Euphra
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 522
- 1,082
Hakuna heri yanayoendelea yote ya shariÑa ikawe Heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna heri yanayoendelea yote ya shariÑa ikawe Heri
Sasa unamuuliza nani wewe mla kasa!Kwani yoga ameenda wapi?
Sasa unamuuliza nani wewe mla kasa!
.Baada ya ka ubizy ka siku tatu hiz, Kuna mengi ya kuandika but muda si rafiki,[emoji6]
Nikiripoti kutoka huku ndani ndani kwenye kampuni naomba tukumbushane wapi tuliishia ili kesho saa sita mchana tuendelee na pop corn zetu!!
Nikwamba Tulienda DUBAI kidogo, then tuka rudi na kumuona mr born town akigundua njama za our new CEO, lakini new CEO ana mission yake inaitwa "chackes and balances"
Tutaanzia hapo kesho,
Lakini bila kusahau kutakuwa na new introduction ya skipped inside events, nyingi sana za muhimu zitakazo kuwa kama flash back before the death of our late CEO
Hope mtajifunza jambo, huku tukisonga mbele!!
Wale tunaoconect dots na kuhusisha na watu (haswa viongozi) msemo wetu maarufu kwenye uzi huu ni
"hii nistory tu, tuisome tu" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Alamsiki
Asante mkuuMzee wa kupambania
Mzee anza kuangalia kuanzia mwanzo mkuu
Sijui kapotelea wapi mara ya mwisho ilikuwa 2023 mwezi wa 12Yoga katuachia uzi
Tusubiri April ipite salama,hata enzi za nuhu kuna waliokuwa wanambeza wakati anajenga safina,sababu waliona kiangazi wakati jamaa anawaambia kuna mafuriko yanakuja.Rabbon tunakarimbia mwezi April
.Bonus chapter
"The lost pages in the CEO Diary"
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Tusubiri April ipite salama,hata enzi za nuhu kuna waliokuwa wanambeza wakati anajenga safina,sababu waliona kiangazi wakati jamaa anawaambia kuna mafuriko yanakuja.
Hii yote inatokana na kabila lililomkuza kuamini mwanamke si kitu kwaiyo aliamini atamcontrol kwa kila kitu japo alijua nae ni jipu kulingana na msemo wa late CEOKosa la dead CEO ni kukubali kupewa msaidizi na Old CEO yaani hapo ni kama alijibanika kwenye wavu kusubili kubanikwa.
Huyu ni mtu aliyekula kiapo kwa nafasi aliyoihudumu mpaka alipostaafu. Hawezi kuropoka hovyo masuala yahusuyo taasisi nyeti ya urais tena mbele ya vyombo vya habari bila ruhusa maalum.Naona CDF wa zamani amesema kwa uchache
.The lost pages in the late CEO diary
Page 2 (part one)
Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!
Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!
That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding a go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!
Branch manager, the loved step son by late CEO mwanzoni kabisa was just a normal guy!! He was unpopular with nothing! coming from a very poor family!!
Katika kujitafuta na kutafuta maisha yake he saw an opportunity ndani ya kampuni! But he didnt know anyone to hold his hand ili aifikie lengo lake!! Na lengo lake nikuwa kiongozi mkumbwa ndani ya kampuni!!
Mr born town alikuwa na vijana wake aliowapenda sana!! Mmoja aliwish aje awe CEO na alikuwa akimtrain nakumpitisha kila hatua muhimu ili awe CEO baadae!! Branch manager saw this, na akafanya kila jitiahada za kujiatachi kwa kijana wa born town!! Maana aliiona future yake kupitia kijana wa mr born town
kwa kiasi kikubwa alifanikwia sana kujiatach kwa kijana wa born town and letter on kwa familia nzima ya born town!! Akapewa nafasi ya udesk officer ndani ya kampuni!! Aliifanyia kazi hiyo ipasavyo!!
Katika kipindi chote hicho branch manager a.k a desk manager alijitahid sana kuingia kwenye cycle ya born town! Hii ilimfanya kupata access ya details za how mr born town was running the show!
Alipata bahati yakuwa recruted katika mission ya kumtermiante mr bright
Who is mr bright!!
Flash back ........
One year before election ya late CEO, mr born town alikuwa kwenye wakati mgumu sana!!
Why???
Yeye ndio alikuwa CEO na katika kuwa CEO alikuwa na marafiki zake wawili wakaribu sana!! Hawa ametoka nao mbali sana kwenye ups and down wako wote pamoja!! hao ni mr bright na mwingine ni mr diplomatic!
