Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Uko sawa kabisa mkuu yaani alitakiwa awajue nje ndani ikiwezekana kuwakubalia baadhi ya mambo yao huku kwa kuwa yeye ana full power anakuwa ana deal nao taratibu na hasa kwa kubadilisha hata mifumo ya kiusalama.

Magu alikuwa kiongozi mzuri sana tatizo hakuwa na subira na alitaka kila mtu amuone anafaa na kumwonea huruma kumbe mafisadi yanamlia timing tu.

Ila kama taifa tunahitaji kiongozi wa kurekebisha sana mifumo yetu ya kulinda rasilimali za taifa na kufundisha uzalendo wa kweli kwa watanzania maana kwa sasa ukweli nchi yetu ipoipo tu aise yaani kila mtu anataka maslahi yake binafsi tu.

Tunaviongozi wachache sana wazalendo ambao nao wamemezwa na corrupt system na haki anani jambo la mitano tena lipite naiona Tanzania ikibaki mifupa mitupu. Maana ukweli mama hana anachokifanya na tumekalia ushabiki tu kwa kuwa watu binafsi wananufaika na uwezo mdogo wa rais wa kupambanua mambo.

Kuna tofauti kati ya kiongozi na mtawala. Kwa asilimia kubwa Tanzania imejawa na watawala kuliko viongozi. Viongozi ni wachache sana kiasi cha kumezwa na watawala, na kiongozi huyu akikaidi kumezwa na utawala basi humtema kwenye uongozi na utawala kwa namna mbali mbali.
 
Uko sawa kabisa mkuu yaani alitakiwa awajue nje ndani ikiwezekana kuwakubalia baadhi ya mambo yao huku kwa kuwa yeye ana full power anakuwa ana deal nao taratibu na hasa kwa kubadilisha hata mifumo ya kiusalama.

Magu alikuwa kiongozi mzuri sana tatizo hakuwa na subira na alitaka kila mtu amuone anafaa na kumwonea huruma kumbe mafisadi yanamlia timing tu.

Ila kama taifa tunahitaji kiongozi wa kurekebisha sana mifumo yetu ya kulinda rasilimali za taifa na kufundisha uzalendo wa kweli kwa watanzania maana kwa sasa ukweli nchi yetu ipoipo tu aise yaani kila mtu anataka maslahi yake binafsi tu.

Tunaviongozi wachache sana wazalendo ambao nao wamemezwa na corrupt system na haki anani jambo la mitano tena lipite naiona Tanzania ikibaki mifupa mitupu. Maana ukweli mama hana anachokifanya na tumekalia ushabiki tu kwa kuwa watu binafsi wananufaika na uwezo mdogo wa rais wa kupambanua mambo.

Kuna tofauti kati ya kiongozi na mtawala. Kwa asilimia kubwa Tanzania imejawa na watawala kuliko viongozi. Viongozi ni wachache sana kiasi cha kumezwa na watawala, na kiongozi huyu akikaidi kumezwa na utawala basi humtema kwenye uongozi na utawala kwa namna mbali mbali.
 
Bei ya Sukari juu.

Nauli Juu.

Umeme usio wa uhakika.

Maandamano ya amani ya CDM kwa mara ya kwanza, huku wakiungwa mkono na walinda Amani wa wananchi.

Muelekeo wa uchaguzi mdogo mpka ule mkubwa.

Ukitaka kumuua mbwa mpe majina mabaya ili upate sababu, kama vile fisi akitaka kumla mwanaye humpa harufu nzuri nzuri na mionekano ya swala
 
Mkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...

Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?

Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.

Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
Wanasemaga hiko chanzo kipo Arumeru na huko Tanga. Na panalindwa had Leo na om
 
Mkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...

Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?

Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.

Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
HOJA iyo ingekuwa na UKWELI ikiwa Dunia ingekuwa duara kama chungwa.

Bt UKWELI ni kuwa Dunia ni Duara mithili ya coin, flat.

Pia Dunia haizunguki, Bali Jua na mwezi ndo vinazunguka.
 
Mkuu unaonekana una point muhimu sana hapa, ila sijakusoma vizuri...

Fanya kufungua code kidogo yaani Kuna uhusiano gani kati ya afro shiraz na ayatolla kuwa na mafuta(wese).?

Nilishawahi kupata fununu kutoka chanzo kisicho cha uhakika nikapuuziaga... Sikuziamini.

Fununu ilikua inasema "Tz tukiamua kuchimba mafuta basi kunauwezekano tuka-divert mkondo wa mafuta kutoka nchi za kiarabu na ukahamia Tz"
kwa namna nyingine chanzo cha mafuta cha nchi za kiarabu ni huku Tz, na sababu inayofanya tusiyachimbe ni kwamba tumefanya fair kwakua nchi za kiarabu ni jangwa na hazina rasilimali za kutosha ukilinganisha na sisi huku Tz.
Na pia Somalia ndio maana Wana msemo wao Wazungu kuwa "Somalia will never know peace until Jesus comes back"
Or "Tanganyika is peaceful coz DRC has war but the day DRC has peace then Tanganyika will have war".
 
Na pia Somalia ndio maana Wana msemo wao Wazungu kuwa "Somalia will never know peace until Jesus comes back"
Or "Tanganyika is peaceful coz DRC has war but the day DRC has peace then Tanganyika will have war".
Mkuu AggerFirminho 1. Kwa nini Somalia hawezi kuijua Amani hadi kurudi kwa Yesu??
2. Kwanini Congo ikitulia ikawa na Amani vita itazaliwa Tanganyika?
 
Back
Top Bottom