Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnauonaje mtazamo wa Professor KabudiBaadhi ya wakimbizi wameajiriwa serikalini, wengine wameteuliwa.
Uko sawa kabisa mkuu yaani alitakiwa awajue nje ndani ikiwezekana kuwakubalia baadhi ya mambo yao huku kwa kuwa yeye ana full power anakuwa ana deal nao taratibu na hasa kwa kubadilisha hata mifumo ya kiusalama.
Magu alikuwa kiongozi mzuri sana tatizo hakuwa na subira na alitaka kila mtu amuone anafaa na kumwonea huruma kumbe mafisadi yanamlia timing tu.
Ila kama taifa tunahitaji kiongozi wa kurekebisha sana mifumo yetu ya kulinda rasilimali za taifa na kufundisha uzalendo wa kweli kwa watanzania maana kwa sasa ukweli nchi yetu ipoipo tu aise yaani kila mtu anataka maslahi yake binafsi tu.
Tunaviongozi wachache sana wazalendo ambao nao wamemezwa na corrupt system na haki anani jambo la mitano tena lipite naiona Tanzania ikibaki mifupa mitupu. Maana ukweli mama hana anachokifanya na tumekalia ushabiki tu kwa kuwa watu binafsi wananufaika na uwezo mdogo wa rais wa kupambanua mambo.
Uko sawa kabisa mkuu yaani alitakiwa awajue nje ndani ikiwezekana kuwakubalia baadhi ya mambo yao huku kwa kuwa yeye ana full power anakuwa ana deal nao taratibu na hasa kwa kubadilisha hata mifumo ya kiusalama.
Magu alikuwa kiongozi mzuri sana tatizo hakuwa na subira na alitaka kila mtu amuone anafaa na kumwonea huruma kumbe mafisadi yanamlia timing tu.
Ila kama taifa tunahitaji kiongozi wa kurekebisha sana mifumo yetu ya kulinda rasilimali za taifa na kufundisha uzalendo wa kweli kwa watanzania maana kwa sasa ukweli nchi yetu ipoipo tu aise yaani kila mtu anataka maslahi yake binafsi tu.
Tunaviongozi wachache sana wazalendo ambao nao wamemezwa na corrupt system na haki anani jambo la mitano tena lipite naiona Tanzania ikibaki mifupa mitupu. Maana ukweli mama hana anachokifanya na tumekalia ushabiki tu kwa kuwa watu binafsi wananufaika na uwezo mdogo wa rais wa kupambanua mambo.
Mnauonaje mtazamo wa Professor Kabudi
Mpango wa mpango kuwa mpangoHii kauli ya CDF ni nzito sana, inahitaji mjadala mpana sana.Je,ni udhaifu wa TISS na Uhamiaji au ni uzembe tu wa viongozi!!!
Mi pia nalihisi sana hilo maana kipindi cha nyuma alikuwa anaweza hata kujitokeza kidogo lakini kwa sasa tangu aahidi Kushusha bandiko kapotea mazimaUsikute YOGA amefariki cc hatujui tupo tuuu...[emoji2][emoji2]
Sent from Kiswaswadu cha torch
DaaadekiMpango wa mpango kuwa mpango
Wanasemaga hiko chanzo kipo Arumeru na huko Tanga. Na panalindwa had Leo na omMkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...
Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?
Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.
Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
HOJA iyo ingekuwa na UKWELI ikiwa Dunia ingekuwa duara kama chungwa.Mkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...
Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?
Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.
Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
Usikute YOGA amefariki cc hatujui tupo tuuu...[emoji2][emoji2]
Sent from Kiswaswadu cha torch
I recall lugha ya kingereza nili ijua naturally tu.Sidhani kama yoga alisoma private, kiingereza ni lugha unayoweza kujifunza katika mazingira yoyote, ila kitu ukikiwasilishakwa lugha mama kinaeleweka vizuri kuliko lugha mgeni.
Akili yako huwa ni maji😂😂😂Huna madhara ila unawatafuna watu mbususu zao kimaskhara!
Na pia Somalia ndio maana Wana msemo wao Wazungu kuwa "Somalia will never know peace until Jesus comes back"Mkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...
Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?
Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.
Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
Mkuu AggerFirminho 1. Kwa nini Somalia hawezi kuijua Amani hadi kurudi kwa Yesu??Na pia Somalia ndio maana Wana msemo wao Wazungu kuwa "Somalia will never know peace until Jesus comes back"
Or "Tanganyika is peaceful coz DRC has war but the day DRC has peace then Tanganyika will have war".