Mimi lang jicho tu ingawa other side of sukuma gang wameona ka kuondoka kwao imekuwa shereheTrust me, this is a natural death. None could ever wanna play with fire.
Halaf dodo na bt are very good friends. Hahusiki kbs. Niamini kwa hili. Very good. Na urafiki wao umeanza kitambo. Mashemeji hawa ujue? Tutasema ndege mjanka hunasa tunduni but who is prepares for the worst? Thubutuu... si kirahisi hivyo. Ni vile mengine twaogopa kuandika bana
Yes. Dodo was a smart ass. Nami namuheshimu sana. Haya madudu yao tu ndo yanakwaza ila wasingekua wanapiga haya mambo mengine tungekua mbali sana sasa hv aisee. Lakini bt ana watu bado. Hajatikisika kihivyo. I just dont want that part of visasiMimi lang jicho tu ingawa other side of sukuma gang wameona ka kuondoka kwao imekuwa sherehe
Hata mi naamini ni natural death, wanaita untimely death. Sema kosa lao kubwa ukimtoa BT, dodo naweza sema he became too political mpaka aka loose professionalism kwa kuanza kufanya mambo kwa kuropoka, kwa ubobezi wake ule na mission kubwa alizowahi fanya haikuwa necessary kabisa kuropoka eti Magufuli hataamka tena bla bla. Nadhani BT ni muhimu akae na timu yake aifunde kuanzia current CEO wajuie namna ya kuendana na jamii ya wapiga kura b4 2025 lasivyo chuki mtaani ni kubwa mno kwa sababu ya kauli za wazuri hawafi mara mungu kaamua ugomvi etcTrust me, this is a natural death. None could ever wanna play with fire.
Halaf dodo na bt are very good friends. Hahusiki kbs. Niamini kwa hili. Very good. Na urafiki wao umeanza kitambo. Mashemeji hawa ujue? Tutasema ndege mjanka hunasa tunduni but who is prepares for the worst? Thubutuu... si kirahisi hivyo. Ni vile mengine twaogopa kuandika bana
Ooh Yees. That was very bad. Maybe pia ilikua kuwapooza wahanga waliopitia matukio mabaya. Watu walibeba mengi sana. Ila sasa hv kuna viral infection mwenyewe ilinichapa. Bado sijaimprove kbsHata mi naamini ni natural death, wanaita untimely death. Sema kosa lao kubwa ukimtoa BT, dodo naweza sema he became too political mpaka aka loose professionalism kwa kuanza kufanya mambo kwa kuropoka, kwa ubobezi wake ule na mission kubwa alizowahi fanya haikuwa necessary kabisa kuropoka eti Magufuli hataamka tena bla bla. Nadhani BT ni muhimu akae na timu yake aifunde kuanzia current CEO wajuie namna ya kuendana na jamii ya wapiga kura b4 2025 lasivyo chuki mtaani ni kubwa mno kwa sababu ya kauli za wazuri hawafi mara mungu kaamua ugomvi etc
Huna maana hata kidogoTakupiga ban Sasa hivi komamanga mkubwa weye
Dodo ni 🥭 na BT ni mtu aliyezaliwa mjini 🏘️Dodo ni nani,Bt ndo character gani..?
Aisee!Napingana ndiyo, BT hana hiyo tabia kabisa. Kama angekuwa na hiyo tabia basi BT junior angekuwa na ukwasi balaa. Sema ana marafiki wabaya ambao wana mg’onga mara zote, wanatumia jina lake kufanya uchafu ambao mwisho wa siku anakuja kustuka wameshafanya na yeye wameshamlambisha kidogo na anaona ni washikaji tayari anaishia kuwasemehe na hivyo wanamjua wanatafuta tena angle. BT ni muadilifu sana ila alipaswa kuongoza kwenye katiba imara ndiyo angetufaa sana.
Ni story ya uongo ilitungwa na mabeberu wapenda vita wa funded by A, baada ya uzalendo wa BT kukataa unyonyaji wa mikataba ya gas kusini na ukumbuke hawa mabeberu walikuwa wameshajihakikishia watapewa dili za gas huko kusini na mpaka walikuwa wanasomesha watanzania na a lot of CSR, ila wenye vi macho vidogo wala mende walikuja na terms nzuri na BT akabadili gia hivo mabeberu wakaeneza habari kuwa BT junior kashikwa huko kwa wenye vijicho vidogo hivyo analipa fadhila, na walienda mpaka misikitini na makanisani wakatoa hela kwa wazee na kuwaaminisha eti wagome kabisa, lakini baadaye wazee walipoambiwa ukweli na kichapo wakatulia. Kwa ujumla BT siyo mbaya kiasi ambacho watu wanamsema ni mzalendo sana na mwenye hekima na upendo. Sema yupo rather fair kidogo. Mi binafsi nampenda sana na style yake ya uongozi. He is a good leader, tumuombee afya njema.
Hata mti wenye nyoka pia unaweza kupigwa maweSiku zote mti Mwema ndio unaopigwa mawe.
Kwa hiyo mkuu Marais wote wanaokuja hapa nchini wanaipenda Tanzania?acha mawazo mgando hayoGeorge Bush alikuja wakati wa utawala wake, unafikiri alikuja kwa kuwa anawapenda watanzania?
Nakushauri utafute kitabu chenye title "Deadly deceits".
Kimeandikwa na Ralph W Mcgehee. Huyu mwandishi kafanya kazi CIA miaka 25.
ELisemwalo lipo hata hili la dodo Kwa baadhi ya episode ya yoga alielezea sema watu wakamix na yule waziri asiye na wizara maalumu
Zipo nyingi mno ila kwenye hyo episode watu walimfanisha kumbe yeyeE
Episode ngapi mkuu?
Usimpe BT dhamana ndugu yangu,,muulize mamvi alichofanywa then tizama walipotoka nae....Trust me, this is a natural death. None could ever wanna play with fire.
Halaf dodo na bt are very good friends. Hahusiki kbs. Niamini kwa hili. Very good. Na urafiki wao umeanza kitambo. Mashemeji hawa ujue? Tutasema ndege mjanka hunasa tunduni but who is prepares for the worst? Thubutuu... si kirahisi hivyo. Ni vile mengine twaogopa kuandika bana
Hata yeye hakumaanisha hivyo.Kwa hiyo mkuu Marais wote wanaokuja hapa nchini wanaipenda Tanzania?acha mawazo mgando hayo
Kuhusu mamvi binafsi naamini it was a game planned. Hebu tuuanganishe hizi dot.Usimpe BT dhamana ndugu yangu,,muulize mamvi alichofanywa then tizama walipotoka nae....
Think twice kwa MTU anaepata matibabu daraja la kwanza hawezi kufa Kama mchunga mbuzi porini then useme it's a natural death,,,kifupi NAdhan jamaa ameliwa kichwa kwa sababu ambazo sio rahic kuzielewa
Well well well. Simpi dhamana. Na unayosema yawezekana kbs ni ukweli. But, how was he supposed to die? Where was he supposed to die?Usimpe BT dhamana ndugu yangu,,muulize mamvi alichofanywa then tizama walipotoka nae....
Think twice kwa MTU anaepata matibabu daraja la kwanza hawezi kufa Kama mchunga mbuzi porini then useme it's a natural death,,,kifupi NAdhan jamaa ameliwa kichwa kwa sababu ambazo sio rahic kuzielewa
Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:Usimpe BT dhamana ndugu yangu,,muulize mamvi alichofanywa then tizama walipotoka nae....
Think twice kwa MTU anaepata matibabu daraja la kwanza hawezi kufa Kama mchunga mbuzi porini then useme it's a natural death,,,kifupi NAdhan jamaa ameliwa kichwa kwa sababu ambazo sio rahic kuzielewa
What the hell? Kwani nchi nzima alichanja mmoja tu? Huko ulaya wamechanja tokea 2020 huu ni mwaka wa tatu je wangapi wameshakufa?3. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years