Kweli liKampuni limekuwa la hovyo haswa leo kurudisha ile 100/ ya petrolKama ni hivyo basi utakuwa yoga ni mpango wa old CEO ili ku divert attention kwa new CEO, ili aache ku focus na maadui zake.. Yaani wanamtengenezea adui mpya... kwa late CEO walimtengeneza Jay Z
Kampuni imekuwa ya hovyo sana
Kitabu kimeanza kunyofolewa karatasi, ili tucheze ngoma ya watoa comments, kwamba yaliyomo yamo
hata akiondoka leo lakini kazi aliyoifanya ni faida kwetu wote wenye Kampuni hii na wewe.Lakini huyu CEO wazamani kwani yeye ataenda wapi anaweza kuishi miaka 45 mbele?
Story ipo too exposed... Hakuna codes... Code ngumu ambayo haikuwa ya direct Ni kuhusu deep informer
(1) "So hakupaswa kuifungua ile breafcase until awe officially announced as CEO! Wakati huo timu ile nyingine bado haiamini! wakaitisha a small meeting and had a very deep discussion! they wanted to know what happend to their leader!! "
(2) "Dogo aliyekuwa kizuizini na team yake wakawa released ili kupunguza tention, lakini with caution they are being watched! So they should stay away from the company matters!!"
Kwahiyo, the team B wakaweza kufanya small meeting with deep discussion while bado wapo kizuizini (hawajawa released)??
Basi sawa mkuu yoga .
-Kaveli-
Ila jiwe kawadubda kweli kweli nikipitia nukta kwa nukta najikuta nacheka Sana.Hana lolote ni mwepesi mno.
Wakati jiwe kampiga exile mwandani wake pale viungani,ilikuwa ni kwa ajiri ya mazoea na kampuni na nia ilikuwa ni kumfanya mwalimu huyo akale pension na mzee wake aache kuhangaika.
Na alikuwa anamhanya toka ni kijakazi wake,maana ishu ya ubungo na jengo la wazee wa kukata,mjuba aligoma amri ya kima yoyote kusitisha akitaka jengo liende chini kama kanuni zinavyosema,jamaa ikabidi amtume wapigwe tu,ili akampange tingatinga.ni wazi japo alikuwa boss wake ila alikuwa haoni kama anatosha katika maamuzi,mlaini laini flani hivi fitna sana.
Old CEO fitina nyingi sana huyu mzee, sio mafia au masonic kweli huyu??Kama ni hivyo basi utakuwa yoga ni mpango wa old CEO ili ku divert attention kwa new CEO, ili aache ku focus na maadui zake.. Yaani wanamtengenezea adui mpya... kwa late CEO walimtengeneza Jay Z
Kampuni imekuwa ya hovyo sana
MkolomijeNaomba ufungue hii code ya branch manager kwa neno raisi bila kumtaja jina Natanguliza shukran
Mkolomije
HII code ya yoga sikuambulia ni nani huyu Dogo aliyeachiwa wakati wa msiba(2) "Dogo aliyekuwa kizuizini na team yake wakawa released ili kupunguza tention, lakini with caution they are being watched! So they should stay away from the company matters!!"
I can come over and hug u if u want me to.Damn iβm so emotional right now[emoji3064]
this game is too dirty [emoji53][emoji21]
Uzi umeanza kukatika hahahaaHuu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..
Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..
Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
Katika jambo la kipumbavu mwanadamu hatakiwi kufanya ni kuweka kiburi cha kuamini yeye ni 'untouchable' na hakuna wa kumtikisa wala kumgusa halafu na matako yake anakwenda nyumba ya ibada anapiga goti kuongea na MUNGU.Katika maisha kuwa makini Sana na vitu unavyo kula .
Ila Old CEO ameipenda Sana Dunia akidhani ataishi milele .
Huwa napata hasira sana nikienda sehemu halafu mlinzi anirudishe mlangoni kwasababu sijavaa barakoa. Huwa natamani nimchape kofi but huwa nasikia sauti za my ancestors wananing'oneza kunambia nishushe jazba nikatafute barakoa niepuke kuharibu siku yangu sababu ya kaugomvi kadogo kakipuuzi.Vyakula ni hatari sana ila the late ceo na team yake walimalizwa na powder ilowekwa kwenye zile documents. Kumbuka late ceo hawezi zisoma peke yake lazima na watu wake wa karibu wakaondoka kwa mgongo wa corona.
Inshort hii movie ilibidi ichezwe kwenye kipindi cha corona ili watu waamini kuwa ni Corona, ni mipango tu.
Corona ni mpango wa mataifa makubwa kutimiza matakwa yao. Kwenye hii vita ya urusi na Ukraine unaisikia corona tena?
Maybe alikuwa na uwezo wa ku decipher mchezo mzima before watu hawaja act. Jamaa inasemekana alikuwa deep sana ni ngumu kum bypass πMahiga nae alifanyaje hadi wakina old CEO wamuue?
Hizo ni narration skills it has non to do with the content!Huu Uzi mbona UNANICHANGANYA?mleta mada yanayoongelewa kila upande anayajua vizuri,Hadi yaliyoongelewa kwa Siri na Yule mwarabu wa Doha mleta mada anajua in detailsπ€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€mmmmh Hapana Kuna kitu hakiko sawa hapa......
Huyu Yoga umemuamini?yaani kila sehemu Kama yeye nae alikuwepo!kumbuka anasema walivyotangaza the late CEO is passed away Kuna mmoja akaruka huku anapop champagne yeeeh we did it!ghafla ukimya ukatawala...yoga hapa alikuwa kajificha wapi?.....Mara kukawa na kikao Cha Siri kubwa mpaka akaletwa mwarabu wa Doha ili mama aongee na kijana,it means alikuwa na mama na huyo kijana tu,!Sasa yeye kajuaje yaliyoongelewa Kati ya hao wawili Hadi kayaorothesha humu .....Yoga alijificha wapi kusikia hayo ya kikao?.....Yaani Yoga Ni Nani ajue kila upande wanachozungumza kiundani??yeye ndio wanamuamini Sana au??na Kama ingekuwa kweli anaaminika hivi sidhani Kama angekuja kuuza hii taarifa yote hapa...Yoga Ni Kanjanja Kama makanjanja wengine tuhawezi kuwa huyo ila sasa hivi deep informer atakuwa ameunda timu ya kumtambua yoga and those behind him, kwa sababu hii haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja. Hii story ya yoga imeshusha credibility ya new ceo significantly
Kama has got nothing to with the content sawa!I thought anamaanisha nilichokisoma......Kuna Mambo mengi Sana yakujiuliza...trh na matukio Kuna sehemu yanapishana....sawa nitamsoma Kama za Erick MsukumaHizo ni narration skills it has non to do with the content!
Angeamua kuandika andika tu bila paragrah bila mpangilio ungesikia..,ndefu sana sijasoma aliyesoma aseme kwa kifupi