Dark days 17/03/20...

Hapo uliposema ufalme wa roho ya nabii wa uongo ni marekani nikalinganisha ela Yao ilivyochorwa piramidi na jicho vitu vyenye kuonyesha imani za giza, ukichangia na jinsi taifa Hilo lilivyosambaza duniani kote utamaduni wake na maharibifu kuanzia silaha za maangamizi, magonjwa, televisheni ,sinema,muziki, umaskini, tehama ya mambo mabaya , ushoga,kubadilisha jinsia, nk Naona Kama inaleta maana.

Chukulia mfano Tanzania kabla ya 1994 na baada ya 1994 utaelewa maanake.

Jambo lingine

Soma Mathayo 12:
1.Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya ngano siku ya sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza kuvunja masuke ya ngano na kula. 2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili wakam wambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya sabato.”

3 Yesu akawajibu, “Hamjasoma walichofanya Daudi na wafuasi wake walipokuwa na njaa? 4 Waliingia katika nyumba ya Mungu wakala mkate uliowekwa wakfu, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya isipokuwa makuhani peke yao. 5 Au hamjasoma katika sheria kwamba siku ya sabato makuhani huvunja sheria ya sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia? 6 Nawaambieni wazi kwamba, aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa. 7 Na kama mngalifahamu maana ya maneno haya, ‘Ninataka rehema wala si sadaka ya kuteketezwa;’ msingeliwalaumu watu wasio na hatia, 8 kwa maana Mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato.”

Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono

9 Yesu alipoondoka hapo, aliingia katika sinagogi lao. Huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono . 10 Wakitafuta sababu ya kumsh taki, wakamwuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?” 11 Yesu akawajibu, “Ni nani kati yenu ambaye kondoo wake aki tumbukia shimoni siku ya sabato hatamtoa? 12 Mtu ana thamani kubwa sana kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya sabato.”

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akau nyoosha, nao ukapona ukawa mzima kama ule mwingine. 14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje wakashauriana jinsi ya kumwangamiza

Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu

15 Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, aliondoka mahali hapo. Na watu wengi walimfuata naye akawaponya wote. 16 Akawa kataza wasimtangaze. 17 Hii ilikuwa ili yatimie maneno aliyosema nabii Isaya: 18 “Mtazameni mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu ambaye moyo wangu unapendezwa naye. Nitaweka Roho yangu juu yake , naye atatangaza haki kwa watu wa mataifa. 19 Hatabishana wala hatapiga kelele, sauti yake haitasikika mitaani. 20 Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi; 21 na watu wa mataifa wataweka tumaini lao katika jina lake.”

Wayahudi na waisraeli hawakutambua kuwa Yesu ni mkuu kuliko Abraham na moshe( moses) na hawakutambua mafundisho ya Yesu ( Injili takatifu) , hawakutambua ni mwana wa Mungu akaae mkono wa kuume wa Mungu Baba , hawakutambua ni mkuu kuliko sabato , hawakutambua ni messiah aliyekuja kuwaokoa na kuokoa ulimwengu, hawakutambua kuwa ni hakimu mkuu atayehukumu ulimwengu siku ya mwisho .

Yesu alipokufa pale msalabani Yerusalem pazia la hekalu kuu lilipasuka katikati kuanyesha nyakati mpya kuanza ambapo ni agano jipya .

Baada ya Miaka michache tangu Yesu kupaa mbinguni hekalu takatifu liliteketea kutimiliza utabiri wa Yesu .
 

Hizi huwa mnaandika tu ama mna kopi na kutupia humu?
 

hivi kwa nini mnawinda only black people? kwa nini muende vijijini kuwinda black afrikan people wakati mjini viwandani wamejaa wahindi, waarabu au hata wachina wasio na vibali?

ni afrika tu ndio kuna chuki dhidi ya watu wetu wenyewe, wahamiaji haramu ni wahindi na mko nao mjini kwa nini muhangaike na waafrika hamna tofauti na AK wanaochoma moto waafrika wenzao kuacha foreigners from out side afrika …
 

Ni chuki iliyopandikizwa kwa miaka mingi toka utoto. Waliofanya haya walijua fika wakiungana against us hatuwawezi ni kanuni hii mkuu.

Ila ukombozi umekaribia siku zaja, umoja utatamalaki kati yetu.
 
Kwa mujibu wa hii riwaya wafuga nyuki wetu inaonekana uwezowao ni mdogo ku-handle haya mambo ukilinganisha na opponents wao na ndio maana riwaya ime-stuck baada ya wao ku-stuck somewhere, so guys tusubili hadi hiyo 2025.


Ikigundulika Queen anaproduce defected offsprings ama analisha chakura kisicho na virutubisho sahihi kwa watoto kukua, maramoja huwa anaondolewa (eliminated), kisha anabadili mwingine.

To control government systems outside the system.,(BEEKEEPER, 2024.).

yoga & ur team, we as your audience, from this masterpiece riwaya u introduced to us we need a weekly report and at least updates za Hapana pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…