Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nonsense mimi sikuona hata kitu kimoja ulivyosema hapo
Hauwezi kuona kama wewe sio mfanyabiashara kuna tofauti kubwa sana katika hali ya biashara. JPM alikuwa mnafiki kuliko, Home shopping Centre iliyo kichaka cha kuchota pesa enzi za JK ilibadilishwa kuwa GSM. Hii nchi haiwezi kukombolewa na wanasiasa. Wafanyabishara wakubwa wa nchi ya Tanzania sio wenye asili ya Tanzania. Halafu bado tunaulizana kwa nini dola inapungua. Mtu anamiliki kiwanda halafu anapanga Upanga kitu alichonacho cha gharama ni gari analotembelea. Ukienda kwao Pakistan ana mahekalu na mahekalu utadhani anafanya biashara Marekani. Kuna mambo mengi sana yanafanyika watanzania hatuyajui.
 
Unasema kwa machungu sana boss, sasa kama issue iko hivyo nadhani kuna jambo ambalo linatakiwa kufanyika. Maana kwa kawaida wanasiasa wamejijengea ukuta mnene kiasi kwamba kwa raia wa kawaida kutoka Tosamaganga, Kantalamba na Kazulamimba hawezi kuuvunja.

Mi nadhani vyombo muhimu vya kuweza kututoa kwenye hii hali ni Jeshi pamoja na Usalama wa taifa letu. Tatizo liko kwenye namna ya kuwapata hao wazalendo na wenye nia ya dhati ya kulisaidia taifa, maana ukiangalia kwa sasa ni kila mtu yuko kwa ajili ya maslahi yake binafsi au maslahi ya kikundi fulani au familia fulani.

Hili taifa lina kila kitu cha kutusogeza mbele kiuchumi na tukawa watu wa pekee sana katika bara letu na duniani pia. Tatizo kubwa ni uongozi mbovu ulioatamiwa na serikali ya CCM na sijui tutatokaje hapa.

Kwa kweli JPM pamoja na madhaifu ya kibinadamu ila kuna namna alikuwa na nia ya dhati ya kulinda rasilimali za nchi yake na kuliheshimisha taifa. Tatizo hakuwa na watu sahihi au watu pia walishazoea upigaji kwahiyo hawakuwa tayari kwenda naye na walimsaliti.
 
Hauwezi kuona kama wewe sio mfanyabiashara kuna tofauti kubwa sana katika hali ya biashara. JPM alikuwa mnafiki kuliko Home shopping Centre iliyo kichaka cha kuchota pesa enzi za JK ilibadilishwa kuwa GSM. Hii nchi haiwezi kukombolewa na wanasiasa. Wafanyabishara wakubwa wa nchi ya Tanzania sio wenye asili ya Tanzania. Halafu bado tunaulizana kwa nini dola inapungua. Mtu anamiliki kiwanda halafu anapanga Upanga kitu alichonacho cha gharama ni gari analotembelea. Ukienda kwao Pakistan ana mahekalu na mahekalu utadhani anafanya biashara Marekani. Kuna mambo mengi sana yanafanyika watanzania hatuyajui.
Siyo wafanyabiashara tu,hata watumishi wa umma aliwatesa sana aisee.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kwangu mimi ukabila alioanzisha JPM umefuta mazuri yote aliyofanya. Ubabe wa kuwafungia wafanyabiashara akaunti za benki. Mtu anaacha kuwafungia akaunti wanasiasa waliopita anakazana na wafanyabaishara. Rais wa kwanza kuweka kipaumbele alipozaliwa mpaka kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa. Hela zote zilizotumika haziwezi kurudi. Kila miradi aliijenga haukuwa na mipango thabiti. Hakuna ajira zilizozalishwa. Mama huyu anaomba kutoka kwa JPM hakuna mtu anaongea kuhusu Kizimkazi kwa sababu tushazoea alichofanya JPM Chato. Hakuna mtu anaongea kuhusu wazanzibari kwa sababu JPM alishatuzoesha kuhusu wasukuma.Tukitaka tuendelee inabidi mapinduzi makubwa yafanywe ndani ya CCM.JPM ndiye aliyeanzisha teuzi zisizokuwa na sifa. Wakuu wa wilaya na mikoa wasio na vigezo na sifa. Na mama analiendeleza hilo.
Kwa kusoma hii kauli naweza kuhisi unatokea sehemu gani ya Tanzania.
Kusema ukweli mna ubinafsi sana na ndo maana watu wanaogopa sana kuchagua kiongozi kutoka
ukanda wenu. Kwenu hamkuendelea kwa juhudi zenu tuu,ni juhudi za wote watanzania wavuja jasho.
Ila viongozi waliangalia vipaumbele ili kuinua uchumi wa nchi mkadhani ni juhudi zenu binafsi.
Hivi mnaona ni sawa kwenu mnafungulia maji kwenye bomba wengine wanakunywa kwenye kisima cha mifugo?

