Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Tuunge dot slowly tutajua tu.

Bt amesema humo kuwa Junior atakuja geukwa na Watatu ambapo hatokuwepo wa kumsaidia.

Nahisi dude la Desert mission linaenda pia kumaliza utawala wa Junior Ili mfumo mpya wa utawala uanze!!
Hongera sana mkuu Rabbon hakika una maono pia si ya polepole.

Kuna sehemu niliwahi ku comment kuwa vipepeo weusi wanapaswa kufanya vetting kupitia upande wa akina mr new culture maana tuendako CEO wa kampuni anaweza kutokea popote. Bt ameipitisha kubaya sana hii kampuni wasimtolee uhai ila wamuondolee mamlaka ili kampuni isonge mbele.

Hii kampuni ina kila kitu lakini wapuuzi wachache tu wananufaika nayo. Naamini Mungu ni mwema atatuvusha salama.
 
after reading the thread, i have noticed that there is nothing new from the author. almost everything he/she talks about is nothing far from rumours and speculations associating with jpm death.

alichofanya ni kuokoteza tu vistory vya vijiweni na kuvitengenezea uzi.

mleta mada kilaza sana, uzi wake una makosa kibao ya kisarufi, imagine hata neno 'serious' anashindwa kuliandika kwa usahihi.
 
N

Aomba link mkuu
Yaani kuna watu wawili, Mwl Mwakasege na TumainiEl, Mwl Mwakasege yeye alisema litatokea jambo ambalo litapingwa na pande zote yaani halijulikani kama ni zuri au baya ila litapigwa kwa mazuri yake na mabaya yake ila hapana suluhisho alisisitiza watu wasali. Tumaini yeye alisema kuna jambo kubwa mwezi wa nane laenda kutokea.
 
Hongera sana mkuu Rabbon hakika una maono pia si ya polepole.

Kuna sehemu niliwahi ku comment kuwa vipepeo weusi wanapaswa kufanya vetting kupitia upande wa akina mr new culture maana tuendako CEO wa kampuni anaweza kutokea popote. Bt ameipitisha kubaya sana hii kampuni wasimtolee uhai ila wamuondolee mamlaka ili kampuni isonge mbele.

Hii kampuni ina kila kitu lakini wapuuzi wachache tu wananufaika nayo. Naamini Mungu ni mwema atatuvusha salama.
Ni Kweli, bt mwandishi asema junior aliondoshwa Kwa njia isokuwa ya Amani,

Ni maombi yangu Wana family wasipate madhara makubwa.

Bt wakazi wakaao Bandari salama wanasisitizwa kutopuuzia ujumbe wa kuepuka ADHABU ya madhabahu zilizoko majini Ili Nuru kuu ije kungara zaidi huko mbeleni.

Maana wakati mifumo ya WANADAMU wakipanga Yao juu ya mabadiliko ya kiutawala, Mungu pia anapangua yake kusimamisha KITI chake na madhabahu ktk Nchi hii hii Nyikani.

Tusubiri.
 
MAONO:

Nami nikaona mkono wa mtesi umekuwa mkalia dhidi yetu, tukafichwa pangoni Ili Hali Ile ipite. Tulikuwa manabii wengi, lakini niliwatambua wawili.

Ghafula akaingia mtesi wetu pangoni tulimokuwa tumefichwa, alionekana akiwa pekeake.

Nikiwa mafichoni na manabii wengine ghafula mtesi akaonekana akiingia ndani ya pango akidhani anaingia maliwato, na alionekana kuingia Mahali palipokuwa tofauti na hadhi yake kuingia.

Alipopiga hatua kadhaa ghafula akaanza kutupa baadhi ya mavazi yake na kuongea maneno yasiyojukikana kama mtu aliyetatizwa na jambo kubwa.

Nilipoona anapoteza mwelekeo, nilitoka mafichoni kutaka kumsaidia kumwelekeza njia sahihi, kumbuka wakati huo anaingia pangoni waangalizi wa mtesi aliwaacha nje ya pango akiingia ndani pekeake.

Mmoja wa askari, nabii wenzangu akanambia, usimsogelee, endelea kujificha, ni mtego, wakati nikitafakari kuhusu kusikiza ushauri wa askari mwenzangu, ghafula wakatokea waangalizi wa mtesi wangu Kwa ghafula na kutushambulia. Cha kushangaza Hakuna silaha ilofanikiwa kumdhuru hata mmoja wetu.

