Dark days 17/03/20...

yaani pathetic, ukiyaona yanapokuwa majukwaani au makanisani/misikitini yanaongea mpaka mijasho inawatoka utafikiri ni binadamu kumbe mavi tu.
Sasa una mind Nini !? Wakati ndio mfumo wa siasa ulivyo nigga [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Katika siasa Hakuna ubaya Wala uzuri

Uzuri na ubaya wa kitu au Jambo it depends na upande utako kuwa umeegemea,

Siasa Ni zaidi ya laana
 
U cant that mpuuzi unless u are an idiot enough and blind to see your ego,eny and ignorance

That is a real patriot i ever witnessed in this country.

Others are there just to fill their rotten bells/stomach.
 
Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
Kwani mzee wa uwazi alikuwa anatafuta Nini !? Wakati umri ulikuwa umekwenda siangekubali tu kumuachia old CEO vile vitalu vya gesi ijapokuwa wali tapeliana , [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Lakini kwa kuwa kinacho zeeka Ni mwili na sio nafsi akakubali kusign contract na oligarchy wa Nigeria chini ya usimamizi wa late CEO ,, kilicho kuja kumkuta Sasa , [emoji16][emoji16][emoji16] [emoji119] I
 
Unapata picha gani kuwa the old CEO anakula sahani moja na kijana msema sana? Afu huku mitaani watu wanampigania kumbe yeye yala bata? Ukielewa hii simulizi ni upumbavu, hata mimi ningeondoa takataka.
Wewe aliye kuambia umuamini mwanasiasa Nani ,!? Usije thubutuu kufanya huo ujinga , kila victims wa siasa wapo kwaajili ya maslahi yao binafsi Asilimia 75 , Asilimia 25 kwa taifa
 
Naam ule utawala kwa upande wangu haukuwa utawala Bora kabisaaa ulijaa maumivu mnooo kwa watanzania Visasi vya wazi wazi na kupotezana haikuwa sawa
 
Kwa kweli Mambo Ni mengi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]

Imebidi niagize popcorn kabisa [emoji16]
 
Daah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.

Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Bila shaka jamaa.walikuwa haziivi ilikuwa ni piga ni kupige .

Waliishi kinafiki

"Maisha hayaendi bila unafiki"
 
Simple tu Kama hakuwa target unaitwa unaambiwa stay away from our mission unapewa antibiotics unapona Kisha una kuwa appointed na cheo kikubwa maisha yanaendelea [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Naomba kuuliza,hizo Antibiotics hao victims(target) hawazijui ili na wao wajinusuru?
 
Waandikiwa tumekubaliana na kila kitu.
 
Daah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.

Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
tawi la vidole viwili kwa walichokifanya ni sahihi kwa wakati huo

Kama kulikuwa na namna yoyote ile ya kumuangusha late CEO ilikuwa ni halali maana aliwafanyia maovu mengi mno

Njia yoyote ile ya kumuondoa kwangu naona ilikuwa halali
 
"Kichani" ndio nini? huko shule ulienda kusomea ujinga eee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…