Ipi bora,mtu aendeleze kwao ambako ni sehemu ya Tanzania iliyosaahulika,au ajenge mahoteli na vitegauchumi
vingine nje ya nchi ambapo havichangii hata kidogo uchumi wa taifa wala kusaidia mwananchi?
Sasa magu hayupo,niambie kipi kimebadirika? Kama ni siasa.aliyewakimbiza wazanzibar wakakimbilia mombasa
alikuwa magu? Aliyesema ndege ya rais itanunuliwa hata kama mnakula pumba alikuwa magu?
Aliyefanya upigaji wa rada si angejenga kwao walau watz waone rami kwao?

Shida yetu hatujui tunachokihitaji badala yake tunakimbizana na tusichokijua
mwisho wa siku tunajikuta tumechoka na mikononi hatuna kitu.
Ubaya wa ni kwamba Magu hakuwa mnafiki alifanya alichokiamini hadharani ,na hapa ndo wengi walimchukia kwani alipokasirika alionyesha
wazi wazi. Lakini waliopoka haki za wastaafu na madaktari na kisha
kumteka na kumtesa dokta ulimboka,kwa kuwa hawakusema lolote ila wakamuumiza
tunawachekea na kuwasifu na hapa ndo kisa cha lindi la umaskini wetu.
 
Mkuu bado natamani kumtambua kwa kina nabii Boniface Victor, huduma yake ya unabii, na mamlaka aliyonayo kutoa jumbe mbalimbali za kinabii. Nasema hivyo kwa sababu wito wa nabii wa kweli ni suala ambalo linatiliwa mkazo mkubwa sana katika maandiko matakatifu.

Hii ndiyo maana Neno la Mungu kutoka kinywani kwa Yesu Kristo mwenyewe linatupa tahadhari kuhusu kutokea kwa manabii wengi wa uongo katika siku za mwisho wa dunia, ambao yumkini wataweza kuwapotosha hata wateule wa Mungu.

Aidha, maandiko haya yanaweka wazi kuhusu jinsi mtu alivyokabidhiwa jukumu la kuwa nabii. Tunaona kuwa nabii hajitumi mwenyewe na kuanza kujishuhudia yeye mwenyewe, wala hatumwi na mtu mwingine, bali anatumwa na Mungu mwenyewe.

Maandiko matakatifu hujitetea yenyewe wala hayahitaji usaidizi wa hoja kutokana na falsafa ama simulizi za mapokeo ya kibinadamu. Kwa kuwa msingi wa Neno la Mungu hupatikanika kupitia katika Neno lenyewe, na pia hupatanishwa kupitia katika Neno hilo hilo.

