Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

"Mbinu ambazo Kikwete alitumia kummaliza JPM ndiyo hiyo hiyo ambayo anatumia leo kummaliza Samia, ingawa wakati huu ngoma inaweza kuwa ngumu zaidi upande wake kwa sababu alimfundisha Samia mbinu zake na sasa anapambana kumpindua...

[emoji117]Subirini kidogo mtasikia mengi kupitia vifo hivi mtaambiwa ni Corona ila ukweli ni kwamba wanapimana ubavu Kikwete anapambana kuiangusha dola na Samia anapambana kuimarisha dola tatizo ni kwamba wanatumia mbinu za aina moja.

[emoji117]Mwalimu alimfundisha mtoto hesabu za 1-1=0 leo ana tumia formula mpya ya 1+1-2=0 tunzeni post hii....

[emoji117]Mbowe hana uhai mrefu muda mfupi ujao asipokuwa makini atakuwa mwendazake wa watatu, Makamba Samia ama Kikwete lolote linaweza kutokea
[emoji117]Dhambi ya mauajia kwa mgongo wa Corona imeanza kulitafuna taifa.....
Ila kwetu Wachunguzi Huru Tanganyika ni furaha tele acha watifuane ili kesho tuijenge Tanganyika mpya ya ndoto za Magufuli"
IMEPOSTIWA PAGE YA WACHUNGUZI HURU.

Unafanya Makosa ya ki espionage.
 
"Mbinu ambazo Kikwete alitumia kummaliza JPM ndiyo hiyo hiyo ambayo anatumia leo kummaliza Samia, ingawa wakati huu ngoma inaweza kuwa ngumu zaidi upande wake kwa sababu alimfundisha Samia mbinu zake na sasa anapambana kumpindua...

[emoji117]Subirini kidogo mtasikia mengi kupitia vifo hivi mtaambiwa ni Corona ila ukweli ni kwamba wanapimana ubavu Kikwete anapambana kuiangusha dola na Samia anapambana kuimarisha dola tatizo ni kwamba wanatumia mbinu za aina moja.

[emoji117]Mwalimu alimfundisha mtoto hesabu za 1-1=0 leo ana tumia formula mpya ya 1+1-2=0 tunzeni post hii....

[emoji117]Mbowe hana uhai mrefu muda mfupi ujao asipokuwa makini atakuwa mwendazake wa watatu, Makamba Samia ama Kikwete lolote linaweza kutokea
[emoji117]Dhambi ya mauajia kwa mgongo wa Corona imeanza kulitafuna taifa.....
Ila kwetu Wachunguzi Huru Tanganyika ni furaha tele acha watifuane ili kesho tuijenge Tanganyika mpya ya ndoto za Magufuli"
IMEPOSTIWA PAGE YA WACHUNGUZI HURU.
@yoga kaelekeza ujasusi humu umeshindwa hata kuutumia kuandika unaropoka tu [emoji18]
 
"Mbinu ambazo Kikwete alitumia kummaliza JPM ndiyo hiyo hiyo ambayo anatumia leo kummaliza Samia, ingawa wakati huu ngoma inaweza kuwa ngumu zaidi upande wake kwa sababu alimfundisha Samia mbinu zake na sasa anapambana kumpindua...

[emoji117]Subirini kidogo mtasikia mengi kupitia vifo hivi mtaambiwa ni Corona ila ukweli ni kwamba wanapimana ubavu Kikwete anapambana kuiangusha dola na Samia anapambana kuimarisha dola tatizo ni kwamba wanatumia mbinu za aina moja.

[emoji117]Mwalimu alimfundisha mtoto hesabu za 1-1=0 leo ana tumia formula mpya ya 1+1-2=0 tunzeni post hii....

[emoji117]Mbowe hana uhai mrefu muda mfupi ujao asipokuwa makini atakuwa mwendazake wa watatu, Makamba Samia ama Kikwete lolote linaweza kutokea
[emoji117]Dhambi ya mauajia kwa mgongo wa Corona imeanza kulitafuna taifa.....
Ila kwetu Wachunguzi Huru Tanganyika ni furaha tele acha watifuane ili kesho tuijenge Tanganyika mpya ya ndoto za Magufuli"
IMEPOSTIWA PAGE YA WACHUNGUZI HURU.
Kwa maslah ya nani? BT anataka amuweke nani mjengoni aridhike? Anatakaje Kwani? Mbona ukwasi anao hadi wakutumia vizazi vyake kadhaa? [emoji848]
 
BT hawazi hilo, yeye anachotaka wote aliokua nao sambamba waondoke, hata yeye akiondoka aache wapya huku nyuma watajua wao wanaendesha vipi kampuni.

Kabisa..!! Kuna mahali unasema liwalo na liwe tu. Tukose wote.
 
