TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hii kampuni...inakuwaje sembe linapatikana kirahisi sana namna hii. Wakati tuliambiwa...Mashine zote za kukoboa na kusanga zimefungiwa!? Au wale waliorudi kutoka ng'ambo na makeke ndiyo wamefanikiwa zikomboa Mashine za kusaga na kukoboa?Ila vijana na soga zenu bana [emoji4]
Mpaka sasa BT 10 - 0 PK.Kwaiyo kete za Kijasusi zinasukumwa kiufundi kati ya Majasusi mawili hatari ya Afrika Mashariki BT na PK!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kati ya Bt v/s PkMpaka sasa BT 10 - 0 PK.
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI siku ukija kuwa namba moja kwenye nchi nipe kibarua mkuu kwenye ufalme wako.Mhusika ameamua kumpa cheo kikubwa zaidi ya Bt coz Bwana was mapete inatafsiri kubwa Sana kiroho!
Kama mhusika kavaa pete tatu au mbili zikiwa na maana ya kiroho ya ulinzi,utawala,kukubalika na Ile ya ndoa bas IPO haja ya kumuita lord of the rings kama alivomuita!!
Kwa wale wajenzi huru ama waliingia kwenye utawala kwa msaada wa deep elites wa ulimwengu was pili baada ya huu yaani huko waendako watu baada ya kufa uvaaji pete sio ajabu kwao!una maana yake!
Nadhani hadi Sasa huwezi kalia kiti bila hiyo mipango japo duru za kiroho zinaonyesha hapo mbeleni utawala was kiroho uliodumu Kwa miaka mingi utaanguka na kuja utawala wa kiroho mpya was outerspace universe ambapo inaaminika masihi alipaa kuelekea huko!!
Kuanzia 2025 Hadi 2035 tutaziona dalili hizi mungu akipenda!!
BT
Tunajiita TU majina humu mkuu!!NAMBA MOJA AJAYE NCHINI siku ukija kuwa namba moja kwenye nchi nipe kibarua mkuu kwenye ufalme wako.
Tshesekedi alikua na bifu na pk walikaribia kuzichapa!Kwaiyo kete za Kijasusi zinasukumwa kiufundi kati ya Majasusi mawili hatari ya Afrika Mashariki BT na PK!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nimependa mawazo yako mkuu,Tunajiita TU majina humu mkuu!!
Yakitokea Bahati tu aiseh!!
Kiongozi lazima ubalansi mambo sio unaiba tu uanfisadi tu!inua watu was chini !Boresha upatikanaji was ajira anzisha mikopo ya wajasiria mali hakikisha zinawafikia wanachi!!!
Nawaza tu!!
Yule jamaa alininufaisha na mimi kielimu!But aliborsha mikopo ya elim ya juu!!akajenga mashule!akaboresha Ajira serikalini wengine tukaingia kwenye mfumo Hadi leo tuna type!!Nimependa mawazo yako mkuu,
1. Ku balance mambo ( kiasi)
2. Siyo unaiba tu na kufanya ufisadi, "kula kwa urefu wa kamba hadi kamba kukatika"
3. Inua watu wa chini.
4. Boresha upatikanaji wa ajira,
5. Anzisha mikopo ya wajasiriamali,
6. Hakikisha zinawafikia wananchi.
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI ukipata fursa na je ukiwekwa mtu kati na DP utafurukuta?
Unamkumbuka yule mzee wetu alikuwa na kibwagizo cha Maisha bora kwa kila mtanzania?
Je akiwa anaondoka yalikuwa bora kwa kiasi gani?
Eva hakujiandaa ilitokea ghafula halafu muda mfupi anashindwa acheze beat gani!la Bt au Mzilankende!wakati huo huo kule kisiwani wanamchanganya "ni zamu yetu" pia mumewe na ndugu nao wameachama "hakikisha tunapata vya kudumu usizembee"!wengine wanamwambia muhula mmoja hautoshi ongeza,wengine wanamuambia "maliza utuachie kiti"Naona Eva kama uongozi katwishwa zingo zito kwake.