Ukirejea katika Waebrania 8:1-13 tunaona kuwa Agano la Kale lilikuwa na mapungufu tena ni kuukuu ndiyo maana likaja Agano Jipya. Mimi nafikiri unabii uhusuo kizazi cha sasa unapaswa kujengwa ndani ya Agano Jipya ama nyakati za uwepo wa kanisa, na wala si kupitia Musa na manabii wa kale ambao ujumbe wao ulilenga zaidi kabila 12 za wana wa Israeli na kwa kipekee sana uliwalenga Wayahudi milki ya ufalme wa Yuda.

Baraka na laana zilizopo katika Kitabu cha Kumbukumbu la Torati Sura ya 28 ni za Agano la Kale, tena zenye kuwahusu watu wa kabila 12 za wana Israeli ambao waliishi kupitia matendo ya sheria. Hizo haziwahusu watu wa mataifa kwa kuwa kupitia Agano Jipya wao huishi kupitia rehema kutoka kwa Bwana Yesu Kristo, kwa hiyo basi hawafungwi na sheria hizo za torati na manabii wa kale.
Si busara kuelezea kitu au jambo ambalo haulijui vizuri.

Biblia imeandikwa na Mungu kwa ajili ya Mwanadamu, ambaye ni wewe. Si Muisraeli wa kimwili, bali Muisraeli wa kiroho, ambaye ni wewe.

Agano la kale loote linaelezea historia na namna Mungu alivyomuahidi mwanadamu kuwa atakuja kumkomboa dhidi ya maovu yaliyofanyika kwa adamu wa kwanza, ya kuuza utawala na madaraka yoote aliyopewa na Mungu, kwa adui yule mwovu ambaye unamuita ibilisi au shetani.

Kuanzia visa vya Ibrahimu, Yakobo, Nuhu, Musa, na manabii wengine wote vina MAANA kwako mtu wa sasa...ndio maana bado vipo na vinatumika.

Yesu alikuwepo tangu kuanza kwa ulimwengu, na amekuja duniani kwa namna nyingi mno, kwa kupitia vitendo na ishara mbalimbali ndio maana agano la kale ni MUHIMU sana.

Agano jipya ni muhimu kwa sababu linakuweka sawa KIIMANI...na kukuandaa na ujio wa kristo kwa mara ya pili. Ndioo umepata wokovu kwa IMANI, na pia unaishi kwa NEEMA.

Haya mambo kama hauelewi, omba sana Mungu akufunulie, na ujifunze kwenye masomo, elimu na mafundisho ya kibiblia.

Kila neno lililoandikwa kwenye biblia kiroho lina maana yake.

La sivyo utatoka kapa, na utashindwa hata kulifikia lile kusudio la Mungu aliloliweka juu yako.

Kwa ufupi: BIBLIA NI USER MANUAL YA MAISHA YAKO YA ULIMWENGU WA MWILI NA KIROHO
 
Si busara kuelezea kitu au jambo ambalo haulijui vizuri.

Biblia imeandikwa na Mungu kwa ajili ya Mwanadamu, ambaye ni wewe. Si Muisraeli wa kimwili, bali Muisraeli wa kiroho, ambaye ni wewe.

Agano la kale loote linaelezea historia na namna Mungu alivyomuahidi mwanadamu kuwa atakuja kumkomboa dhidi ya maovu yaliyofanyika kwa adamu wa kwanza, ya kuuza utawala na madaraka yoote aliyopewa na Mungu, kwa adui yule mwovu ambaye unamuita ibilisi au shetani.

Kuanzia visa vya Ibrahimu, Yakobo, Nuhu, Musa, na manabii wengine wote vina MAANA kwako mtu wa sasa...ndio maana bado vipo na vinatumika.

Yesu alikuwepo tangu kuanza kwa ulimwengu, na amekuja duniani kwa namna nyingi mno, kwa kupitia vitendo na ishara mbalimbali ndio maana agano la kale ni MUHIMU sana.

Agano jipya ni muhimu kwa sababu linakuweka sawa KIIMANI...na kukuandaa na ujio wa kristo kwa mara ya pili. Ndioo umepata wokovu kwa IMANI, na pia unaishi kwa NEEMA.

Haya mambo kama hauelewi, omba sana Mungu akufunulie, na ujifunze kwenye masomo, elimu na mafundisho ya kibiblia.

Kila neno lililoandikwa kwenye biblia kiroho lina maana yake.

La sivyo utatoka kapa, na utashindwa hata kulifikia lile kusudio la Mungu aliloliweka juu yako.

Kwa ufupi: BIBLIA NI USER MANUAL YA MAISHA YAKO YA ULIMWENGU WA MWILI NA KIROHO
Rabbon tunakarimbia mwezi April
 
Kwa kusoma hii kauli naweza kuhisi unatokea sehemu gani ya Tanzania.
Kusema ukweli mna ubinafsi sana na ndo maana watu wanaogopa sana kuchagua kiongozi kutoka
ukanda wenu. Kwenu hamkuendelea kwa juhudi zenu tuu,ni juhudi za wote watanzania wavuja jasho.
Ila viongozi waliangalia vipaumbele ili kuinua uchumi wa nchi mkadhani ni juhudi zenu binafsi.
Hivi mnaona ni sawa kwenu mnafungulia maji kwenye bomba wengine wanakunywa kwenye kisima cha mifugo?

Ipi bora,mtu aendeleze kwao ambako ni sehemu ya Tanzania iliyosaahulika,au ajenge mahoteli na vitegauchumi
vingine nje ya nchi ambapo havichangii hata kidogo uchumi wa taifa wala kusaidia mwananchi?
Sasa magu hayupo,niambie kipi kimebadirika? Kama ni siasa.aliyewakimbiza wazanzibar wakakimbilia mombasa
alikuwa magu? Aliyesema ndege ya rais itanunuliwa hata kama mnakula pumba alikuwa magu?
Aliyefanya upigaji wa rada si angejenga kwao walau watz waone rami kwao?

Shida yetu hatujui tunachokihitaji badala yake tunakimbizana na tusichokijua
mwisho wa siku tunajikuta tumechoka na mikononi hatuna kitu.
Ubaya wa ni kwamba Magu hakuwa mnafiki alifanya alichokiamini hadharani ,na hapa ndo wengi walimchukia kwani alipokasirika alionyesha
wazi wazi. Lakini waliopoka haki za wastaafu na madaktari na kisha
kumteka na kumtesa dokta ulimboka,kwa kuwa hawakusema lolote ila wakamuumiza
tunawachekea na kuwasifu na hapa ndo kisa cha lindi la umaskini wetu.
Ndugu yangu kuna watanzania ambao walishaamka toka zamani na wanajua wanataka nini. Kuhusu sehemu fulani kupendelewa nenda kachunguze. Kuna shule kibao katika mkoa wangu zimejengwa mna wananchi wenyewe. Kuna wananchi wamejitolea mashamba kwa ajili ya shule toka miaka hio. Hizo juhudi za wavuja jasho zilizoleta mafanikio huku zipo wapi. Huku watu wanazaa kwa mpango toka miaka ya 70. Toka miaka ya 70 mtu anajua uwezo wangu wa kusomesha familia ni kiasi fulani cha watoto. Kwa nini jamii isiendelee ? Maendeleo hayaji kwa pupa yanakuja kwa mipango na malengo ya muda mrefu. Kama Jamii inakaa kuisubiria serikali ya Tanzania kufanikiwa itachukuwa muda sana.

