Hata mie nampongeza kufanya maamuzi magumu mwendazake angetakiwa awale kichwa tu. Na ange crush enemy of state totally basiNadhani CEO kafanya maamuzi ambayo late CEO alishindwa kufanya. Yaani late CEO angekubali kufanyia kazi ushauri wa deep state wa kumuondoa BT haya yote yasingekuwepo yeye badala yake late CEO akaishia kuvujisha audio eti kuwa expose. Ila current CEO nampa pongezi na bado BT nadhani very soon atasafiri maana cha kwanza ni kijana wake kuondoshwa wizara ya land. Hata akina wale wanaojiita ma rope ataondoka. Ila current CEO ni genius sana.
baro kufuata maelekezo ni kipaji cha akili sana. Uzuri current CEO alijua kucheza na akili zao, kajifanya zoba wakamuamini na deep state wakawajua wote walioshiriki kumuua late CEO maana yake kazi ilishaisha kazi sasa ni kudondoshq mmoja baada ya mwingine, maana kama kaondoshwa huyu mbobezi je wengine wana ubavu??? Ila hakika deep state nawapongeza na kuanzia sasa nawaheshimu sana tena nimewavulia kofia maana hakuna aliyetegemea wataanza na dodo jamani.Hana huo u genius kilichopo ni yeye kufuata tu maelekezo
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Madaraka na vyeo yataondoka na wengi wallahMpaka mdosi anakufa yeye ndiye alikuwa mshauri wake mkuu.
Mengi yalkuwa nyuma ya pazia.
Ile kauli ya born T. Siku Ile kusema "Mambo yaharibike Sanaa"
Wananzengo wakaingia site.
Issue ya musiba na kifo Cha jamaa ni just coincidence tu.
Deep down Inajulikana.
Na mpango ulikuwa n maembe.
Hawa kina January na mwenzake walikuwa geresha TU.
Huu mpango ulisukwa kitambo
Ref kauli za majigambo za mwamba enzi zile atafunga dk ya 90
Hii ya Membe kuwa Makamu wa Rais mbona ilishaandaliwa mapema sana na kwenye vikao vyao vya Wana mtandao / Msoga Gang walikuwa wanajadili bila wasiwasi , Membe alipewa jukumu Moja tu kukaa kimya kama hayupo Hadi muda ufikebaro kufuata maelekezo ni kipaji cha akili sana. Uzuri current CEO alijua kucheza na akili zao, kajifanya zoba wakamuamini na deep state wakawajua wote walioshiriki kumuua late CEO maana yake kazi ilishaisha kazi sasa ni kudondoshq mmoja baada ya mwingine, maana kama kaondoshwa huyu mbobezi je wengine wana ubavu??? Ila hakika deep state nawapongeza na kuanzia sasa nawaheshimu sana tena nimewavulia kofia maana hakuna aliyetegemea wataanza na dodo jamani.
Waswahili husema una panga mipango Mungu ndio anaamuaHii ya Membe kuwa Makamu wa Rais mbona ilishaandaliwa mapema sana na kwenye vikao vyao vya Wana mtandao / Msoga Gang walikuwa wanajadili bila wasiwasi , Membe alipewa jukumu Moja tu kukaa kimya kama hayupo Hadi muda ufike
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Sasa ikawaje akapoteza focus na kuanza kukimbizana na msiba?Hii ya Membe kuwa Makamu wa Rais mbona ilishaandaliwa mapema sana na kwenye vikao vyao vya Wana mtandao / Msoga Gang walikuwa wanajadili bila wasiwasi , Membe alipewa jukumu Moja tu kukaa kimya kama hayupo Hadi muda ufike
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Aisee ina maana walitaka kugawana madaraka kwa vizazi hadi vizazi? Deep state hakika wana akili na ni muhimu wafute vikundi vyote urais wa nchi hii uwe based on competence na siyo nepotism. Tunahitaji rais mwenye uchungu na rasilimali zetu kama alivyo rais Dkt Samia na Alivyokuwa Dkt MagufuliHii ya Membe kuwa Makamu wa Rais mbona ilishaandaliwa mapema sana na kwenye vikao vyao vya Wana mtandao / Msoga Gang walikuwa wanajadili bila wasiwasi , Membe alipewa jukumu Moja tu kukaa kimya kama hayupo Hadi muda ufike
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Masaa nane gawa kwa mbili mnasubiri apite! ! Trick ni nyingi.Kete ilikuwa inasogezwa kuwa mpango Hana
Mh!!...Nadhani CEO kafanya maamuzi ambayo late CEO alishindwa kufanya. Yaani late CEO angekubali kufanyia kazi ushauri wa deep state wa kumuondoa BT haya yote yasingekuwepo yeye badala yake late CEO akaishia kuvujisha audio eti kuwa expose. Ila current CEO nampa pongezi na bado BT nadhani very soon atasafiri maana cha kwanza ni kijana wake kuondoshwa wizara ya land. Hata akina wale wanaojiita ma rope ataondoka. Ila current CEO ni genius sana.
