Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
It is a strategic hospital for politicians.Kuna hosptali moja inanishangaza sana kwa taarifa ni kwamba ina madaktari wa viwango vya juu wote,na kuna vifaa vya hali ya juu sana wenye nchi yao hutibiwa hapo lkn cha ajabu kila kiongozi ukiskia kafika hapo hachomoki yani mhesabie siku tu anaondoka...