Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Huyu Yoga umemuamini?yaani kila sehemu Kama yeye nae alikuwepo!kumbuka anasema walivyotangaza the late CEO is passed away Kuna mmoja akaruka huku anapop champagne yeeeh we did it!ghafla ukimya ukatawala...yoga hapa alikuwa kajificha wapi?.....Mara kukawa na kikao Cha Siri kubwa mpaka akaletwa mwarabu wa Doha ili mama aongee na kijana,it means alikuwa na mama na huyo kijana tu,!Sasa yeye kajuaje yaliyoongelewa Kati ya hao wawili Hadi kayaorothesha humu .....Yoga alijificha wapi kusikia hayo ya kikao?.....Yaani Yoga Ni Nani ajue kila upande wanachozungumza kiundani??yeye ndio wanamuamini Sana au??na Kama ingekuwa kweli anaaminika hivi sidhani Kama angekuja kuuza hii taarifa yote hapa...Yoga Ni Kanjanja Kama makanjanja wengine tu
Kama alivyokuwa kanjanja wenu “kigogo2014”
 
Huyu Yoga umemuamini?yaani kila sehemu Kama yeye nae alikuwepo!kumbuka anasema walivyotangaza the late CEO is passed away Kuna mmoja akaruka huku anapop champagne yeeeh we did it!ghafla ukimya ukatawala...yoga hapa alikuwa kajificha wapi?.....Mara kukawa na kikao Cha Siri kubwa mpaka akaletwa mwarabu wa Doha ili mama aongee na kijana,it means alikuwa na mama na huyo kijana tu,!Sasa yeye kajuaje yaliyoongelewa Kati ya hao wawili Hadi kayaorothesha humu .....Yoga alijificha wapi kusikia hayo ya kikao?.....Yaani Yoga Ni Nani ajue kila upande wanachozungumza kiundani??yeye ndio wanamuamini Sana au??na Kama ingekuwa kweli anaaminika hivi sidhani Kama angekuja kuuza hii taarifa yote hapa...Yoga Ni Kanjanja Kama makanjanja wengine tu
Jamani, umeona unibatize jina la kanjanja?[emoji23][emoji23][emoji23] Asante buana! Ila Nilitoa angalizo hii ni fasihi simulizi haiusiani na chochote!! [emoji23][emoji23][emoji23] Tusome tu!!
 
Huu Uzi mbona UNANICHANGANYA?mleta mada yanayoongelewa kila upande anayajua vizuri,Hadi yaliyoongelewa kwa Siri na Yule mwarabu wa Doha mleta mada anajua in details[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]mmmmh Hapana Kuna kitu hakiko sawa hapa......
Usichukulie vitu siriasi sana, riwaya unataka iwe uhalisia 100%?
 
Mojawapo ya mtu influential ndani ya TISS au mwenye ushawishi kwenye top state organizations ndio anaweza pata classified info za crandestine operation kama hii. Na lazima kuwe na some information lagging kwenye story nzima, huwezi jua wapinzani waliambiwa nini, ukajua DAB aliambiwa na kufanya nini, ukajua story ilianzaje na kuishaje. Confession hufanyika na mtu mmoja aliyehusika kwenye part yake, secret service hawaambiani role ya kila mmoja. Nenda popote duniani mission yoyote ngumu ikivuja kuna story inakosekana kuunganisha.

Then mission ngumu huwa ni one way, huitaji kutumia Polonium-210 zaidi ya mara moja au kuipa msaidizi wa aina nyingine kama umeshajua ya kwanza ilikuwa successful, na hiyo sio sumu ya kumuondoa head of state unless uwe very careless na matokeo, ikifanyika autopsy kinyume na ulivyotarajia unapata matokeo tofauti. Polonium yenyewe ina dalili ambazo huyo deceased hakuwa nazo, hakunyonyoka nywele wala mwili kuwa fainted.