Kwa Sababu hatukuwa na Nia mbaya juu ya mtesi wetu, tulijieleza kuwa sisi Si maadui, Nia yetu ilikuwa ni kumsaidia mtesi wetu sababu Yeye ni mpakwa mafuta wa BWANA.

Waangalizi wa mtesi wetu walituchukua Mahali na kutuweka chini ya ulinzi, lakini Cha kushangaza ni kuwa, hakutokea aliyediriki kutudhuru, na waangalizi hao walisaidia kututorosha na kutuachia huru na tukaendelea na safari yetu.

Baada ya Kwisha maoni hayo nimekaa na kutafakari ujumbe utokanao na maono hayo, nikapata kukumbuka juu ya Daudi na Sauli pangoni, pale Daudi alipomtia mikononi mtesi wake lakini hakumdhuru. (1 samwel 24:1-20).

Hata sasa, Mungu anaendelea kusema na watu wake Kwa njia mbali mbali. Mungu anatuasa tusilipize kisasi maana kisasi ni Cha BWANA, na yote yatokeayo amepanga Yeye Ili kututengenezea njia BAADAYE.

Amen
 
Wakazi wote waishio mji uitwao Bandari salama mmepata neema ya kujiandaa na kujiokoa na yajayo.

Litatokea tetemeko kubwa zaidi ya lililotokea Turkeyo, maji ya Bahari yatatikiswa Nchi kavu itapasuliwa na Kutokea shimo kubwa, maji yatafunika mji wote, haitasalia nyumba juu ya ardhi iliyo salama.

Wana wa Mungu wamepewa majira ya Kutokea dhahama hiyo Ili wajiandae kuhama.

Majira ni:

Tarehe (1-20).

Mwezi: APRIL -May

Mwaka: 2024.

Safety zone: Kuanzia KIBAHA, jumba la ndege.

Source: Tembelea UNYAKUO TV channel Kwa maelekezo zaidi.

NB; Wajinga watachukua hatua maana Bado muda upo, ila werevu, wajuaji, wasioamini, viburi watasubiri yatokee.

Mungu ibariki Nyikani.

AMEN.
Nimekuwa nikiusoma huu uzi kimya kimya ..na nimesoma comments zako zote pamoja na TumainiEl mlichokuwa mnakisema ndicho ninachokiona sasa lakini kwenye huu uzi watu waliwashambulia sanaaaa 😌😌hakika Mungu aingilie kati hii Tanzania.
 
Nina mashaka na huyo anayejiita nabii, kama ameonyeshwa na Mungu kuwa Dar Es salaam inaenda kuadhibiwa, yeye kama nabii wajibu wake ni upi?

Nabii Yona aliambiwa na Mungu kuwa mji wa Ninawi Mungu atatoa hukumu juu yake,

Kabla ya hiyo hukumu kutolewa, Mungu alimtuma Mtumishi wake Yona aende Ninawi akawahubirie waakazi juu ya mpango wa Mungu, pamoja na ugumu wa Yona awali,
baada ya shinikizo la Mungu, Yona alienda kuhubiri, na aliuzunguka mji wote kuuelezea wasipotubu nini kitatokea,

Hakuwaambia uzeni mali zenu kisha hameni Ninawi, nendeni mjini mwingine, hakufanya hivyo,
Lkn huyu anawaambia watu wauze nyumba zao, gari na mali zao kisha wahamie kuanzia kibaha,
Je ana viwanja vingi kule anataka apige hela?
Au mawakala wa kuuza viwanja wanamtumia?
Je yeye na Kibwetere au Makezi wa Kenya wanatofauti ipi?
Mkuu naomba jina la huyo nabii nimfuatilie huko YouTube
 
Revelation au ufunuo,

NYIKANI ndiyo Misri ya rohoni, Nyikani ndiyo Nyikani alipokimbilia mwanamke ktk ufunuo 12:6,

Fuatilia tafsiri ya Bandari salama, na Nyikani ikitokea wao utajua ni code unlocked.
shida mnasoma biblia mkiwa na mawazo na matamanio yenu.....
nyikani inayotajwa hapo wala sio tanganyika,....
kwenye hilo fungu kaongelea 'mahali Bwana wao aliposulubiwa', je Yesu alisulubiwa tanganyika?
 