JPM ndiye Rais wa kwanza aliyeleta ukabila wa waziwazi, naomba uniletee Rais ambaye alijaza mawaziri wengi kwenye baraza la mawaziri kuliko JPM ? Mama anaiga na kuendeleza yale ya JPM maana Kizimkazi ndiyo Chato mpya na Wazanzibari ndio Wasukuma wapya. Hakuna Rais aliyepasua nchi kama JPM. Ila kinachoniuma zaidi alio wabeba walikuwa wanafiki na hawakuona maono yake. Hela walizoiba ziilishia kwa wanawake na magari ya kifahari. JPM alianzisha mradi wa viwanja vya NHC Chato vilikuwa na kila kitu maji, umeme na barabara. Wasukuma hamkumpa Support. Rome was not built in one day. Kuna waziri wa Utalii alipiga billion 2 juzi juzi analalamika twitter alitapeliwa na kijana wake kwenye biashara ya kuuza na kununua mazao. Una Billioni mbili halafu biashara bora ya kuifanya kwako ni ya kuuza nakununua mazao. Are you serious ? Hii ndio maana ya mtu kuwa na akili ya buku lakini ana laki mfukoni.
 
Natamani tupate mwizi mwingine kama magu,atujengee hospitali,barabara na mahospitali.
Watanzania hatuendelei kwa sababu ya kukosa fadhira, ndo maana tunawasifia wanaotuibia na kujijenga wenyewe.
Mungu aturehemu sana.
Wa sasa kajengw mnoo na kakamilisha ya mtangulizi
 
Ndugu yangu kuna watanzania ambao walishaamka toka zamani na wanajua wanataka nini. Kuhusu sehemu fulani kupendelewa nenda kachunguze. Kuna shule kibao katika mkoa wangu zimejengwa mna wananchi wenyewe. Kuna wananchi wamejitolea mashamba kwa ajili ya shule toka miaka hio. Hizo juhudi za wavuja jasho zilizoleta mafanikio huku zipo wapi. Huku watu wanazaa kwa mpango toka miaka ya 70. Toka miaka ya 70 mtu anajua uwezo wangu wa kusomesha familia ni kiasi fulani cha watoto. Kwa nini jamii isiendelee ? Maendeleo hayaji kwa pupa yanakuja kwa mipango na malengo ya muda mrefu. Kama Jamii inakaa kuisubiria serikali ya Tanzania kufanikiwa itachukuwa muda sana.

JPM ndiye Rais wa kwanza aliyeleta ukabila wa waziwazi, naomba uniletee Rais ambaye alijaza mawaziri wengi kwenye baraza la mawaziri kuliko JPM ? Mama anaiga na kuendeleza yale ya JPM maana Kizimkazi ndiyo Chato mpya na Wazanzibari ndio Wasukuma wapya. Hakuna Rais aliyepasua nchi kama JPM. Ila kinachoniuma zaidi alio wabeba walikuwa wanafiki na hawakuona maono yake. Hela walizoiba ziilishia kwa wanawake na magari ya kifahari. JPM alianzisha mradi wa viwanja vya NHC Chato vilikuwa na kila kitu maji, umeme na barabara. Wasukuma hamkumpa Support. Rome was not built in one day. Kuna waziri wa Utalii alipiga billion 2 juzi juzi analalamika twitter alitapeliwa na kijana wake kwenye biashara ya kuuza na kununua mazao. Una Billioni mbili halafu biashara bora ya kuifanya kwako ni ya kuuza nakununua mazao. Are you serious ? Hii ndio maana ya mtu kuwa na akili ya buku lakini ana laki mfukoni.
Nikuulize kitu,hizo barabara za rami mpaka migombani nazo zimejengwa na wananchi wa eneo hilo au ni serikali?
Na suala la uzazi wa mpango,huko kwenu kuna maendeleo kuliko china ambako watu ni karibia 2b?
 
Ndugu yangu kuna watanzania ambao walishaamka toka zamani na wanajua wanataka nini. Kuhusu sehemu fulani kupendelewa nenda kachunguze. Kuna shule kibao katika mkoa wangu zimejengwa mna wananchi wenyewe. Kuna wananchi wamejitolea mashamba kwa ajili ya shule toka miaka hio. Hizo juhudi za wavuja jasho zilizoleta mafanikio huku zipo wapi. Huku watu wanazaa kwa mpango toka miaka ya 70. Toka miaka ya 70 mtu anajua uwezo wangu wa kusomesha familia ni kiasi fulani cha watoto. Kwa nini jamii isiendelee ? Maendeleo hayaji kwa pupa yanakuja kwa mipango na malengo ya muda mrefu. Kama Jamii inakaa kuisubiria serikali ya Tanzania kufanikiwa itachukuwa muda sana.

JPM ndiye Rais wa kwanza aliyeleta ukabila wa waziwazi, naomba uniletee Rais ambaye alijaza mawaziri wengi kwenye baraza la mawaziri kuliko JPM ? Mama anaiga na kuendeleza yale ya JPM maana Kizimkazi ndiyo Chato mpya na Wazanzibari ndio Wasukuma wapya. Hakuna Rais aliyepasua nchi kama JPM. Ila kinachoniuma zaidi alio wabeba walikuwa wanafiki na hawakuona maono yake. Hela walizoiba ziilishia kwa wanawake na magari ya kifahari. JPM alianzisha mradi wa viwanja vya NHC Chato vilikuwa na kila kitu maji, umeme na barabara. Wasukuma hamkumpa Support. Rome was not built in one day. Kuna waziri wa Utalii alipiga billion 2 juzi juzi analalamika twitter alitapeliwa na kijana wake kwenye biashara ya kuuza na kununua mazao. Una Billioni mbili halafu biashara bora ya kuifanya kwako ni ya kuuza nakununua mazao. Are you serious ? Hii ndio maana ya mtu kuwa na akili ya buku lakini ana laki mfukoni.

Low minded people are like this.

[emoji706]
 
Nikuulize kitu,hizo barabara za rami mpaka migombani nazo zimejengwa na wananchi wa eneo hilo au ni serikali?
Na suala la uzazi wa mpango,huko kwenu kuna maendeleo kuliko china ambako watu ni karibia 2b?
China kuna watu Bilioni mbili lakini angalia na ardhi yao. Na kumbuka China walikuwa na one child policy. Kila familia ilikuwa inaruhusiwa kupata mtoto mmoja peke yake. Kuanzia 2021 kila familia inaruhusiwa kupata watoto watatu pekee. Usitetee unachokipenda au unachokiona sawa. Kuwa flexible endana na maisha yanavyotaka ukishandana nayo utaanguka vibaya sana.
 
China kuna watu Bilioni mbili lakini angalia na ardhi yao. Na kumbuka China walikuwa na one child policy. Kila familia ilikuwa inaruhusiwa kupata mtoto mmoja peke yake. Kuanzia 2021 kila familia inaruhusiwa kupata watoto watatu pekee. Usitetee unachokipenda au unachokiona sawa. Kuwa flexible endana na maisha yanavyotaka ukishandana nayo utaanguka vibaya sana.
Umejibu moja la china,niko palee nasubiri na swali la rami kama nayo ilijengwa na wananchi au serikali?.
 
Umejibu moja la china,niko palee nasubiri na swali la rami kama nayo ilijengwa na wananchi au serikali?.
Nikuulize wewe kama wananchi hawakuwa na mchango kwenye hio lami. Kwanini isingejengwa sehemu nyingine ?Waliosoma walikuwa wengi na hawakukimbilia siasa bali kazi muhimu katika vitengo muhimu mwishowe miradi ikapewa kipaumbele kwetu. Aliyenacho ndiye anayeongezewa, kwa hio basi kama walikomaa na shule na walijitoa kisawasawa wanastahili kuwa na maji ya bomba na lami. Huku kuna mila na tamaduni zimeachwa toka zamani lakini mpaka leo zipo katika baadhi ya mikoa nchini Tanzania.Mabinti wamerithishwa mali za mababa zao toka miaka ya 90. Mabinti wanasomeshwa toka miaka ya 70 na 80. Lakini kuna sehemu Tanzania Binti akivunja ungo anaolewa. Baba akifariki mali zinarithiwa na watoto wa kiume hata kama ni wajinga.
 
Back
Top Bottom