Presidential security sio wazembe kama ilivyoonyeshwa hapa. Hakuna individual mmoja anayeruhusu mtu kupita au kutokaguliwa, inahitajika wawepo vilaza wa hali ya juu sana kumruhusu mtu bila kukaguliwa. Hata akipangwa mlinzi mmoja, bado sio jukumu la single individual kuamua. Ni jukumu la protocol, unless ungesema aliyeshiriki ni mke au mtoto wa mhusika somehow naweza kubali. Then chakula cha mkuu hakiguswi na mtu, huwezi mimina chai hapo ukasubiri atoke sijui chumbani anywe, mambo sio rahisi kama unavyodhani.

Mtu mwenye nafasi kama yako kuna mwandiko anakuwa nao, sio huu wa kutumia emoji nyingi na kutumia lugha ambayo tunajua agent hawezi kuwa kama huyu. Kuna mambo mengi sana yana makosa ila tuishie hapa. Huu ulinzi anaopewa head of state unaoonesha hapa unaweza zidiwa na hata alionao CEO wa CRDB
 
Mojawapo ya mtu influential ndani ya TISS au mwenye ushawishi kwenye top state organizations ndio anaweza pata classified info za crandestine operation kama hii. Na lazima kuwe na some information lagging kwenye story nzima, huwezi jua wapinzani waliambiwa nini, ukajua DAB aliambiwa na kufanya nini, ukajua story ilianzaje na kuishaje. Confession hufanyika na mtu mmoja aliyehusika kwenye part yake, secret service hawaambiani role ya kila mmoja. Nenda popote duniani mission yoyote ngumu ikivuja kuna story inakosekana kuunganisha.

Then mission ngumu huwa ni one way, huitaji kutumia Polonium-210 zaidi ya mara moja au kuipa msaidizi wa aina nyingine kama umeshajua ya kwanza ilikuwa successful, na hiyo sio sumu ya kumuondoa head of state unless uwe very careless na matokeo, ikifanyika autopsy kinyume na ulivyotarajia unapata matokeo tofauti. Polonium yenyewe ina dalili ambazo huyo deceased hakuwa nazo, hakunyonyoka nywele wala mwili kuwa fainted.

Presidential security sio wazembe kama ilivyoonyeshwa hapa. Hakuna individual mmoja anayeruhusu mtu kupita au kutokaguliwa, inahitajika wawepo vilaza wa hali ya juu sana kumruhusu mtu bila kukaguliwa. Hata akipangwa mlinzi mmoja, bado sio jukumu la single individual kuamua. Ni jukumu la protocol, unless ungesema aliyeshiriki ni mke au mtoto wa mhusika somehow naweza kubali. Then chakula cha mkuu hakiguswi na mtu, huwezi mimina chai hapo ukasubiri atoke sijui chumbani anywe, mambo sio rahisi kama unavyodhani.

Mtu mwenye nafasi kama yako kuna maandiko anakuwa nao, sio huu wa kutumia emoji nyingi na kutumia lugha ambayo tunajua agent hawezi kuwa kama huyu. Kuna mambo mengi sana yana makosa ila tuishie hapa. Huu ulinzi anaopewa head of state unaoonesha hapa unaweza zidiwa na hata alionao CEO wa CRDB
Mkuu hii ni riwaya tu.
 
Mojawapo ya mtu influential ndani ya TISS au mwenye ushawishi kwenye top state organizations ndio anaweza pata classified info za crandestine operation kama hii. Na lazima kuwe na some information lagging kwenye story nzima, huwezi jua wapinzani waliambiwa nini, ukajua DAB aliambiwa na kufanya nini, ukajua story ilianzaje na kuishaje. Confession hufanyika na mtu mmoja aliyehusika kwenye part yake, secret service hawaambiani role ya kila mmoja. Nenda popote duniani mission yoyote ngumu ikivuja kuna story inakosekana kuunganisha.