Mr bright was everything!! Yeye ndie aliyemtafutia investors and connections na ndiye aliyekuwa adviser mkuu wa born town!! Yaani leo mr born town asinge uonja u CEO kama sio jitihada za mr bright!!
Mr bright was very loyal to born town, he did everything to ensure kwamba born town anakuwa born town kweli and the plan was kuwa after born town kustaafu u CEO bas yeye ndio alipaswa kuwa CEO! So he sucrified a lot for mr born town!
Sadly He didnt know how born town was, behind the scene!! This guy vision was biger than what mr bright thought!!
Baada ya born town kuwa konected na investers wa nje na kupata all konection nyingine zote za muhimu through mr bright, he did him dirty to ensure his empire through his vision!
Iko hivi; mr born town assistant wake mkuu enzi ya u CEO wake alikua ni mr bright!! This man alifanya kazi kweli kweli! Mpka kuanza kuwa maarufu kuliko born town!! And alifanya vile kujisafishia njia kwakuwa he knew kwamba after born town kustaafu u CEO basi it was yeye awe CEO
Hii haikuwa nzuri kwa born town and his vision to become a god father of the company! Secretly without knowing, born town formed a group behind the scene!! And this group head wake alikuwa ni mr diplomatic! This group their main agenda was to block mr brights ambitions to become a CEO of the company!
Why??
Mr born town felt that if mr bright becomes the CEO with all his conections, experience and exposure he will become a true godfather of the company and yeye will be out of the map! He saw mr bright as athreat and not as a close friend!!
So he diceded to find one close familly member who is very loyal to him and he is in the company to help him dealing with mr bright!
He came up with mr diplomatic! A familly member and another true friend!! Walifanya mazungumzo marefu kidogo na wakakubaliana kuform a task ku deal na mr bright! na wakakubaliana wa deal naye outside and inside the company! akapewa kazi ya kuzisuka vizuri outside connections ili zimsahau mr bright! Yaani wa mdisconect mr bright na outside investors!!
The guy did an exclellent job!! aliweza kuturn the table kuwafanya investors wamkubali zaidi mr born town na sio mr bright tena!! investors walipewa mikataba minono minono ndani ya kampuni, kuanzia kwenye kampuni tanzu za gas, minerals, and etc na kuwa tengenezea mazingira ya kupata a very big profit!!
Kukubalika huku kulimfanya mmoja wa president wa kampuni kubwa sana duniani kuja mwenyewe kucheki uwekezaji wao kwenye kampuni hii, jambo ambalo sio la kawaida kwa mtu huyo kutembelea kampuni ndogo ndogo kama za mr born town!!
Mtu huyu ni very important na duniani kote wanajua hilo! Jamaa likuja na lot of conections ambazo only mr born town alipata acces ya kuwanazo under the director mr diplomatic
baada ya kufanikisha kwa kiasi kikubwa kuwavuta all otside investors wa nje kuwa under born town, ikabaki ndani ya kampuni!!
Hapo ndipo branch manager anaingia!! kupitia mr diplomatc walileta kampuni ya mchongo ikuje iinvest kwenye kampuni then mr bright akapewa jukumu la kuhandle the whole process za hao investors kwa baraka za mr born town mwenyewe!!
Kwakuwa mr bright alimwamini sana born town na akijua ni his best friend for life alisimamia mchongo mzima akijua ni mchongo wa muhimu kumbe alikuwa anachoreshwa!!
Iko hivi mr diplomatic and born town waliunda kampuni hewa nakisha kumvisha ownership mr bright!! Then mr bright alitwa na born town since ni close friend na wanaaminiana 100% akajifanya kama anampa mchongo kuwa kuna kampuni anaianzisha na lengo kuu nikukusanya fund kwaa jili ya coming CEO election! Akamwomba yeye yaani mr bright awe msimamizi wake!!
Akapewa all details na akapewa freedom ya yeye kufanya kila decition without concern ya mr born town!! Since jamaa wametoka mbali na wanaaminiana, mr bright akaona haina shida mzigo ataupiga na kwakuwa fund hiyo ikiwa collected itakuja kutumika pia kuongeza nguvu ili yeye awe CEO!
So akaipokea Ile kampuni na kwa order yake kama mtendaji mkuu pale kwenye kampuni akaorder ipewe tenda ya kusambaza maji kama kwa wateja maana kulikuwa na shortage of water! Kampuninilileta pump za mafuta za kusukuma maji ilikuondokana na uhaba wa maji!!
