Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Fuatilia channel yake!!

Pia ni vizuri wewe mwenyewe, piga goti muulize Mungu atathibitisha,

Hata Leo Mungu anasema na watu wake, Mimi pia Kuna mengi nimeoneshwa yanashabiiana na Nabii zake.

Amen
Mmmmmmh siamini unabii wake kwa sababu haendani kuwa kama Nabii, Dar es salaam imefanya maovu gani makubwa hadi ipatwe na adhabu hiyo?
Kule Marekani kuna majimbo km sikosei Sanfrasisco watu hutembea uchi wa mnyama beach watu husex live beach, Sweden majuzi tu walikuwa na mashindano ya kufanya ngono, Dar Es salaam uovu km huo haufikii maeneo hayo, mbona huko hakunatolewa adhabu kama hii?
 
Mmmmmmh siamini unabii wake kwa sababu haendani kuwa kama Nabii, Dar es salaam imefanya maovu gani makubwa hadi ipatwe na adhabu hiyo?
Kule Marekani kuna majimbo km sikosei Sanfrasisco watu hutembea uchi wa mnyama beach watu husex live beach, Sweden majuzi tu walikuwa na mashindano ya kufanya ngono, Dar Es salaam uovu km huo haufikii maeneo hayo, mbona huko hakunatolewa adhabu kama hii?
Unachekesha,

Unatumia vigezo Gani Ili kujua ni Nabii au Si Nabii?

Eliya na Yoh Mbatizaji walikuwa wanavaa ngozi na kuishi porini, hanyoi nywele kama kichaa mwonekano wao, lakini ndo walitumiwa na Mungu kutenda makuu!!

Unataka avae suit kama sugunyo na bulld wale manabii fake?

Nimekuwa nikisema humu Nchi hii ni Nchi ya AGANO, KITI kikuu anakitaka akae Mungu mwenyewe, hukusoma katika ufunuo kuwa atatawala miaka Elfu duniani? Inabomolewa nyumba ya zamani Ili ajenge mpya.

Usiwe mvivu, omba, Mungu atathibitisha.

Amen
 
Mmmmmmh siamini unabii wake kwa sababu haendani kuwa kama Nabii, Dar es salaam imefanya maovu gani makubwa hadi ipatwe na adhabu hiyo?
Kule Marekani kuna majimbo km sikosei Sanfrasisco watu hutembea uchi wa mnyama beach watu husex live beach, Sweden majuzi tu walikuwa na mashindano ya kufanya ngono, Dar Es salaam uovu km huo haufikii maeneo hayo, mbona huko hakunatolewa adhabu kama hii?
Nilileta unabii humu juu ya 2023 na kuendelea, sawasawa na Alivyotabiri Rabbi Kutoka Israel aitwaye Rush hashannah! IPO u tube.

Alitabiri world Recession, mapinduzi Nchi mbalimbali, maandamano, njaa , matetemeko nk nk, Turkey na Nchi nyingi yakayokea,

Na yote haya, Nabii huyo ameyaongelea even kabla ya hapo.

Tafuta utulivu, utafute kujua jinsi ya kuisikia sauti ya Mungu utajua.

Njaa Kali inakuja juu ya nchi, na tumekuwa tukishauri Nchi Itunze akiba,

Hizi ni nyakati za mwisho za kutisha, Ule Muhuri wa nne umeshafunguliwa sawasawa na kitabu Cha ufunuo.

Makinika.

Amen
 
Huo ni unabii.

Ok dig deep maana ya Tanganyika na mipaka yake kabla ya ujio wa WAKOLONI ilianza na kuishia wap.

Nenda pia Lango la jiji, kawaulize wazee maana ya ''Bandari salama''.

Nenda ktk historia, uliza pia ilikuwaje hapa kukawa center ya ukombozi wa HARAKATI za ukombozi Afrika nzima na kimbilio la wote WALIODHULUMIWA HAKI.

MISRI ndipo alipokimbilia Mary na mtoto Yesu Kutoka Israel mara ya kwanza kuepuka mtoto kuuwawa na Pirato.

MISRI ya rohoni IPO Africa. Mto NILE umeanza nyanza Hadi MISRI. Chanzo ni hapa.

Mto NILE umetabiriwa kukauka, unadhan Israel na MISRI time hii watakambilia wapi kufuata maji?