Kabisa..!! Kuna mahali unasema liwalo na liwe tu. Tukose wote.
Ila pia inawezekana paka na harakati za kupeleka wapiganaji kule kwenye ukwasi wa ardhini mwingi. Labda dodo alikuwa mwiba hivyo paka kaja kwenye kikao na dodo akawepo wakamaliza maana ndiye mwenye kufahamu mission zote kila kona. Maana kwa jinsi inavyoonekana dodo alikuwa well informed. Hivyo kuna uwezekano kabisa hii vita imehamasishwa na paka na analipiza kisasi kipindi kile na kuja kwake unaweza kuta alikuja kumjulisha current CEO kuwa BT na timu wamepanga kukumaliza na akaja na ushahidi, hivyo akaomba amsaidie kumbe yeye paka anatimiza mission zake za kuzuia infantry kuingia kule kwenye ukwasi wa chini ya udongo
 
Kabisa..!! Kuna mahali unasema liwalo na liwe tu. Tukose wote.
Ndo anacho kitaka BT, yaan wote alio kua nao sambamba waondokee, yeye akiondokaa hana shida, watabaki wapyaa hataumia sanaaa.
 
Ila pia inawezekana paka na harakati za kupeleka wapiganaji kule kwenye ukwasi wa ardhini mwingi. Labda dodo alikuwa mwiba hivyo paka kaja kwenye kikao na dodo akawepo wakamaliza maana ndiye mwenye kufahamu mission zote kila kona. Maana kwa jinsi inavyoonekana dodo alikuwa well informed. Hivyo kuna uwezekano kabisa hii vita imehamasishwa na paka na analipiza kisasi kipindi kile na kuja kwake unaweza kuta alikuja kumjulisha current CEO kuwa BT na timu wamepanga kukumaliza na akaja na ushahidi, hivyo akaomba amsaidie kumbe yeye paka anatimiza mission zake za kuzuia infantry kuingia kule kwenye ukwasi wa chini ya udongo
Ila hapa napo pana make sense, na kuhusu paka bifu na BT haliwezi isha kamwee, na mie naona kupitia paka akiungana na New CEO wanaweza muondoa BT kiwepesi,

Maana hata New CEO ashajua BT ni threat kwake, japo wanachekeana na kuelekezana kumbe unafiki anataka kumuangamiza zaidi.

BT hana urafiki wala ukaribu ktk maslahi yake, huwa ananijijali yeye na wa ubavuni mwake tyuuh.
 
Ila hapa napo pana make sense, na kuhusu paka bifu na BT haliwezi isha kamwee, na mie naona kupitia paka akiungana na New CEO wanaweza muondoa BT kiwepesi,

Maana hata New CEO ashajua BT ni threat kwake, japo wanachekeana na kuelekezana kumbe unafiki anataka kumuangamiza zaidi.

BT hana urafiki wala ukaribu ktk maslahi yake, huwa ananijijali yeye na wa ubavuni mwake tyuuh.
Na paka anajua kabisa uhasama wa late CEO na BT. Sema mi binafsi nampenda BT ana akili na anajua kucheza na akili za watu ila alioungana nao ni watoto kiakili wote mpaka dodo, yaani yeye waliwezana na mamvi tu enzi akiwa mkuu wa muhimili wa kusimamia serikali mjengoni. Ila hawa wengine wame mlet down sana kwa sababu ni waropokaji karibia wote, siyo dodo pamoja na ubobezi wake, current CEO pamoja na kuhusika kushirikiana na gogokuminanne kuvujisha siri za serikali ila bado siyo msiri kama late CEO tu. Nadhani BT anatakiwa atengeneze timu nyingine ya wakimya kimya kama mamvi alivyokuwa yaani kariba ya watu wakimya.
 
Ila pia inawezekana paka na harakati za kupeleka wapiganaji kule kwenye ukwasi wa ardhini mwingi. Labda dodo alikuwa mwiba hivyo paka kaja kwenye kikao na dodo akawepo wakamaliza maana ndiye mwenye kufahamu mission zote kila kona. Maana kwa jinsi inavyoonekana dodo alikuwa well informed. Hivyo kuna uwezekano kabisa hii vita imehamasishwa na paka na analipiza kisasi kipindi kile na kuja kwake unaweza kuta alikuja kumjulisha current CEO kuwa BT na timu wamepanga kukumaliza na akaja na ushahidi, hivyo akaomba amsaidie kumbe yeye paka anatimiza mission zake za kuzuia infantry kuingia kule kwenye ukwasi wa chini ya udongo
Current CEO ameamua kuanzidha vita ambayo itamgharimu maisha yake,ukienda kinyume na mastermind tegemea kupoteza!Pogba akijitahidi sanaaa basi watakosa wote🤔🤔,Mungu ibariki Tanzania.
 
Na paka anajua kabisa uhasama wa late CEO na BT. Sema mi binafsi nampenda BT ana akili na anajua kucheza na akili za watu ila alioungana nao ni watoto kiakili wote mpaka dodo, yaani yeye waliwezana na mamvi tu enzi akiwa mkuu wa muhimili wa kusimamia serikali mjengoni. Ila hawa wengine wame mlet down sana kwa sababu ni waropokaji karibia wote, siyo dodo pamoja na ubobezi wake, current CEO pamoja na kuhusika kushirikiana na gogokuminanne kuvujisha siri za serikali ila bado siyo msiri kama late CEO tu. Nadhani BT anatakiwa atengeneze timu nyingine ya wakimya kimya kama mamvi alivyokuwa yaani kariba ya watu wakimya.
Hizi code ni balaa lkn nimeelewa[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom