Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hiyu mwandishi atakuwa ni yule binti anayekaa nyuma ya the New CEO....

Ndio maana hata yule Kigogo alikuwa ni mchongo tu wa the old CEO..

Wadanganyika tukiambiwa haya kabla huwa tunakuwa wabishi sana.
hawezi kuwa huyo ila sasa hivi deep informer atakuwa ameunda timu ya kumtambua yoga and those behind him, kwa sababu hii haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja. Hii story ya yoga imeshusha credibility ya new ceo significantly
 
hivyo Mwendazake yupo jehanamu, maana hakutubu vile viroba vilivyokutwa ufukweni na kule Ruvu
watu mnajaji utafikiri mlishafika mbinguni mkarudi, jamaa saa hizi anateketea aliyotufanyia hayasameheki, saa8, Akwilina, Azori, Tundu antipas
Mungu hawezi kuwa wa michongo namna hii.atende kwa hisia na mapenzi ya wadangaji.
 
Jamaa ni Mafia itakuwa.

Any way Mimi simpendi na namlaani japo Sina hakika Kama laana inafanya kazi ama laa.
Hana lolote ni mwepesi mno.
Wakati jiwe kampiga exile mwandani wake pale viungani,ilikuwa ni kwa ajiri ya mazoea na kampuni na nia ilikuwa ni kumfanya mwalimu huyo akale pension na mzee wake aache kuhangaika.
Na alikuwa anamhanya toka ni kijakazi wake,maana ishu ya ubungo na jengo la wazee wa kukata,mjuba aligoma amri ya kima yoyote kusitisha akitaka jengo liende chini kama kanuni zinavyosema,jamaa ikabidi amtume wapigwe tu,ili akampange tingatinga.ni wazi japo alikuwa boss wake ila alikuwa haoni kama anatosha katika maamuzi,mlaini laini flani hivi fitna sana.
 
hawezi kuwa huyo ila sasa hivi deep informer atakuwa ameunda timu ya kumtambua yoga and those behind him, kwa sababu hii haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja. Hii story ya yoga imeshusha credibility ya new ceo significantly

Kama ni hivyo basi utakuwa yoga ni mpango wa old CEO ili ku divert attention kwa new CEO, ili aache ku focus na maadui zake.. Yaani wanamtengenezea adui mpya... kwa late CEO walimtengeneza Jay Z

Kampuni imekuwa ya hovyo sana
 
Hateketei anakula bata tu
Mbavu zangu weeeee !!!!!!!!!!!!!!!!
wewe kila comment unachangia ktk Mada hii
turudi kule ulikoanzisha tuone kama jamaa yako hata hizo Bata anaziona moto mkali
 
Mungu hawezi kuwa wa michongo namna hii.atende kwa hisia na mapenzi ya wadangaji.
hivi hao wamekutana naye wapi Mungu wetu , hadi awaambie muuaji km yule atamtetea
kaingia Kanisani akawananga masista kuvaa barakoa
akiwa wodini the last seconds akamuita Sheikh kwa kitubio, ndipo hapo aliposamehewa? tuwe wakweli
 
Mbona kama informal wa Our Company ni Queen Of Sheba 😳on the last days alipangiwa Safari za kutosha nje ya dsm nahisi ni mbinu ya kumuepusha na hasira za watu wale lolote lingeweza kutokea …
Hata yule aliyefanya press msikitini kusema CEO ni mzima na yupo ofisini alikuwa safari nyingi sana. By then alikuwa Nyanda za juu.
 
Back
Top Bottom