Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Tutathibitisha uongo au UKWELI wake baada ya 1-20 May 2024,

Ingawa mtu makini Si sawa kusubiri kuthibitisha Ukiwa ndani ya danger zone,

Pia hulazimishwi kuuza, waeza nunua nyumba nk nk Kwa Bei Chee pale wajinga watapouza.
Watu wa Sodoma na Gomora waliishi na mtumishi wa Mungu naye
Je,watu wa sodoma na gomola walitumiwa mhubiri?
Mungu si mwanadamu afanye sawa sawa na wanadamu watakavyo.
Kipindi cha nuhu wapo walioangalia majira ya wakati ule,wakaona haiwezekani mvua zikanyesha hadi kuleta mafuriko ya kumeza hata milima miref
 
On Tanzania kuwa sehemu takatifu naweza kukubalia. Sababu ukisoma vizuri e mipaka ya eden kutoka kwenye kitabu cha jubilee utaona Eden ilikuwa East Africa Nile ilipoanzia. Ndo maana Wazungu walibadili majina sehemu nyingi sana Africa ili kuficha hizo sehemu.
Plus east Africa zamani ilikuwa inaitwa AZANIA. Ambalo ni Hebrew name. Na TZ ndio pekee tumebaki na hili Jina.
Na Ile miaka 1000 ambayo atatawala Mkuu duniani inaonyesha kabisa ni Sub saharan Africa to be exact.
But kwenye adhabu hapo ya matetemeko kwa Dar es Salaam ndo bado sijakupata. Why God should punish us for what?
Au labda sababu machief wetu waliuza watu wake Utumwani??.
But hata west African chiefs waliuza pia.
Wazungu na waarabu wakawaua na kuwafanyisha kazi ngumu for years. Ingawa ilitabiriwa itakuwa hivyo kwenye kumb LA torati 28.
But nimeona museveni juzi anaomba msamaha kwa jinsi tulivyousika and nadhani kikwete nae aliomba pia. Au haijatosha? Nipe nyama kidogo
Point kubwa ya mwandishi ni kuwa mwarabu asiwekeze hapo bandarin maana kuna tetemeko linategemewa
 
Kuna kuzidiana katika kutafuta mali wapo wanaotumia nguvu na wanaotumia akili , kwa mwanadamu huwezi kufanikiwa kama utatumia nguvu sana watakuuwa. Ukitumia akili utapata mpaka vya uvunguni. Kwa mfano ukiwa mwizi na ukiwa mcha mungu yupi anyesikilizwa kwenye kuchangia mawazo jibu unalo na ndiyo maana hata hao wezi nao wanakuwa mapadri, mapasta na hata mashehe hivyo yatupasa kuwa wenye imani ya kweli na msiwafananishe waongo na manabii. wa mungu kumbuka hata shetani alikuwa malaika lakini aliasi itakuwaje lwa binadamu. Ndiyo maana kuna watu na binadamu mmoja ni muasi.
 
Halafu pia mkuu!ujue hata kama Born town katumika kwenye mission Sio yeye binafsi kama yeye!!Bali wenye nchi watakua wamemshirikisha mchongo HUO!!Tumia akili anaandika kuwa the state has no feelings towards individual but Loyal to the nation!!!Pia kama Late CEO angekuwa na backing ya the state Nadhani asinge be eliminated ni kwasababu alihatarisha usalama wa jamuhuri!!!Nadhani Mzee wa Sawa sawa ali be eliminated kisa Laana ya Abdu jumbe ndio màana wenye state hawakutaka atangazwe mshindi kwa miaka mingi Sana ya ushindi wake wa chaguzi!!Pia ile dokumenti ambayo ilikuwa sealed aliopewa na mzee wa sawa sawa haikutoka kwa Born town coz asingeweza kuifanya attractive vile kum impress Mzee wa Sawa sawa bali state yenyewe!!!Mawazo huru tu hayo wala nisitiliwe shaka!!!!
Sawa sawa na moja aliachiwa laana gani tena na Mjumbe hauwawi?
 
Kwa kweli mambo ni mengi sana na hapa ndipo tunategemea tupate chochote lakini kimya cha hatari. Si rabbon, samrai, namba moja ajaye, TumainiEl wala tumia akili aliyetia neno lolote
Hujamuona BT imebidi aparamie madhabahu macho yamemtoka?

Kumbe KP Wala hahusiki na dessert mission, mastermind ni yule yule sterling BT.

KAZI IPO!!
 
Hujamuona BT imebidi aparamie madhabahu macho yamemtoka?

Kumbe KP Wala hahusiki na dessert mission, mastermind ni yule yule sterling BT.

KAZI IPO!!
Bt kwa kweli hii nchi anaipeleka puta sana sijui kwanini hawamzuii wale jamaa zetu vipepeo weusi maana taifa ni kama linagawiwa kiholela sana issue ya roliondo nayo ilikuwa hot sana lakini ni kama wamasai walikosa wa kuwasemea ikabidi wachezee vitasa mpaka wakaona isiwe taabu wakaenda kutaabika msomera
 
Bt kwa kweli hii nchi anaipeleka puta sana sijui kwanini hawamzuii wale jamaa zetu vipepeo weusi maana taifa ni kama linagawiwa kiholela sana issue ya roliondo nayo ilikuwa hot sana lakini ni kama wamasai walikosa wa kuwasemea ikabidi wachezee vitasa mpaka wakaona isiwe taabu wakaenda kutaabika msomera
Ana mizizi imetapakaa kote huko ndani na nje!