Sasa kila siku kampuni ilipaswa kulipwa zaidi ya milioni 100 kwa kusambaza mji lakini pia kampuni ilipaswa kulipwa kwa kutumia mitambo yake kusambaza maji!! Shida kampuni haikuwai kuomba tender haikuwai kushindanishwa na kampuni yoyote, bali ilipewa tu tenda ya kufanya kazi na aliye sema ipewe tenda ni mr bright chini ya maelelkezo ya mr born town his close friend!!
Baada ya kumchoresha hivyo, mr born town na mr diplomatic wakamtumia kijana wao branch manager kuvujisha documents zooote za investment ile ya mchongo kwa mr new culture na team yake na document zote zikionyesha mfanya maamuzi yoooooote kwa kampuni ile ya mchongo ni ni mr bright yaani hakuna mahala CEO mr born town ameonekana akifanya maamuzi!! Lakini pia document zikawa zinaonyesha mmiliki pia wa kampuni hiyo ni mr bright kwani ana hisa zake kwenye kampuni la mchongo
Team ya mr new culture wakaenda kwenye kikao cha board na document zao walizo vujishiwa na mr branch manger wakamwaga ugali na mboga, kampuni ikatikisika, kila mtu akawa anashangaa how mr bright ameweza kufanya haya yote bila mr born town kujua!!
Branch manager ankawa anazunguka kila mahala ana elezea namna mr bright alivyo tafuna fedha na kampuni la mchongo, mr new culture na tema yake wakaandaa na list ya wanao kulahela za kampuni wakamjumuisha na mr bright, ingawa walimtaja mr born town ila mr bright ndio alitawala midomoni mwao!!
Mwenyekiti wa board akaagiza tume iundwe kumchunguza mr bright, mwenyekiti huyo wa board akapewa maelekezo, tume wakapewa documents kama zilivyo, wakafanya uchunguzi bila kumpa nafasi mr bright kujielezea wakalipuka nazo na tuhuma nyingine kadha wa kadha
Mambo yakawa mambo kila kona akawa anaimbwa mr bright kuwa yeye ndio mlapesa mkuu wa kampuni ilipofika wakati wakujielezea mr bright kwa ufupi sana alijielezea na aka jiuzuru nafasi yake kwenye kampuni kama mtendaji mkuu na kusema amesikitishwa na kilicho tokea!!
Wakati akijiuzuru hakuficha, aliusoma mchezo na akasema wazi kuwa kuna watu wamemuundia zengwe la kumchafua na tatizo sio yeye tatizo ninafasi aliyonayo ndani ya kampuni na kwakuwa wameamaua hivyo acha awaachie nafasi yao!
Team ya born town haikuishia hapo iliingia mtaani nakuendelea kumchafuar bright, lengo nikuhakikisha anakosa kabisa sifa ya kuja kuwa CEO, na waliotumika kufanya hivyo branch manager na mr new culture and his team!!
Baada ya kumchafua mr bright, jamaa ambaye alikuwa anaushawishi ndani ya kampuni tena mkubwa sana tu, kundi kubwa sana lilianza kuhoji kuhusu the whole scandle!! Hii ilipelekea mr bright nayeye kushtuka na kuanzisha investigation yake mwenyewe, akagundua the whole thing was ploted by born town na shida ni u CEO!
Na tayari jamaa kesha mzunguka huko nje kwa investors kesha mchafua kwani na baadhi ya investors hawapokei simu zake!!
Mr bright akajiapiza kwa hili alilofanyiwa na mtu ambaye amejitoa kwake kwa hali na mali, iwe anataka au hataki, iwe mvua iwe jua yeye anakwenda kuwa CEO!!
kwanza uchumi wa kufanya hivyo anao, na still anakundi la wafuasi wakutosha ndani ya kampuni ambao wameshagundua lengo la mr born town!!
So mr bright formed a team, hii timu ilikuwa na nguvu asikwambie mtu! Team ilipewa pesa kila panapo skika mr bright anachafuliwa wao walikuwa wanasafisha, makala zikaandikwa mdogo mdogo za kumsifia mr bright kutokana na uamuzi wake wa kujiuzulu mwenyewe!!
Wafuasi wakaongezeka na kuongezeka!!red light ikaanza kuwaka kwa mr born town!
Wakati huo mr born town alikuwa ameweka mihadi na mr diplomatic kutokana na kazi kubwa aliyoifanya ya kumuondoa mr bright kwenye ramani na kumchafua vile basi yeye ndio ataukwaa u CEO, maana kwanza ni familly member lakini pia he was also tooo loyal to him hivyo ile vision ya born town ya kuwa the true godfather itaendelea kuexist
So Mr diplomatc akaanzisha team yake na yeye ya kupambana na mr bright!! mr born town alikuwa akimsuport mr diplomatic behind the scene!! Kutokana na uzoefu na ushawishi mr bright alianza kuelekea kumwin diplomatic na mr born time!! Jamaa alijipanga haswa kumfurusha born town na kama angeupata u CEO born town angekuwa born bush!