On Tanzania kuwa sehemu takatifu naweza kukubalia. Sababu ukisoma vizuri e mipaka ya eden kutoka kwenye kitabu cha jubilee utaona Eden ilikuwa East Africa Nile ilipoanzia. Ndo maana Wazungu walibadili majina sehemu nyingi sana Africa ili kuficha hizo sehemu.
Plus east Africa zamani ilikuwa inaitwa AZANIA. Ambalo ni Hebrew name. Na TZ ndio pekee tumebaki na hili Jina.
Na Ile miaka 1000 ambayo atatawala Mkuu duniani inaonyesha kabisa ni Sub saharan Africa to be exact.
But kwenye adhabu hapo ya matetemeko kwa Dar es Salaam ndo bado sijakupata. Why God should punish us for what?
Au labda sababu machief wetu waliuza watu wake Utumwani??.
But hata west African chiefs waliuza pia.
Wazungu na waarabu wakawaua na kuwafanyisha kazi ngumu for years. Ingawa ilitabiriwa itakuwa hivyo kwenye kumb LA torati 28.
But nimeona museveni juzi anaomba msamaha kwa jinsi tulivyousika and nadhani kikwete nae aliomba pia. Au haijatosha? Nipe nyama kidogo
mipaka ya Edeni ukisoma ni Iran/Iraq (somewhere eneo hilo), kwa sababu ile mito minne iko huko!
kumbuka baadhi ya mito ilifukiwa na gharika, so probability kubwa ni huko maana afrika hakuna eneo lenye uwezekano wa kuwa na mito 4 yenye chanzo kutoka eneo moja!
 
mipaka ya Edeni ukisoma ni Iran/Iraq (somewhere eneo hilo), kwa sababu ile mito minne iko huko!
kumbuka baadhi ya mito ilifukiwa na gharika, so probability kubwa ni huko maana afrika hakuna eneo lenye uwezekano wa kuwa na mito 4 yenye chanzo kutoka eneo moja!
Bibilia haijasema kama chanzo cha moto minne kilikua kimoja, duniani nchi pekee ambayo imezumgukwa na moto minne ni Tanzania peke yake. Mto Ruvuma, Mto Pangani/Wami, Mto Rufiji na Mto Kagera na Malagarasi.
Usije na nadhalia ya kwamba mito ilipotoe kutokana na gharika la Nuhu, wakati ghalika ni kitu cha kufikirika tu, ukisema kipo nambie wanyama walikula nini kwa siku zote walizoa ndani ya safina?

Sent from my iPlay_20P using JamiiForums mobile app
 
Bibilia haijasema kama chanzo cha moto minne kilikua kimoja, duniani nchi pekee ambayo imezumgukwa na moto minne ni Tanzania peke yake. Mto Ruvuma, Mto Pangani/Wami, Mto Rufiji na Mto Kagera na Malagarasi.
Usije na nadhalia ya kwamba mito ilipotoe kutokana na gharika la Nuhu, wakati ghalika ni kitu cha kufikirika tu, ukisema kipo nambie wanyama walikula nini kwa siku zote walizoa ndani ya safina?

Sent from my iPlay_20P using JamiiForums mobile app
gharika sio kitu cha kufikirika mkuu, ilitokea kweli na swali la wanyama walikula nini mimi sijui as sikuwepo ndani ya Safina!

kuhusu mito kufukiwa sio jambo la ajabu,... ushawahi kusoma habari za babeli? ila leo hakuna dalili za existance ya huo mji (ufalme) ambazo unaweza kuona kwa macho, zaidi ya wanasayansi wanaofanya utafuti kwa kuchimba chini.....

kwa kumalizia, ukisoma vizuri biblia utagundua hasa shape ya geografia ya dunia iliyokuwepo kabla ya gharika na hii baada ya gharika zinatofautiana, which means kuna vitu Mungu aliamua kuvificha (
 
Yaani kuna watu wawili, Mwl Mwakasege na TumainiEl, Mwl Mwakasege yeye alisema litatokea jambo ambalo litapingwa na pande zote yaani halijulikani kama ni zuri au baya ila litapigwa kwa mazuri yake na mabaya yake ila hapana suluhisho alisisitiza watu wasali. Tumaini yeye alisema kuna jambo kubwa mwezi wa nane laenda kutokea.
Nimesikia Mara nyingi hasa kwenye haya masomo ya Msimu Mpya...Mfumo mpya,. Ila Tumainiel sijamsikia sana kama unaweza kunifafanulia alisemea wapi na mimi nikajifunze zaid
 
Back
Top Bottom