Pia TumainiEl ametoa thread isemayo:

TETESI: Jaribio la mwaka Dp world ni Kali zaidi kuliko Picha IPO uwanjani.

Ndani anasema dude Hilo nalo ni mtego Ili kuja kubadili mfumo wa uongozi wa chama chakavu,

Tujiandae Kwa yajayo, maana sie waonaji tunaoneshwa mabadiliko hayo hayatakuja bila nyasi kuuumia yapambanapo majabali Yale.

Pitia pia Utabiri wa Simba Junior kuondolewa utawala na Simba 3 waliotokea kusikojulikana.

Mambo yamechemka.

Ila kiukweli anayekadharau haka ka familia ketu, anakosea sana, tuko vizuri kimipango!!
 
Ana mizizi imetapakaa kote huko ndani na nje!

Pia TumainiEl ametoa thread isemayo:

TETESI: Jaribio la mwaka Dp world ni Kali zaidi kuliko Picha IPO uwanjani.

Ndani anasema dude Hilo nalo ni mtego Ili kuja kubadili mfumo wa uongozi wa chama chakavu,

Tujiandae Kwa yajayo, maana sie waonaji tunaoneshwa mabadiliko hayo hayatakuja bila nyasi kutumia yapambanapo majabali Yale.

Pitia pia Utabiri wa Simba Junior kuondolewa utawala na Simba 3 waliotokea kusikojulikana.

Mambo yamechemka.

Ila kiukweli anayekadharau haka ka familia ketu, anakosea sana, tuko vizuri kimipango!!
Hiyo ya simba watatu nimeiona ila huyo simba rafiki wa bob junior ambaye haonekani alikoenda baada ya rafiki yake kupotezwa bado ni code inanipa shida
 
Bt kwa kweli hii nchi anaipeleka puta sana sijui kwanini hawamzuii wale jamaa zetu vipepeo weusi maana taifa ni kama linagawiwa kiholela sana issue ya roliondo nayo ilikuwa hot sana lakini ni kama wamasai walikosa wa kuwasemea ikabidi wachezee vitasa mpaka wakaona isiwe taabu wakaenda kutaabika msomera
Naomba atokee Rais mwingine mithili ya JPM abatilishe mikataba yote ya kipu.mbavu pu.mbavu ikiwemo hiyo ya kuwaondoa Wamasai wa watu sehemu zao za asili!
 
Hiyo ya simba watatu nimeiona ila huyo simba rafiki wa bob junior ambaye haonekani alikoenda baada ya rafiki yake kupotezwa bado ni code inanipa shida
Tuunge dot slowly tutajua tu.

Bt amesema humo kuwa Junior atakuja geukwa na Watatu ambapo hatokuwepo wa kumsaidia.

Nahisi dude la Desert mission linaenda pia kumaliza utawala wa Junior Ili mfumo mpya wa utawala uanze!!
 
Ana mizizi imetapakaa kote huko ndani na nje!

Pia TumainiEl ametoa thread isemayo:

TETESI: Jaribio la mwaka Dp world ni Kali zaidi kuliko Picha IPO uwanjani.

Ndani anasema dude Hilo nalo ni mtego Ili kuja kubadili mfumo wa uongozi wa chama chakavu,

Tujiandae Kwa yajayo, maana sie waonaji tunaoneshwa mabadiliko hayo hayatakuja bila nyasi kuuumia yapambanapo majabali Yale.

Pitia pia Utabiri wa Simba Junior kuondolewa utawala na Simba 3 waliotokea kusikojulikana.

Mambo yamechemka.

Ila kiukweli anayekadharau haka ka familia ketu, anakosea sana, tuko vizuri kimipango!!
Nimeenda kusoma ule utabiri wa Tumainiel ,
Kumbe kuna yajayo yatakayo furahisha!
 
Waraka wa "teki" kuhusu zimwi la "di pi weldi" lamuibua "king leader" hadharani, na kulihusisha na uchanganyaji wa dini na siasa. Sasa napata picha kwa nini Yoga ameisitisha simulizi yake hadi ifikapo mwezi Disemba.

Yaelekea BT na vijana wake waliamini kuwa wameweza kumdhibiti CEO, wa sasa na saaa yupo pamoja nao, na huku wakiamini pia kundi la CEO aliyepita nalo limesambalatika na halina madhara tena kwao. Kwa upande wa Mr. New Culture waliamini kwa madhila waliyoyapitia kwa miaka 6 itawachukua muda kurudi kuwa "fit" katika majukwaa ya kisiasa.

Tai na kunguru weusi kumbe walikesha na kusubiri wapi pa kuweza kumchinja kobe. Kwa upande wa BT na vijana wake hali wakiamini kuwa hakuna kipingamizi tena kwao, zimwi linaibuka na kutishia uhai wao, Kampuni ipo majaribuni na katika mtihani mgumu kwa kadiri ya sakata hili linavyozidi kuendelea, limegeuka kuwa "pandora box" na kila kukicha likizidi kuibua mambo mengine mapya.
 
Back
Top Bottom