Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
tawi la vidole viwili kwa walichokifanya ni sahihi kwa wakati huoDaah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.
Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
hapa mwenyewe nilibaki na maswali mengiMtoa mada kuna ishu niliisikia kuwa the late CEO mazishi yake yalikuwa na utata kidogo
Kwamba pale walipomaliza kuaga kabla jeneza lake halijashushwa kaburini alivishwa ngozi ya mnyama na inasemekana alizikwa na mkuki ndani ya jeneza lake
Kimila ikiwa na maana kwamba kama alifariki unnatural death yaani aliuwawa na watu basi kiroho huo mkuki utakuwa kama ishara ya revenge kwa wote waliohusika kumuua lazima yatawarudia kwa namna moja ama nyingine
Na ndiyo maana tukio la jeneza lake kushushwa kwenye kaburi halikuoneshwa live camera zikawa zinawaonesha tu waombolezaji
Je ni kweli hilo mtoa mada
Mbona badoo
Ukweli utakuja kujitenga na uwongo tuu..
R.I.P Dady hii Dunia haina mwenyewee wote watakufa na kuoza na kunuka kama mizoga ya Mbugani.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
na wewe ukiwemo [emoji1787]Mbususu ya ceo Alie kwenye kampuni ina utamu wake!ni sawa na ku do na kampuni nzima!!!
mkuu na mm naomba kama hutojalinakutumia dm
Kama unashindwa kung'amua vitu vidogo kama hivi bila shaka utakuwa ukienda shule kubaleheAndika ueleweke, mafumbo yanini? Awamu ya kuogopana imeenda na maji. Kuwa muwazi ueleweke. Unaandika mafumbo mpaka mwenyewe unajichanganya. Si weka wazi tu majina na lichokikusudia kuandika.
Shule zingine za Tanzania ni majanga, mitihani kuanzia chekechea mpaka sasa mtu mzima na shughuli zako, mitihani imekukaa kichani unatupa sisi mtihani. Hizo ndio shule za kusomea ujinga, mmefinyangwa-finyangwa na mitihani mpaka bongo zimejitia loki, Funguka.
Yule bata si wa kuachwa yule. Ni khatar sana dude lile.vile vile ilikuwa ni halali the late CEO naye kurudishwa kuzimu sababu na yeye alifanya dhuluma ya uhai wa wengi
Hii ni hadithi tu...Trust me!ujue hii story ita alert upande wa new CEO na watakua smart Sana Ili kumdhuru old CEO!!!na pia new CEO Anaweza KUTUMIA ushawishi wa kimaumbile na kimkakati akampa old CEO kwa kutoka nae out abroad halafu akam do polonium 210 aka die slowly!!!
muendelezo wa Kijiji cha Kolomije usiusahau tujue alichofanywa na CEOJe nini kilizungumzwa ..........??[emoji23][emoji23]
Je lat CEO alimfanya nini BRANCH MANAGER [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
---
Muendelezo soma Dark days 17/03/20...
Vyeti fake auNadhani baba yako hakujua kuwa DUNIAN tunapita na ndiyo maana alinidhulumu Haki zangu Kama mtumishi wa umma[emoji17][emoji17]
Umemaliza kila kitu mkuu [emoji1666]Naam ule utawala kwa upande wangu haukuwa utawala Bora kabisaaa ulijaa maumivu mnooo kwa watanzania Visasi vya wazi wazi na kupotezana haikuwa sawa
Kumbe upo!!Andika ueleweke, mafumbo yanini? Awamu ya kuogopana imeenda na maji. Kuwa muwazi ueleweke. Unaandika mafumbo mpaka mwenyewe unajichanganya. Si weka wazi tu majina na lichokikusudia kuandika.
Shule zingine za Tanzania ni majanga, mitihani kuanzia chekechea mpaka sasa mtu mzima na shughuli zako, mitihani imekukaa kichani unatupa sisi mtihani. Hizo ndio shule za kusomea ujinga, mmefinyangwa-finyangwa na mitihani mpaka bongo zimejitia loki, Funguka.
utamu njoo.uongo koleaHadithi hadithi
msaada na mm nitumie mkuuMkuu sorry kama ntakukwaza naomba unitumie yote na mimi dm maana tayari Kuna vipande huko nyuma walishavichomoa, kama hutojali lakini.
Acha uongo.! 'From barefoot student to President'.Ni mkali wa kutengeneza connection anajua kula n watu pia .. though apart from that amekulia ktk mazingira hayo so anaijua system in and out
Sasa simpaka wajue walicho fanyiwa !? Siumesoma mtiriliko wa story nzima hapo story inasema kwamba hata daktari wa late CEO alikuwa ni undercover, so it means alikuwa anajua kinacho mmaliza mkuu lakini hakumtibu kwakuwa alikuwa katika mission ,so late CEO angejuaje kuwa. Anapaswa kutumia antibiotics wakati daktari wake alimficha kuwa alikuwa poisonedNaomba kuuliza,hizo Antibiotics hao victims(target) hawazijui ili na wao wajinusuru?