Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Dodo ni nani,Bt ndo character gani..?Mbona watu husema yeye na dodo ni mtu na kaka yake kabisa
Dodo ni mango, born town ni Mr smile mstaafuDodo ni nani,Bt ndo character gani..?
Mango sijamjua badoDodo ni mango, born town ni Mr smile mstaafu
Una kichwa kigumu si huyu mjusi mbobezi.Mango sijamjua bado
Takupiga ban Sasa hivi komamanga mkubwa weyeUna kichwa kigumu si huyu mjusi mbobezi.
Eti MAHABANI 😄Ndie huyu aliwahi kuwa branch manager kule mahabani? Yupo wapi now days mbona hasikiki?
Ni story ya uongo ilitungwa na mabeberu wapenda vita wa funded by A, baada ya uzalendo wa BT kukataa unyonyaji wa mikataba ya gas kusini na ukumbuke hawa mabeberu walikuwa wameshajihakikishia watapewa dili za gas huko kusini na mpaka walikuwa wanasomesha watanzania na a lot of CSR, ila wenye vi macho vidogo wala mende walikuja na terms nzuri na BT akabadili gia hivo mabeberu wakaeneza habari kuwa BT junior kashikwa huko kwa wenye vijicho vidogo hivyo analipa fadhila, na walienda mpaka misikitini na makanisani wakatoa hela kwa wazee na kuwaaminisha eti wagome kabisa, lakini baadaye wazee walipoambiwa ukweli na kichapo wakatulia. Kwa ujumla BT siyo mbaya kiasi ambacho watu wanamsema ni mzalendo sana na mwenye hekima na upendo. Sema yupo rather fair kidogo. Mi binafsi nampenda sana na style yake ya uongozi. He is a good leader, tumuombee afya njema.Kuhusu mzaliwa ni story tu za kahawa hamna kitu kama hicho.
Eti, alishikwa na sembe Kwa jamaa wale wenye macho madogo
akaingia vifungoni na makaratasi yanayoi+cost kampuni[emoji1787][emoji1787]
Kuhusu upigaji ujilimbikiaji mali pia unapingana na wanazengwe? Anaonewa? Ni story za vijiwe vya kahawa?Ni story ya uongo ilitungwa na mabeberu wapenda vita wa funded by A, baada ya uzalendo wa BT kukataa unyonyaji wa mikataba ya gas kusini na ukumbuke hawa mabeberu walikuwa wameshajihakikishia watapewa dili za gas huko kusini na mpaka walikuwa wanasomesha watanzania na a lot of CSR, ila wenye vi macho vidogo wala mende walikuja na terms nzuri na BT akabadili gia hivo mabeberu wakaeneza habari kuwa BT junior kashikwa huko kwa wenye vijicho vidogo hivyo analipa fadhila, na walienda mpaka misikitini na makanisani wakatoa hela kwa wazee na kuwaaminisha eti wagome kabisa, lakini baadaye wazee walipoambiwa ukweli na kichapo wakatulia. Kwa ujumla BT siyo mbaya kiasi ambacho watu wanamsema ni mzalendo sana na mwenye hekima na upendo. Sema yupo rather fair kidogo. Mi binafsi nampenda sana na style yake ya uongozi. He is a good leader, tumuombee afya njema.
Napingana ndiyo, BT hana hiyo tabia kabisa. Kama angekuwa na hiyo tabia basi BT junior angekuwa na ukwasi balaa. Sema ana marafiki wabaya ambao wana mg’onga mara zote, wanatumia jina lake kufanya uchafu ambao mwisho wa siku anakuja kustuka wameshafanya na yeye wameshamlambisha kidogo na anaona ni washikaji tayari anaishia kuwasemehe na hivyo wanamjua wanatafuta tena angle. BT ni muadilifu sana ila alipaswa kuongoza kwenye katiba imara ndiyo angetufaa sana.Kuhusu upigaji ujilimbikiaji mali pia unapingana na wanazengwe? Anaonewa? Ni story za vijiwe vya kahawa?
