jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Hapana, jasusi hawezi fanya uzembe kama huo, aache mission ya kuwa namba moja ahangaike na mtu asio level yake? Haiingii akiliniHata ukiwa jasusi vipi Kuna mahala unaweza kuteleza kwa kujua au kutojua umeteleza na watu wakamaliza kazi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
heshima yako mkuu ....au wewe ndio YODA Id mpya maana naona unatema nondo swafiii....bila mawaa....[emoji3][emoji3][emoji3]Ure wrong.
Ujio wa PK issue ya ki usalama zaidi pande za goma.
Maana kandarasi ya walinda amani inaelekezwa kwa Jw
Kumbuka ndege mjanja hunaswa na tundu bovuHapana, jasusi hawezi fanya uzembe kama huo, aache mission ya kuwa namba moja ahangaike na mtu asio level yake? Haiingii akilini
Naye alizidi mno tamaa Kila kitu chake tu as if hamna wa kumzidiYes, yaani inchi anaifanya kama kampuni yake.
Analotaka yeye ndiyo liwe
Naye alizidi mno tamaa Kila kitu chake tu as if hamna wa kumzidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] Yani angetakiwa awe smart apake serum sura iwe na Nuru hupenda kuvaa maronya ronya tu
Wallah km Membe angefanikiwa kuwa VP. mbna angefanya vyovyote P adondoke ili yeye aukwae kilaini. LolHii ya Membe kuwa Makamu wa Rais mbona ilishaandaliwa mapema sana na kwenye vikao vyao vya Wana mtandao / Msoga Gang walikuwa wanajadili bila wasiwasi , Membe alipewa jukumu Moja tu kukaa kimya kama hayupo Hadi muda ufike
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Aanze na mentor wake kwaniiii.yoga tunakusubiri uje kufungua code huku. Naona current CEO keshavuka mtihani mmoja, bado BT, rope, bosi habari, hawa wote wanapaswa kuondoka ili kumpa nafasi ya kutawala lasivyo watamsumbua.
Kumekuchaaaaaaa!!!Nchi yetu ilianza kuharibika 2005 Wana mtandao walipomweka Rais , Wana mtandao walianza Toka 1995 lakini kuanzia 2007 walianza kuchezewa mchezo na 2015 , mfumo ukafanikiwa kuweka mtu wake na kuanzia hapo ni kuirudisha nchi katika misingi ya Awali
Hivyo kwa Sasa sio wazembe kabisa ila ili mambo yakae sawa lazima waishe wote wale waliogeuza nchi ni Mali yao kwa kuifisadi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Na mie nawaza, ukute BT anatanguliza wenzake wote ambao anajua akiwaacha watafaidi, anaona awasafirishe kwani afu yeye awe wa mwisho.Kuna kipengele current CEO aliambjwa aitikie ndio kila kitu anachotaka BT na vyote kuhusu atakavyo apewe bila kupingwa.
Na vingi vilifanyika hivyo. Mikataba yame yote ilirejeshwa mikononi mwake. Lakini BT akawa anamchunguza kwa nini ndio mzee kila kitu?
Good bye my Son its either me first or you. Lakini kabla sijaondoka mimi, nitahakikisha tunaondoka wote ili tuiache kampuni hii ikiwa salama.
Aisee ndani ya kampuni hii kuna michezo inaendelea ya hatari sana. Angulo la Beka kuna salamu imetumwa upande wa pili huko.
Deep state [emoji1431][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
samurai uje useme neno.
Mbna tumekwishaaaaaa.Kabisa. Anazidi halafu anataka kuwa top kwa aliowakuta top na waka mweka top.
They have no Mercy with us (vibwengo according to samurai)
Kuna episode yoga anaelezea kuna meeting na BT, mmoja wa member akawa analalamika ugumu wa maisha kwa wateja wa kampuni kwa kiwango aliwasusia. Mmoja wa member akamjibu acha ujinga jiachie mwenzio aliingia humu kama wewe, sasa hivi ana ukwasi wa kutosha.
Kumbuka 5yrs tulipokwa fedha na mali nyingi sana ni wakati wa kurejesha na kujipanga kwa ajili ya 2025. Akaunti zetu hazina kitu kabisa.
Hii episode inaonesha ni jinsi gani ulafi umezidi, wengi wanateseka kampuni inaingiza pesa nyingi ila wachache ndio wanaila keki. Hii episode ilikuwa ya [emoji91][emoji91][emoji91]
Wacha wanyooshwe Kwa huo ulafi hyo episode ya kupiga Yoga Ali explain vizuri kumbe hata mabei ni uhuni wao tu na tamaa zako wangefanya Kila jambo Kwa kiasiKabisa. Anazidi halafu anataka kuwa top kwa aliowakuta top na waka mweka top.
They have no Mercy with us (vibwengo according to samurai)
Kuna episode yoga anaelezea kuna meeting na BT, mmoja wa member akawa analalamika ugumu wa maisha kwa wateja wa kampuni kwa kiwango aliwasusia. Mmoja wa member akamjibu acha ujinga jiachie mwenzio aliingia humu kama wewe, sasa hivi ana ukwasi wa kutosha.
Kumbuka 5yrs tulipokwa fedha na mali nyingi sana ni wakati wa kurejesha na kujipanga kwa ajili ya 2025. Akaunti zetu hazina kitu kabisa.
Hii episode inaonesha ni jinsi gani ulafi umezidi, wengi wanateseka kampuni inaingiza pesa nyingi ila wachache ndio wanaila keki. Hii episode ilikuwa ya [emoji91][emoji91][emoji91]
Fa masiara na madame sabufa wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ananiacha hoi na viatu vyake tyuuh.Fa masiara na madame sabufa wewe
Misingi imara invisible au spiritual ilisimikwa 2012...Tanzania njema ni must apende au asipende mtu.Nchi yetu ilianza kuharibika 2005 Wana mtandao walipomweka Rais , Wana mtandao walianza Toka 1995 lakini kuanzia 2007 walianza kuchezewa mchezo na 2015 , mfumo ukafanikiwa kuweka mtu wake na kuanzia hapo ni kuirudisha nchi katika misingi ya Awali
Hivyo kwa Sasa sio wazembe kabisa ila ili mambo yakae sawa lazima waishe wote wale waliogeuza nchi ni Mali yao kwa kuifisadi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28] sijawahi mwangalia viatu nitaanza una observation Kali kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ananiacha hoi na viatu vyake tyuuh.
Kama ni kweli kapigwa basi atakuwa Kapigwa na camp ya New CEO.Hivi Maembe kweli hajauliwa na New CEO ili kupunguza washindani wake kuelekea 2025?
Kama si hivyo kwa jicho jingine Old CEO hajahitilafiana na Maembe akaona isiwe taabu akamtanguliza?
Na mie nawaza, ukute BT anatanguliza wenzake wote ambao anajua akiwaacha watafaidi, anaona awasafirishe kwani afu yeye awe wa mwisho.
NAWAZAAAA
Mbna tumekwishaaaaaa.