Mr born town alitikiswa haswaaaa, yaani nusu ya kampuni was in favor of mr bright, nusu nyingine iliyobaki robo ilikuwa kwake na robo kwa wengineo!! Alijikuta jamaa amesha washawishi boards of directors karibia wote na wako upande wa mr bright!
So siku ilifika ya kufanya uamuzi nani akapambane kuwa CEO, mr bright tayari anasupport ya 70% ya board members!
kati ya siku ngumu kwa born town ilikuwa ni hiyo! Kwanza alikuwa anawaza atakachofanywa na mr bright akifikilia jamaa alivyokuwa loyal kwake alafu nayeye alichofanyia aliona mambo yanaenda kuwa magumu sanaaa!!
Walipoingia ndani ya meeting ukumbi ulilipuka unamtaka mr bright!! Watu wanaimba tu, wanamtaka mr bright! Kundi lingine nalo linaimba lina mtaka diplomatic ! Wakati huo, branch manager alikuwa ni moja ya vijana wako team born town na wanamkandya kweli kweli mr bright kila sehemu wanamchafua!!
The power full CEO kabla ya born town kwa ukali ikabidi asimame na kuzuia kilichokuwa kinaendela mbele yake!! Wakaitana chemba viongozi wakuu wote, Wakati huo mr born town hataki kabisa kuskia habari za mr bright anakuwa CEO! robo tatu ndani ya kampuni haimtaki mr diplomatic awe CEO, wnamtaka mr bright!!
so mr power full CEO akaomba list ya wote walio omba u CEO, kwa ubabe akawachambua mmoja baada ya mwingine then akawambia mr born town, pamoja na viongozi wengine wa muhimu wa kampuni "wewe si ndio CEO, hapa tunaangalia maslai ya kampuni na sio ya upuuzi wenu! sasa nasema hivi, kata jina la mr bright, kata jina la mr diplomatic weka hawa ambao hawana uteam wala wafuasi msitake kuichezea hii kampuni mtatuleta shida"
Alipomaliza kuongea vile akatoka nje, viongozi wengine nao wakamfuata nyuma! mr born town akaangalia akasema hii iko sawa akaona ushauri ule atatibu mpasuko uliojitokeza kwamba pande zote pinzani zitaonekana zimeshimdwa! Ila kwakuwa yeye kesha build connection, vision yale iko pale pale atajua namna atakavyo deal na CEO mpya!! so akaenda nje akwakatangaza mamuzi hayo ambayo yalileta sintofahamu kubwa sana!!
Chap akili ikamzunguka, akaona ampe support late CEO, support ikakubalika late CEO akapewa u CEO, then late CEO akaomba ushauri kwa born town nani awe run up wake!! Born town akapiga katika utosi akamshauri amchukue deep informal bila critical analysis late CEO akajikuta amejaa kwente trap ya born town Baada ya kumkubali deep informal
So Mr bright kwakuwa nia ya kumuondoa born town alikuwa serias na plan A isha feli akataka kwenda na pln B, nayo ilikuwa ni kuvujisha mambo mazito mazito yoote yanayo mhusu born town kipindi choten alichomfahamu lengo ni wachafuane tu!!
wakati yuko kwenye kutaka kuimplement the whole plan, mr born ntown alishapata taarifa what was coming!! akawa kampandia hewani mr new culture! akamwambia nataka niwape milage ya kijikampuni chenu kama mko tayari, mr new culture akauliza kivipi?
akamwambia "nyie hamtakaa mje muongoze hii kampuni mr bright ana konections na anawafuasi kwanini msimchukue awe representative wenu!! Mtapata pata hata board members then mnaongeza posho huko na kujulikana julikana!!
Mr new culture baada ya kupokea ushauli ule akacheki akaona nikweli kuwa kuna ka advatage kama wakimtumia mr bright! So akamuuliza mr born town wanafanyaje kumpata mr bright kwani tayari hawako in good terms na yeye! Born town akawaambia watulie atawarudia!
Born town picked up his phone akampigia mr bright! Mr bright hakutaka kabisa kupokea sim ya born town he was very mad!! baada ya watu wakaribu sana kumfuata na kumshauri sanaaa then akaamua aipokee simu ya mr born town
Mr born town akajishusha kama vile sio yeye yaani! Akasema bwana najua nimekukosea sana but sie ni binadamu tusameheane! Mr bright akawa mkali kidogo akasema ushanichafua sana tunasamehana aje!