We mjinga tu huna loloteIt's funny unasema tusiamini media na unaamini maandiko ya JF ambayo ni media pia ikiwemo hii story.
My point is watu hawapendi facts wanapenda udaku. Ndio maana ni ngumu kukuta mtu ame subscribe page ya world Bank au IMF ila akisikia akaunti ya udaku inasema tunapewa mkopo wa IMF kwa masharti ya kukubali ushoga mtu anaamini!!.
So ni vizuri tuwe na balanced information, ujue taarifa rasmi kwanza ila tukitegemea umbea ndio kunakua na mis information. Kama tu story ya Hakimi it was all fake but ona ilivyosambaa Mitandaoni mpaka humu JF.
Tukatae misinformation na disinformation
Utakuwa mshikaji wake.Napingana ndiyo, BT hana hiyo tabia kabisa. Kama angekuwa na hiyo tabia basi BT junior angekuwa na ukwasi balaa. Sema ana marafiki wabaya ambao wana mg’onga mara zote, wanatumia jina lake kufanya uchafu ambao mwisho wa siku anakuja kustuka wameshafanya na yeye wameshamlambisha kidogo na anaona ni washikaji tayari anaishia kuwasemehe na hivyo wanamjua wanatafuta tena angle. BT ni muadilifu sana ila alipaswa kuongoza kwenye katiba imara ndiyo angetufaa sana.
George Bush alikuja wakati wa utawala wake, unafikiri alikuja kwa kuwa anawapenda watanzania?Napingana ndiyo, BT hana hiyo tabia kabisa. Kama angekuwa na hiyo tabia basi BT junior angekuwa na ukwasi balaa.
Ila unadhani haya yanenwayo hapa ni kweli?[emoji23][emoji23][emoji23] si rahisi kihivyo. Nadhani watu wanajifariji tuHata mie nampongeza kufanya maamuzi magumu mwendazake angetakiwa awale kichwa tu. Na ange crush enemy of state totally basi
Lisemwalo lipo hata hili la dodo Kwa baadhi ya episode ya yoga alielezea sema watu wakamix na yule waziri asiye na wizara maalumuIla unadhani haya yanenwayo hapa ni kweli?[emoji23][emoji23][emoji23] si rahisi kihivyo. Nadhani watu wanajifariji tu
Lets seee. Japo siamini sana. Huyu bana amekumbana na hiyo changamoto ya kiafya tu. Its just a coincedence. Ila kamaaa ni kuna hilo basi trust me, majibu kwa vitendo mutayaonaLisemwalo lipo hata hili la dodo Kwa baadhi ya episode ya yoga alielezea sema watu wakamix na yule waziri asiye na wizara maalumu
Hafu Kuna mahali nilisoma kuhusu huyu dodo eti alikuwa sehemu ya kujirusha na mlimbwende aliyetumwa na ndio alimpeleka hospital, in short mambo ni mengi mnoLets seee. Japo siamini sana. Huyu bana amekumbana na hiyo changamoto ya kiafya tu. Its just a coincedence. Ila kamaaa ni kuna hilo basi trust me, majibu kwa vitendo mutayaona
Sijapita hiyo mitaa. I cant say a word. Ila tu najua visasi vitAtembea vizazi kwa vizazi.Hafu Kuna mahali nilisoma kuhusu huyu dodo eti alikuwa sehemu ya kujirusha na mlimbwende aliyetumwa na ndio alimpeleka hospital, in short mambo ni mengi mno
Ndio wanaondoshana haya mambo ya power struggle itakula vichwa vya wengi mno, kachero kaondoka kimasihara, pia wawe makini sio ku underestimate vitu loh.Sijapita hiyo mitaa. I cant say a word. Ila tu najua visasi vitAtembea vizazi kwa vizazi.
Trust me, this is a natural death. None could ever wanna play with fire.Ndio wanaondoshana haya mambo ya power struggle itakula vichwa vya wengi mno, kachero kaondoka kimasihara, pia wawe makini sio ku underestimate vitu loh.