NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wanasiasa Bwana viumbe wa ajabu sana!Hukuona mlinzi wa KP alizuiwa kumkaribia BT akagoma?
Unaweza shangaa eti leo BT na nywele nyeupe wakapiga stori na kucheka kabisa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa Bwana viumbe wa ajabu sana!Hukuona mlinzi wa KP alizuiwa kumkaribia BT akagoma?
Hukuona Ile movie pale jukwaani PK alivyopanda kusalimiana na BT?Wanasiasa Bwana viumbe wa ajabu sana!
Unaweza shangaa eti leo BT na nywele nyeupe wakapiga stori na kucheka kabisa!!
Sikuona hii Mkuu.Hukuona mlinzi wa KP alizuiwa kumkaribia BT akagoma?
DaahInadhaniwa ni huyo Mzee was operation thunderstorms hata huyo nabii wa Dar kuangamia keshaonyeshwa huyo kwamba ndio ajaye!!
Japo anaanza kukosea ameitwa kutoa sadaka ya mil. Kumi Ili apakwe mafuta na kiwekwa wakfu Kwa kiti ana sua sua na hii inaweza kutuletea matatizo toka Kwa wahuni ndani ya chama kubwa!!
Na huu uteuzi wa mwanamkakati kua KM wa chama nahisi tutaanza kuona shughuli ya kunyamazishana inaanza rasmi ndani ya chama kubwa!!
Ni kweli ndio huyo huyo !!!
Pitia video utaona, walinzi wetu waliojaribu kuwazuia walinzi wawili wa KP wasipande jukwaani alipo BT.Sikuona hii Mkuu.
Ilinipita
Nimeona, ni kweli Mkuu.Pitia video utaona, walinzi wetu waliojaribu kuwazuia walinzi wawili wa KP wasipande jukwaani alipo BT.
Hofu imemjaa KP, kwetu ni mtoto mdogo sana.Nimeona, ni kweli Mkuu.
Jamaa wa KP naona walifosi!
nadhani ndio uzi unaongoza kwa habari za uongo(fabricated stories) hapa JF.Huu uzi umeshajifia, subirini kipindi cha uchaguzi IDs zianze kuibuka na ngano mpya za "kijasusi". This one is done!
Kama ni chai tuendelee kuinywa ni tamu sana!nadhani ndio uzi unaongoza kwa habari za uongo(fabricated stories) hapa JF.
99% ya kinachoandikwa humu ni chai, kila mtu anajifanya anajua mambo nyeti ya nchi.
Nimeona, ni kweli Mkuu.
Jamaa wa KP naona walifosi!
Wana JF naomba kuuliza swali,Hukuona mlinzi wa KP alizuiwa kumkaribia BT akagoma?
Wana JF naomba kuuliza swali,
maana mimi ni mtu wa bush bush huku,
Ki protocol huyu mlinzi kuwazuia wale walinzi wa KP imekaaje ki protocol? 👇👇👇
Duuuuh sawa, Makuku Rey hapakuwa na njia nyingine ya kufikisha ujumbe japo hata kwa kumpa ki memo?Nionavyo mimi,ni kama Mlinzi wa kuna ujumbe alitaka kuufikisha kwa mlinzi wa PK but yule wa kwanza akamtolea nje akaja kusikilizwa na aliyekuwa amefuata.
Tuwekee link na sie tukaone mkuuNimeona, ni kweli Mkuu.
Jamaa wa KP naona walifosi!
👇👇👇Tuwekee link na sie tukaone mkuu
[emoji1787][emoji23]Nimemwona akisalimiana na BT kwa upendo mkubwa sana hadi nikasema kumbe huwa wanasingiziwa eti wana "bifu"!
Bado huamini kuwa Kuna haja ya kuhama Bandari salama?Duuuuh sawa, Makuku Rey hapakuwa na njia nyingine ya kufikisha ujumbe japo hata kwa kumpa ki memo?
Je Zanzibar au Tanzania nao siku wakialikwa Rwanda nao wakija kulipwa watajisikiaje?
Mkuu Rabbon mimi niko mbali na Dar nipo ZanzibarBado huamini kuwa Kuna haja ya kuhama Bandari salama?
VSMMkuu Rabbon mimi niko mbali na Dar nipo Zanzibar