Kikombe Cha Loliondo kilileta watu karibia Kutoka pande nyingi za Dunia ingawa kilitoka Kuzimu.

Yajayo yatakuwa zaidi ya hapo, Dunia nzima watakuja kupata pumziko hapa.

Amen
.
 
Yote, safety zone ni kuanzia Picha ya ndege kibahae,

Anashauri uza nyumba, kiwanja, gari nk nk, nenda kajenge mbele huko,maana hawatokosa WANUNUZI akina Tomaso watakaopuuza na kusubiri yatokee.
Nina mashaka na huyo anayejiita nabii, kama ameonyeshwa na Mungu kuwa Dar Es salaam inaenda kuadhibiwa, yeye kama nabii wajibu wake ni upi?

Nabii Yona aliambiwa na Mungu kuwa mji wa Ninawi Mungu atatoa hukumu juu yake,

Kabla ya hiyo hukumu kutolewa, Mungu alimtuma Mtumishi wake Yona aende Ninawi akawahubirie waakazi juu ya mpango wa Mungu, pamoja na ugumu wa Yona awali,
baada ya shinikizo la Mungu, Yona alienda kuhubiri, na aliuzunguka mji wote kuuelezea wasipotubu nini kitatokea,

Hakuwaambia uzeni mali zenu kisha hameni Ninawi, nendeni mjini mwingine, hakufanya hivyo,
Lkn huyu anawaambia watu wauze nyumba zao, gari na mali zao kisha wahamie kuanzia kibaha,
Je ana viwanja vingi kule anataka apige hela?
Au mawakala wa kuuza viwanja wanamtumia?
Je yeye na Kibwetere au Makezi wa Kenya wanatofauti ipi?
 
Nilileta unabii humu juu ya 2023 na kuendelea, sawasawa na Alivyotabiri Rabbi Kutoka Israel aitwaye Rush hashannah! IPO u tube.

Alitabiri world Recession, mapinduzi Nchi mbalimbali, maandamano, njaa , matetemeko nk nk, Turkey na Nchi nyingi yakayokea,

Na yote haya, Nabii huyo ameyaongelea even kabla ya hapo.

Tafuta utulivu, utafute kujua jinsi ya kuisikia sauti ya Mungu utajua.

Njaa Kali inakuja juu ya nchi, na tumekuwa tukishauri Nchi Itunze akiba,

Hizi ni nyakati za mwisho za kutisha, Ule Muhuri wa nne umeshafunguliwa sawasawa na kitabu Cha ufunuo.

Makinika.

Amen
Kwa huyo sikatai ila si huyo wa Unyakuo Tv, kwani huwa ana copy na paste kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo kutoka Tendwa tv na kwa Nabii wa ishara Tanzania.
 
Unachekesha,

Unatumia vigezo Gani Ili kujua ni Nabii au Si Nabii?

Eliya na Yoh Mbatizaji walikuwa wanavaa ngozi na kuishi porini, hanyoi nywele kama kichaa mwonekano wao, lakini ndo walitumiwa na Mungu kutenda makuu!!

Unataka avae suit kama sugunyo na bulld wale manabii fake?

Nimekuwa nikisema humu Nchi hii ni Nchi ya AGANO, KITI kikuu anakitaka akae Mungu mwenyewe, hukusoma katika ufunuo kuwa atatawala miaka Elfu duniani? Inabomolewa nyumba ya zamani Ili ajenge mpya.

Usiwe mvivu, omba, Mungu atathibitisha.

Amen
Nabii wa Mungu huwa ameshiba neno la Mungu, huyo wa unyakuo tv ameshiba neno la Mungu?
 
Nina mashaka na huyo anayejiita nabii, kama ameonyeshwa na Mungu kuwa Dar Es salaam inaenda kuadhibiwa, yeye kama nabii wajibu wake ni upi?

