Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
TUJITEGEMEE mkuu hivi Tumia akili yule Dipu steti mbona kimya sana kwenye jukwaa?Kwamba current CEO kamzidi kete Born Town? Sidhani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUJITEGEMEE mkuu hivi Tumia akili yule Dipu steti mbona kimya sana kwenye jukwaa?Kwamba current CEO kamzidi kete Born Town? Sidhani!
Chezea Mkojani modern taarab na BT, huenda wamewalainisha Dipu siteti kwenye maslahi yao binafsi......Deep state mbona kama wamebanwa mbavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]???
Branch manager wa Branch kubwa kwenye kampuni ndio huyoo! kulikoni!!?Don't worry
Je BT na Mkojani mornden taarab hawajafanya political science ili kuwazoofisha SG?Branch manager wa Branch kubwa kwenye kampuni ndio huyoo! kulikoni!!?
Yeah na si umeona jana malyamungu kaanza na diblo mzee WA afro. Mmoja mmoja wanaonekana tishio wataguswa wakereke ili waachie ngazi wenyewe au waogope..... Bado upepo ndio kwanza unavuma. Wanaotafutwa soon wote utawajuaNi hivyo tu. Lakini kusema sijui ukanda wenye wapiga kura wengi sijui kimepoteza mvuto ni miluzi mingi tu kwenye kumpoteza mbwa.
She elected him for her own benefit. Kwan CEO anajua fika kugumu ni humo ndani ukipaweza baaasi huko nje ni kiwepesi tu unateleza.
1. Vipi majukumu ya Malyamungu ni yapi?Yeah na si umeona jana malyamungu kaanza na diblo mzee WA afro. Mmoja mmoja wanaonekana tishio wataguswa wakereke ili waachie ngazi wenyewe au waogope..... Bado upepo ndio kwanza unavuma. Wanaotafutwa soon wote utawajua
Ni swala la kumeza mate na kuyakubali maumivu ya kujikwaa,, hebu tuvute kiti na funda la maji baridi kivulini tukisubir jua lizame au kuchomoza!1. Vipi majukumu ya Malyamungu ni yapi?
3. Kwa mjibu wa nafasi yake mipaka yake kwenye kiti chake ni ipi?
4. Kumtaka diblo afute migogoro kimajukumu yuko sahihi?
5. Malyamungu na Diblo si ni kambi moja? Hawaoni kuwa Mkojani Morden Taarab inawadhoofidha nguvu SG kwa kuwatumia wao kwa wao?
Ee watu wameteka kifaru kisha kinatumika kuwashambulia wamiliki wa awali.
6. Kwa miaka 60+ zikiwa zimepita serikali 5 zimeshindwa kufuta migogoro ya ardhi, miezi 6 inatosha kuondolewa na PM?
Tarehe 03/11/2023Don't worry
Ni usiku but ni tyme nzuri kufikisha ujumbe mzuri nlionao: dark days ni story ambayo ni imaginary tu..... Yaani inazungumzia imaginary company! It is Not a trueMstory [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] it's not real just fictional!
Nlitamani Sana kuiendeleza kwa kuweka last episodes kabla ya kuintroduce the new one but naona tuishie hapo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] since hata flow yake imepotea kutokana na beautiful comments za woote mlioifatilia🥱[emoji2960]
With this statement let's put an end to this story ...... Ingawa discussion zitaendelea but pleeeeeeeease without naming people🥱[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]
Sema sasa............
Hivi mnajua new CEO kapata backup ya maaana that imempa confidence she can win this war????
Na je Hivi mnajua for the first time, born town side for a bit thought the were loosing the war???
kuna jambo laja ................... sema nini......... Ndugu wakigombana ...................
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Nawa love sanaaaaaaa: ACHA ..............IENDELEE
Tukutane December kunajambo letu[emoji102]
yoga December ya 2023 au 2024?"Tukutane December kunajambo letu"
Kwa nini nilikuwa Nawaza Novemba!!!?Tukutane December kunajambo letu![]()
Blood fucker!If this is not fiction!! Basi all the best Kwa old boss alifanya kazi nzuri!! The nation was about to collapse!!!
Tribalism
Wizi
Dhulumu
Ujinga
Uonevu
Ushamba
Ulimbukeni
....... Vilishamiri
PumbavuIf this is not fiction!! Basi all the best Kwa old boss alifanya kazi nzuri!! The nation was about to collapse!!!
Tribalism
Wizi
Dhulumu
Ujinga
Uonevu
Ushamba
Ulimbukeni
....... Vilishamiri