Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Kweli liKampuni limekuwa la hovyo haswa leo kurudisha ile 100/ ya petrolKama ni hivyo basi utakuwa yoga ni mpango wa old CEO ili ku divert attention kwa new CEO, ili aache ku focus na maadui zake.. Yaani wanamtengenezea adui mpya... kwa late CEO walimtengeneza Jay Z
Kampuni imekuwa ya hovyo sana
wakati CAG Kichere kasema loss ya kukata umeme imetumaliza na madeni yote ya Dowans na IPTL naona yatalipwa!
New CEO bila ya kulipangua hili kundi la Old CEO tumekwisha hasa yule aliyepo kwenye Nguvu za kiume kila siku kukata tu ili tununue viagra (Stigler gorge imemuumbua)