Dark days 17/03/20...

Jibu swali mtumishi
 
Sawa mkuu.
Na huyu TA saa nyingine huwa nawaza huenda ni BT au alikuwa ni Maembe?
Maembe alienda mei uzi was usaliti was jenerali was marekani ukatoka Juni kama sio july!

BT Kwa muonekano na haiba take hawezi andika vile!

Akili kubwa inayoweza labda mkuchika kwa utulivu wake!au kijana wake was karibu halafu yeye akawa Boss!
 
Maembe alienda mei uzi was usaliti was jenerali was marekani ukatoka Juni kama sio july!

BT Kwa muonekano na haiba take hawezi andika vile!

Akili kubwa inayoweza labda mkuchika kwa utulivu wake!au kijana wake was karibu halafu yeye akawa Boss!
Umewaza kama mimi mkuu hata mimi ninonavyo Bt hana uwezo na akili kubwa ya kuandika madini kama ya TA yeye ni mtaalam tu wa mikakati na hasa kuifadhili ifanywe na vijana mahili
 
Mi nadhani JPM kukubali Maza awe msaidizi wake halikuwa kosa. Kumbuka hata huo u CEO kaupata kimazabe so haikuwa rahisi namna hiyo kumkataa yeyote ambaye ungeletewa maadam wewe ushajijua ni NAMBA MOJA AJAYE NCHINI hahaha so yeyote tu aliyepata kitu kwa bahati hawezi kufikiria huyu atakuwa threat sana kwangu.

Mi nadhani kosa lilifanywa na system kutomlinda ipasavyo au kuzidiwa ujanja na wapinzani wao au DS kubariki execution yake maana nakumbuka pia TA alishawahi kuandika before juu ya to be excuted!!
 
Lakini pia yeye binafsi aliwahi kutamka hadharani akielezea SABABU za kumteua Maza na kumuacha Hussein Mwinyi ambaye kwa kauli yake alisema ndyo lilikuwa pendekezo lake
 
Maembe alienda mei uzi was usaliti was jenerali was marekani ukatoka Juni kama sio july!

BT Kwa muonekano na haiba take hawezi andika vile!

Akili kubwa inayoweza labda mkuchika kwa utulivu wake!au kijana wake was karibu halafu yeye akawa Boss!
Aaaaa sawa, vipi labda yule aliyelishwa sumu kipindi kile cha Late CEO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…