Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Inadhaniwa ni huyo Mzee was operation thunderstorms hata huyo nabii wa Dar kuangamia keshaonyeshwa huyo kwamba ndio ajaye!!

Japo anaanza kukosea ameitwa kutoa sadaka ya mil. Kumi Ili apakwe mafuta na kiwekwa wakfu Kwa kiti ana sua sua na hii inaweza kutuletea matatizo toka Kwa wahuni ndani ya chama kubwa!!

Na huu uteuzi wa mwanamkakati kua KM wa chama nahisi tutaanza kuona shughuli ya kunyamazishana inaanza rasmi ndani ya chama kubwa!!

Ni kweli ndio huyo huyo !!!
Daah
 
Wana JF naomba kuuliza swali,
maana mimi ni mtu wa bush bush huku,
Ki protocol huyu mlinzi kuwazuia wale walinzi wa KP imekaaje ki protocol? 👇👇👇

Nionavyo mimi,ni kama Mlinzi wa kuna ujumbe alitaka kuufikisha kwa mlinzi wa PK but yule wa kwanza akamtolea nje akaja kusikilizwa na aliyekuwa amefuata.
 
Nionavyo mimi,ni kama Mlinzi wa kuna ujumbe alitaka kuufikisha kwa mlinzi wa PK but yule wa kwanza akamtolea nje akaja kusikilizwa na aliyekuwa amefuata.
Duuuuh sawa, Makuku Rey hapakuwa na njia nyingine ya kufikisha ujumbe japo hata kwa kumpa ki memo?
Je Zanzibar au Tanzania nao siku wakialikwa Rwanda nao wakija kulipwa watajisikiaje?
 

Attachments

  • FB_IMG_1705812488521.jpg
    FB_IMG_1705812488521.jpg
    49.2 KB · Views: 41
Back
Top Bottom