Kuna watu vipaji vyao ni uigizaji,
Ukiwapa uongozi ni kuwaonea tu,
Issues serious za kiuongozi atafanya usanii na maigizo tu.
Na kweli hakujiandaa/kuandaliwa,Eva hakujiandaa ilitokea ghafula halafu muda mfupi anashindwa acheze beat gani!la Bt au Mzilankende!wakati huo huo kule kisiwani wanamchanganya "ni zamu yetu" pia mumewe na ndugu nao wameachama "hakikisha tunapata vya kudumu usizembee"!wengine wanamwambia muhula mmoja hautoshi ongeza,wengine wanamuambia "maliza utuachie kiti"
Anachanganyikiwa Huwa navuta picha Hadi naona huruma na sauti Hana Kwa genge la Bt yaani hujuma baadhi ya maeneo!!
Yeye angestiki na maagizo ya dola akawaomba wampe nafasi tena!Dola ndio inamuweka mtu sio kura!angepata huruma ya dola Sasa yeye kaingizwa kwenye mtego wa tamaa akaingizwa mkenge was kutoandika katiba tangu 2022 Kwa matakwa ya dola Sasa ndio yupo shakani hajui yupi amwamini yupi asimwamini na kuwaamini wachache na hawana infulence na ujasusi zaidi ya maembe ambae ameshaenda milele Kwa mujibu was yoga!!
Kazi ipo
Kigamboni, Manyara, Chongakiporo, Kimamba, na SUZA.. yawezekana saga lipo, tusibishe.Mpaka sasa BT 10 - 0 PK.
Ni Baadhi ya senior figures wa nembo waliomuingiza mkenge akatae ule mchakato!akihisi atapoteza dola kizembe kama katiba ikiandikwa hayo ni matakwa ya nembo hofu ya kupoteza dola wakaamua kubagaza Kwa muda mrefu ili ionekane muda haukutosha!!Na kweli hakujiandaa/kuandaliwa,
Na kisiwani cha Lampenduza kwa sasa full neema huna cha kuwaambia kuhusu Eva,
Miradi kama yote.
Lkn Eva si huwa anapata mwongozo wa mambo mengi kutoka kwa Mr lord rings?
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI kuna kipindi swala la katiba mpya sijui mwaka jana au mwaka huu kulianza dalili za kutaka kuendelea na mchakato, hapo katikati aliyeshauri kuundwa ile kamati iliyokuwa inahoji watu ikijumlisha akina Kabwe sijui na akina Mkadala, ilikuwa ushauri wa Eva au Bt au Dola?
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI asante sana kwa majibu yako mjaarabu,Ni Baadhi ya senior figures wa nembo waliomuingiza mkenge akatae ule mchakato!akihisi atapoteza dola kizembe kama katiba ikiandikwa hayo ni matakwa ya nembo hofu ya kupoteza dola wakaamua kubagaza Kwa muda mrefu ili ionekane muda haukutosha!!
Na yeye akaanza kusema kitabu sio kila kitu!mwingine akalopoka hakileti ugali mezani!
Dola haiwezi geuka maagizo yake!Bt ye alimuingiza mkenge Kwa kumpa kichwa hakuna mwanasiasa Bora kuliko yeye Ili ajione ye ndio chaguo akamwinhiza kwenye mapigano na kampeni za mapema aishiwe HoJa mapema!Ili akichoka TU wapinzani wanalianzisha!!
Kwenye nembo sio kila mtu anaekupigia makofi anakutaka wengine wanakupigia makofi Ili unase kwenye mtego!!
Gazeti la uhuru ndio lilianzisha vita vya kampeni kabla ya wakati na yeye akanasa akaanza kushindana mwenyewe bila kuwa na mpinzani yaani unapiga kampeni hujui mpinzani wako no yupi!
