Dark days 17/03/20...

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naona hii inahusu kule Zanzibar na mzee wa usitutishe huku Yule jamaa wa ujiji akiwa ndiye joint bila kujijua ,
 
Kwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli.

Ila Mimi maombi yangu ni tabasamu apigwe apigwe apigwe mpaka achakae.
kumbuka the law of karma inafanya kazi hasa kwa late CEO, damu za akina [emoji3496]8, yule mwandishi na mr kuongea sana na wengine

kwahiyo acha karma ifanye kazi
 
vile vile ilikuwa ni halali the late CEO naye kurudishwa kuzimu sababu na yeye alifanya dhuluma ya uhai wa wengi
 
Kama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.

Money the root of all Evil.
Haujui vyema siasa ilivyo huo achana nae ana kupotezea time, ktk siasa watu Wana salitiwa mpaka na wake Zao na watoto wa kuzaa, mwambie awe anasoma history vyema, kwani hajui kuwa Lumumba alisalitiwa na rafiki take wa karibu kabisa Mobutu
 
Simple tu Kama hakuwa target unaitwa unaambiwa stay away from our mission unapewa antibiotics unapona Kisha una kuwa appointed na cheo kikubwa maisha yanaendelea [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hakuwa target, so ilikuwa Kama anaonywa tu [emoji16][emoji16][emoji16]

Kiranga chote kikamuisha mamaeee
 
Kwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli.

Ila Mimi maombi yangu ni tabasamu apigwe apigwe apigwe mpaka achakae.
Tabasamu he's so so smart nigga , kuuangusha ule mbuyu wakati chain yake imerudi ktk system ni zaidi ya Vita , imagine ukali wa amelala yoooh na ulinzi wake ulivyokuwa then Waka muondoa ndio huyu macho kumchuzi ata muweza, thubutuu [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…