B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 582
- 798
Ugonvi wa BT na PAKA inakuaje usiishe? Paka au BT wanazuiana vipi kwenye maslah yao? PAKA mkuu wa kaya na BT ni mstaafu, PAKA alizinguana na BT wakati ule wote wakiwa ma-CEO.Ila hapa napo pana make sense, na kuhusu paka bifu na BT haliwezi isha kamwee, na mie naona kupitia paka akiungana na New CEO wanaweza muondoa BT kiwepesi,
Maana hata New CEO ashajua BT ni threat kwake, japo wanachekeana na kuelekezana kumbe unafiki anataka kumuangamiza zaidi.
BT hana urafiki wala ukaribu ktk maslahi yake, huwa ananijijali yeye na wa ubavuni mwake tyuuh.
Hata wakiwa na bifu bado PAKA hana uwezo wakumdhuru BT coz baada ya BT kustafu na late CEO akiwa mshiakaji wa PAKA Kama alikuwa na uwezo huo alishindwa vipi kummaliza au kumlinda nwendazake?