Hiyo nipsychological torture kwake!!
1. Mkuu hao baadhi ya Senior figures waliomwingiza kwenye chaka kuhusu kitabu kwani wao si sehemu ya Ds?Ni Baadhi ya senior figures wa nembo waliomuingiza mkenge akatae ule mchakato!akihisi atapoteza dola kizembe kama katiba ikiandikwa hayo ni matakwa ya nembo hofu ya kupoteza dola wakaamua kubagaza Kwa muda mrefu ili ionekane muda haukutosha!!
Na yeye akaanza kusema kitabu sio kila kitu!mwingine akalopoka hakileti ugali mezani!
Dola haiwezi geuka maagizo yake!Bt ye alimuingiza mkenge Kwa kumpa kichwa hakuna mwanasiasa Bora kuliko yeye Ili ajione ye ndio chaguo akamwinhiza kwenye mapigano na kampeni za mapema aishiwe HoJa mapema!Ili akichoka TU wapinzani wanalianzisha!!
Kwenye nembo sio kila mtu anaekupigia makofi anakutaka wengine wanakupigia makofi Ili unase kwenye mtego!!
Gazeti la uhuru ndio lilianzisha vita vya kampeni kabla ya wakati na yeye akanasa akaanza kushindana mwenyewe bila kuwa na mpinzani yaani unapiga kampeni hujui mpinzani wako no yupi!
Hiyo nipsychological torture kwake!!
Sidhani kama ni sehem Yao,ni wenye uchu wa madaraka!1. Mkuu hao baadhi ya Senior figures waliomwingiza kwenye chaka kuhusu kitabu kwani wao si sehemu ya Dp?
3. Na kama ni sehemu ya Dp si wanajua matakwa ya DP ni kitabu kwa nini washauri kinyume na DP?
4. Kingine mkuu hivi wanaokaa kwenye taasisi na kiti cha Eva huwa si sehemu ya DP?
Je Kigogo Media na Yoga ajenda yao ni moja?Sidhani kama ni sehem Yao,ni wenye uchu wa madaraka!
Member active was nembo wanawaza uteuzi wengine wanataka kiti,hawawezi kubali kiti kiwe rehani kwa kitabu kipya!!
Dp inawatumia sana MNF (mwalim Nyerere foundation)kina Butiku na warioba!hao ndio sauti Yao!wanasema live kabisa no aibu kuingia kwenye chaguzi Kwa katiba iliyopo Kwa Yale madhara ya 2020!
Japo ni kweli pia Dp Ina members ambao wapo Kila department hata ndani ya nembo wapo!!na uzuri hao jamaa ni ngumu sans kuwajua Kwa uelewa wa kawaidawengine tunao mtaani tunakunywa nao kahawa hata wewe unaweza ukawa unaniuliza maswali ukawa member wao who knows!!
Eneo kama ikulu ,taasisi za umma,kitaa n.k wapo tunao,humor jeshini pote pale humor Tiss hadi upinzani hata kwenye huu Uzi wapo!!
Ile taasisi ya whistle blowers ni wao,nilimuuliza kwenye forum Fulani akanijibu ni Taasisi kubwa sana! members humu wamo hasa TA! Hadi church,msikutini wamo!
Ogopa sana vijiwe vya kahawa na site Fulani Fulani wanauliza maswali kama wanahitaji maelezo muono wako juu ya jambo Fulani kumbe wanakuchunguza!!
Department Pana sana!
Huwa nawashangaa baadhi ya viongozi wa umma eti wanapoteza muda wa kuhangaika na wale jamaa was kigogo kigogo aiseh ni kuonyesha IQ zao ni ndogo sana!
Huwezi pambana na watu wanaopata access ya mambo mengi kiasi hicho ukawachulia poa!!
Ndivyo ninavyoelewa nipo tayari kukosolewa!