Dark days 17/03/20...

Yeah na si umeona jana malyamungu kaanza na diblo mzee WA afro. Mmoja mmoja wanaonekana tishio wataguswa wakereke ili waachie ngazi wenyewe au waogope..... Bado upepo ndio kwanza unavuma. Wanaotafutwa soon wote utawajua
 
Yeah na si umeona jana malyamungu kaanza na diblo mzee WA afro. Mmoja mmoja wanaonekana tishio wataguswa wakereke ili waachie ngazi wenyewe au waogope..... Bado upepo ndio kwanza unavuma. Wanaotafutwa soon wote utawajua
1. Vipi majukumu ya Malyamungu ni yapi?

3. Kwa mjibu wa nafasi yake mipaka yake kwenye kiti chake ni ipi?

4. Kumtaka diblo afute migogoro kimajukumu yuko sahihi?
5. Malyamungu na Diblo si ni kambi moja? Hawaoni kuwa Mkojani Morden Taarab inawadhoofidha nguvu SG kwa kuwatumia wao kwa wao?
Ee watu wameteka kifaru kisha kinatumika kuwashambulia wamiliki wa awali.

6. Kwa miaka 60+ zikiwa zimepita serikali 5 zimeshindwa kufuta migogoro ya ardhi, miezi 6 inatosha kuondolewa na PM?
 
Ni swala la kumeza mate na kuyakubali maumivu ya kujikwaa,, hebu tuvute kiti na funda la maji baridi kivulini tukisubir jua lizame au kuchomoza!
 

"Tukutane December kunajambo letu"
yoga December ya 2023 au 2024?
Jambo ambalo lipo ni kumtoa kiraja mkuu au?
 
Three weeks to gooo!!!


Title: The last empress 19/03/2021



LET ............THE.........STORY........... BEGIN.........[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…