Dark days 17/03/20...

Tafsiri kwa msaada wa Google translate.

Yoga, je, ulimaanisha saa 11:00 siku ya Jumatatu, Desemba 13, 2023, au ulitaja 2025 kama maelezo ya msimbo?
 
Nasikia zawadi ilitoka Kwa Tabasamu gang !Sasa sijui kama Kuna ukweli katika hilo!!

Eva asingeweza kabisa kufanya hiyo sidhani coz bila yeye asingefika ndio Maana Eva baada ya Hilo tukio nasikia yule mr tabasam akamwambia Eva anpige chini dokezo lakini Eva akamuomba aombe kustaafu tu !ndio jamaa akakubali kustaafu japo na muda ulikua umefika pia!!
 
Tafsiri kwa msaada wa Google translate.

Yoga, je, ulimaanisha saa 11:00 siku ya Jumatatu, Desemba 13, 2023, au ulitaja 2025 kama maelezo ya msimbo?
Inaonekana lord rings ni kajitu katili sana nyuma ya pazia, na kwa umafia ka leftisha watu wengi, eti kameenda kuhiji Macca, unafiki mtupu.
Ningekuwa malaika wa adhabu ningeanza kukaadhibu kuanzia duniani na kasipate nafasi ya kutubu.
 
Thanks Yoga,,
We need more!
Sijuagi uoga ni mke au mume. Niseme tu ASANTE KWA KUTUREJESHEA URAIBU WETU.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Alionuesha unafiki wake siku ya msiba wa Late CEO. Anajieleza kuwa alishtushwa sana nabtaarifa za msiba huku kila mwenye akili anajua yeye ndo master wa ile plan.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mhusika ameamua kumpa cheo kikubwa zaidi ya Bt coz Bwana was mapete inatafsiri kubwa Sana kiroho!

Kama mhusika kavaa pete tatu au mbili zikiwa na maana ya kiroho ya ulinzi,utawala,kukubalika na Ile ya ndoa bas IPO haja ya kumuita lord of the rings kama alivomuita!!

Kwa wale wajenzi huru ama waliingia kwenye utawala kwa msaada wa deep elites wa ulimwengu was pili baada ya huu yaani huko waendako watu baada ya kufa uvaaji pete sio ajabu kwao!una maana yake!

Nadhani hadi Sasa huwezi kalia kiti bila hiyo mipango japo duru za kiroho zinaonyesha hapo mbeleni utawala was kiroho uliodumu Kwa miaka mingi utaanguka na kuja utawala wa kiroho mpya was outerspace universe ambapo inaaminika masihi alipaa kuelekea huko!!

Kuanzia 2025 Hadi 2035 tutaziona dalili hizi mungu akipenda!!


Aaaaa sawa asante , Mr Bt adui wa Pk.

Usijali mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI yeyote yule mwenye kuzifungua code.

kwa nini aitwe lord rings?
na hizi rings za pete, za mkononi au rings zipi?
BT
 
Yoga est magnus mendax.
Noli ei credere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…