Nabii Yona aliambiwa na Mungu kuwa mji wa Ninawi Mungu atatoa hukumu juu yake,

Kabla ya hiyo hukumu kutolewa, Mungu alimtuma Mtumishi wake Yona aende Ninawi akawahubirie waakazi juu ya mpango wa Mungu, pamoja na ugumu wa Yona awali,
baada ya shinikizo la Mungu, Yona alienda kuhubiri, na aliuzunguka mji wote kuuelezea wasipotubu nini kitatokea,

Hakuwaambia uzeni mali zenu kisha hameni Ninawi, nendeni mjini mwingine, hakufanya hivyo,
Lkn huyu anawaambia watu wauze nyumba zao, gari na mali zao kisha wahamie kuanzia kibaha,
Je ana viwanja vingi kule anataka apige hela?
Au mawakala wa kuuza viwanja wanamtumia?
Je yeye na Kibwetere au Makezi wa Kenya wanatofauti ipi?
Tutathibitisha uongo au UKWELI wake baada ya 1-20 May 2024,

Ingawa mtu makini Si sawa kusubiri kuthibitisha Ukiwa ndani ya danger zone,

Pia hulazimishwi kuuza, waeza nunua nyumba nk nk Kwa Bei Chee pale wajinga watapouza.
 
Nilileta unabii humu juu ya 2023 na kuendelea, sawasawa na Alivyotabiri Rabbi Kutoka Israel aitwaye Rush hashannah! IPO u tube.

Alitabiri world Recession, mapinduzi Nchi mbalimbali, maandamano, njaa , matetemeko nk nk, Turkey na Nchi nyingi yakayokea,

Na yote haya, Nabii huyo ameyaongelea even kabla ya hapo.

Tafuta utulivu, utafute kujua jinsi ya kuisikia sauti ya Mungu utajua.

Njaa Kali inakuja juu ya nchi, na tumekuwa tukishauri Nchi Itunze akiba,

Hizi ni nyakati za mwisho za kutisha, Ule Muhuri wa nne umeshafunguliwa sawasawa na kitabu Cha ufunuo.

Makinika.

Amen
Hatari
 
Nina mashaka na huyo anayejiita nabii, kama ameonyeshwa na Mungu kuwa Dar Es salaam inaenda kuadhibiwa, yeye kama nabii wajibu wake ni upi?

Nabii Yona aliambiwa na Mungu kuwa mji wa Ninawi Mungu atatoa hukumu juu yake,

Kabla ya hiyo hukumu kutolewa, Mungu alimtuma Mtumishi wake Yona aende Ninawi akawahubirie waakazi juu ya mpango wa Mungu, pamoja na ugumu wa Yona awali,
baada ya shinikizo la Mungu, Yona alienda kuhubiri, na aliuzunguka mji wote kuuelezea wasipotubu nini kitatokea,

Hakuwaambia uzeni mali zenu kisha hameni Ninawi, nendeni mjini mwingine, hakufanya hivyo,
Lkn huyu anawaambia watu wauze nyumba zao, gari na mali zao kisha wahamie kuanzia kibaha,
Je ana viwanja vingi kule anataka apige hela?
Au mawakala wa kuuza viwanja wanamtumia?
Je yeye na Kibwetere au Makezi wa Kenya wanatofauti ipi?
Je,watu wa sodoma na gomola walitumiwa mhubiri?
Mungu si mwanadamu afanye sawa sawa na wanadamu watakavyo.
Kipindi cha nuhu wapo walioangalia majira ya wakati ule,wakaona haiwezekani mvua zikanyesha hadi kuleta mafuriko ya kumeza hata milima mirefu.
 
On Tanzania kuwa sehemu takatifu naweza kukubalia. Sababu ukisoma vizuri e mipaka ya eden kutoka kwenye kitabu cha jubilee utaona Eden ilikuwa East Africa Nile ilipoanzia. Ndo maana Wazungu walibadili majina sehemu nyingi sana Africa ili kuficha hizo sehemu.
Plus east Africa zamani ilikuwa inaitwa AZANIA. Ambalo ni Hebrew name. Na TZ ndio pekee tumebaki na hili Jina.
Na Ile miaka 1000 ambayo atatawala Mkuu duniani inaonyesha kabisa ni Sub saharan Africa to be exact.
But kwenye adhabu hapo ya matetemeko kwa Dar es Salaam ndo bado sijakupata. Why God should punish us for what?
Au labda sababu machief wetu waliuza watu wake Utumwani??.
But hata west African chiefs waliuza pia.
Wazungu na waarabu wakawaua na kuwafanyisha kazi ngumu for years. Ingawa ilitabiriwa itakuwa hivyo kwenye kumb LA torati 28.
But nimeona museveni juzi anaomba msamaha kwa jinsi tulivyousika and nadhani kikwete nae aliomba pia. Au haijatosha? Nipe nyama kidogo
 
Back
Top Bottom