weka tuweke mkuu angalau tuvunje hata code mkuu ...jazia jazia nyama mkulungwa...Ni ngumu sana kutenganisha kifo Cha DODO na ujio wa PAKA wiki chache zilizopita!
kabisa mkuu wata msumbua mama etu ...alafu walivo wajinga wana mpangia mpaka siku ya kusepa under thiz sun .....ishiiiiii aisee waondolewe tu....yoga tunakusubiri uje kufungua code huku. Naona current CEO keshavuka mtihani mmoja, bado BT, rope, bosi habari, hawa wote wanapaswa kuondoka ili kumpa nafasi ya kutawala lasivyo watamsumbua.
Hata ukiwa jasusi vipi Kuna mahala unaweza kuteleza kwa kujua au kutojua umeteleza na watu wakamaliza kaziSasa ikawaje akapoteza focus na kuanza kukimbizana na msiba?
Nchi yetu ilianza kuharibika 2005 Wana mtandao walipomweka Rais , Wana mtandao walianza Toka 1995 lakini kuanzia 2007 walianza kuchezewa mchezo na 2015 , mfumo ukafanikiwa kuweka mtu wake na kuanzia hapo ni kuirudisha nchi katika misingi ya AwaliAisee ina maana walitaka kugawana madaraka kwa vizazi hadi vizazi? Deep state hakika wana akili na ni muhimu wafute vikundi vyote urais wa nchi hii uwe based on competence na siyo nepotism. Tunahitaji rais mwenye uchungu na rasilimali zetu kama alivyo rais Dkt Samia na Alivyokuwa Dkt Magufuli
Aisee ni kweli inamaana hii ni mission ya 50 years. Na kifo cha rais akiwa madarakani kimeongeza urefu wa kipindi cha mpito. Ila this time wameanza vizuri na waendelee hivyo hivyo kuwamaliza wote kabisa ili nchi irejee misingi ya haki.Nchi yetu ilianza kuharibika 2005 Wana mtandao walipomweka Rais , Wana mtandao walianza Toka 1995 lakini kuanzia 2007 walianza kuchezewa mchezo na 2015 , mfumo ukafanikiwa kuweka mtu wake na kuanzia hapo ni kuirudisha nchi katika misingi ya Awali
Hivyo kwa Sasa sio wazembe kabisa ila ili mambo yakae sawa lazima waishe wote wale waliogeuza nchi ni Mali yao kwa kuifisadi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Ure wrong.Ni ngumu sana kutenganisha kifo Cha DODO na ujio wa PAKA wiki chache zilizopita!
Tatizo la BT ni ile mikataba ya kinyonyaji,BT Kashajaa kwenye mikono.
Kama anapita hapa kwenye huu msiba akae nao mbali.
Ajue malipo ni hapa hapa duniani.
Mimi ni msema kweli siku zote
Yes, yaani inchi anaifanya kama kampuni yake.Tatizo la BT ni ile mikataba ya kinyonyaji,