Then mission ngumu huwa ni one way, huitaji kutumia Polonium-210 zaidi ya mara moja au kuipa msaidizi wa aina nyingine kama umeshajua ya kwanza ilikuwa successful, na hiyo sio sumu ya kumuondoa head of state unless uwe very careless na matokeo, ikifanyika autopsy kinyume na ulivyotarajia unapata matokeo tofauti. Polonium yenyewe ina dalili ambazo huyo deceased hakuwa nazo, hakunyonyoka nywele wala mwili kuwa fainted.

Presidential security sio wazembe kama ilivyoonyeshwa hapa. Hakuna individual mmoja anayeruhusu mtu kupita au kutokaguliwa, inahitajika wawepo vilaza wa hali ya juu sana kumruhusu mtu bila kukaguliwa. Hata akipangwa mlinzi mmoja, bado sio jukumu la single individual kuamua. Ni jukumu la protocol, unless ungesema aliyeshiriki ni mke au mtoto wa mhusika somehow naweza kubali. Then chakula cha mkuu hakiguswi na mtu, huwezi mimina chai hapo ukasubiri atoke sijui chumbani anywe, mambo sio rahisi kama unavyodhani.

Mtu mwenye nafasi kama yako kuna maandiko anakuwa nao, sio huu wa kutumia emoji nyingi na kutumia lugha ambayo tunajua agent hawezi kuwa kama huyu. Kuna mambo mengi sana yana makosa ila tuishie hapa. Huu ulinzi anaopewa head of state unaoonesha hapa unaweza zidiwa na hata alionao CEO wa CRDB
[emoji23][emoji23][emoji23] kaka hiii ni riwaya haina ukweli wowote!! Jamani!!
 
Kama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.

Money the root of all Evil.
No... Money is not the root of all evil.... But people who worship money and other material possessions are the roots of all evil.
 
We nae mtu kama haelewi muache na ubozo wake. Hata kuna msemo wa kiswahili wanasema asiejua maana haambiwi maana.

Sasa hapa mtachafua uzi muda si mrefu kwa kupost picha za watu. Mnataka uzi ufutwe kwa kuonekana wa uchochezi.

Nakushauri ufute hiyo picha haraka. Unania nzuri kumsaidia mtu aelewe ila kumbuka si kila mtu ni wa kuelewesha ndio maana hata darasani kuna vilaza wa mwisho na hutoka wamefeli hata wakipewa majibu bado wanafeli.
 
Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.

Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?

Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?

Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.

Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
Hadi leo ukimtazama anaonekana hayuko very healthy mwili wake ni dhaifu fulani hivi.

Ni kama walichomfanyia striker mkuu wa muhula wa 4 a.k.a mamvi. Si uliona ghafla alibadilika afya na kuwa zombie na mtu alikuwa na afya yake nzuri tu na alikuwa active anaweza kujiexpress vema.

Ila hii ni michezo ya kitoto sana ambayo mtu akifika kuanzia miaka 80 ataanza kujutia kuifanya maana huo kwa waaafrika ni umri wa toba na kujiweka safi.

Unajiwekaje safi na hatia kali kama hizi?! Sawa sikatai dhambi ni dhambi ila si kweli kuwa dhambi zote zina uzito sawa mbele za MUNGU. Am sure kuna dhambi adhabu yake ni kali ukifananisha na nyinginezo.

So haya mapumbavu ipo siku yataelewa vema maana ya maisha ya duniani na maisha baada ya duniani.
 
Kumbe late ceo alikuwa sawa kuua na kupiga risasi wanafiq wote. YULE ALIKUWA KIONGOZI TUMEZINGIRWA NA FISI NA MBWA.ni bora angeendelea kuwamaliza mmoja mmoja. SASA born town si atamuua kila atakaekwenda kinyume nae. Watu wetu wa usalama tuwatafutie jina lingine ni UCHAFU.
Usalama sio jina sahihi. Hao ni mafisi. Hawana lolote ufala tu wanafanya
 
Back
Top Bottom