aliyoandika!!KWA mujibu wa my son's legacy!!ngoja Tuone!!!
Achana nae huyo kachelewa kuja mjini [emoji16][emoji16][emoji16]Hujui deep informer ni nani kwenye hadithi?
Hujui kijana msema sana?
Hujui old Ceo?
Nje ya simulizi umeshindwa kufungua code nyepesi baba mpambania democrasia alokuwa kabatini? Una umri gani?
Madereva [emoji16][emoji16][emoji16]Naomba kumjua branch Manager tafadhali maana wengine wote code zipo uchi
Haujui vyema siasa ilivyo huo achana nae ana kupotezea time, ktk siasa watu Wana salitiwa mpaka na wake Zao na watoto wa kuzaa, mwambie awe anasoma history vyema, kwani hajui kuwa Lumumba alisalitiwa na rafiki take wa karibu kabisa MobutuKama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.
Money the root of all Evil.
Simple tu Kama hakuwa target unaitwa unaambiwa stay away from our mission unapewa antibiotics unapona Kisha una kuwa appointed na cheo kikubwa maisha yanaendelea [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.
Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?
Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?
Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.
Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
Hakuwa target, so ilikuwa Kama anaonywa tu [emoji16][emoji16][emoji16]Sasa jamaa anajua ukweli waliotaka kumpeleka kuzimu ni kina nani, ikawaje tena akawekwa kwenye nafasi ambayo CEO akivuta anytime yeye ndio ana rungu, na atachagua ampige nani..
Hivi unahisi hilo rungu litatua kwa nani?
Au jamaa hakuwa target wakaona wamshughulikie ashinde umauti?
Tabasamu he's so so smart nigga , kuuangusha ule mbuyu wakati chain yake imerudi ktk system ni zaidi ya Vita , imagine ukali wa amelala yoooh na ulinzi wake ulivyokuwa then Waka muondoa ndio huyu macho kumchuzi ata muweza, thubutuu [emoji16]Kwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli.
Ila Mimi maombi yangu ni tabasamu apigwe apigwe apigwe mpaka achakae.
Ndio siasa ilivyo , but now we knew it a lot of stuff kwa sababu ya information tofauti na nyakati za ujingaKumbe haka kamchezo ka ku Araipiana kameanza Long Faka