Born town akajishusha akamwambia what if walio kuchafua watakusafisha, he played like sio yeye aliyekuwa anamchafua and then aka mhakikishia utulivu, good investment plus huge profit from the company!!
Mr bright wantend to know atasafishwaje! Lakini pia urafiki wake na born town ukawa umerudi ila kwamashaka!
Jamaa akamwambia akina mr new culture wako tayari wewe uwe their representative kwenye kinyaganyiro cha kumpata CEO, wamekuwa wakiwapigia simu watu wangu wakiomba namna ya kuwakutansha, kwakuwa wao ndio walikuwa majukwaani wakikuchafua , watatumia majukwaa hayo hayo kukusafisha wape nafasi wakusafishe Na still ushinde au usishinde naahidi kuto kuku weka kando kwenye investments za kampuni stil wewe na mimi tutabaki kuwa the god fathers of this company!!
Mr bright alimsikiliza, baada ya mazungumzo ya muda mrefu na mr bonrn town na watu wake he accepeted the deal! Kwanza aliona anakwenda kusafishika lakini kutokana na afya yake aliona isiwe tabu acha astopishe mashambulizi yake a play along while anajimobilize!! Lakini hata ofa aliyo pewa ilikuwa nono if he accepted the deal
So Mr born town called again mr new culture na kumtonya kuwa wao waende tu wakamuombe mr bright msamah then atawakubalia tu, akadai kwa sasa hana option ya kuwakatalia na anautaka u CEO!
new culture akamjibu pale pale najua UCE hamtupi ila Board members tutapata? Born town said yes!! so mr newn culture akaitisha kikao cha ndani kwenye team yake, akawaambia kuhusu mpango mzima! Wapo waliompinga na wengi wakamkubalia maana wanamjua jamaa! So akaenda wakamuomba, mr bright akakubali mtanange ukaanza!!..
Baada ya kampeni za aina yake, mr bright alishinda uchaguzi ule! But kama kawaida born town na mr bright played their game, and late CEO was announced as a winner while mr bright akisafishwa na wale wale waliomchafua as it was planned!! Ishu ikabaki ku deal na late CEO as new CEO!
Sasa Baada ya late CEO kuchukua u CEO kutoka kwa born town branch manager, aliianza kuhamishia majeshi yake kwa late CEO kwa umakini mkubwa but Miezi sita ya mwanzo kijana played as the middle man! Taking info in both sides!! Akiangalia nani ananguvu in decition making concerning with company matters
Baada ya kumstudy late CEO na kuona kuwa ana plan za kuwa imortal CEO wa kampuni, yaaani hana mpango wa kuondoka madarakani kijana akamgeuka born town chap na kuanza kufeed some info to late CEO, kuna baadhi ya detals za investments za born town and his family ndani ya kampuni alizozipata , akawa amemmwagia zote late CEO!
Pia info za watu in the company ambao branch manger before alikuwa akikutana nao kwa mr born town wakipeleka taarifa au wakishauriana kuhusu mambo kadha wa kadha kuhusu biashara au investiment ndani ya kampuni,
kijana aliwaa identfy wote na alimpa hizo names late CEO, na yeye alifanya a very critical analysis and investigation on each name na ku prove kuwa kijana wake alikuwa hatoi amaboko bali alikuwa anampa true info!!
Mfano kuna mkuu wa taasisi ya kampuni iliyokuwa inashughulika na ujenzi wa nyumba za wafanyakazi na kampuni, huyu alikuwa mtu wa born town sanaaa, na alikuwa anakutana sana na born town mara kwa mara na branch manager amemshuhudia mara kadhaa, late CEO baada ya kupewa hint na branch manager alimchunguza na kuprove kuwa jamaa ni loyal sana kwa born town na ujenzi wa nyumba nyingi za kampuni Uliokuwa unaendelea ulikuwa wagharama kubwa ambayo ghara hizo kumbe zilikuwa zajuu ili zipatikane pesa ambazo zilikuwa zinaingia kwenye accounts za born town outside the company !! So late CEO akamla kichwa na kupiga marufuku ujenzi waina toyote bila idhini yake!
Hii ilimpaisha sana kijana nakupendwa sana na late CEO maana taarifa zake zilikuwa genewine, Ali msnich vizuri sana born town kwa late CEO. Ikafika mahala umwabii kitu late CEO dhidi ya huyu kijana msema kweli kwake na aliyemsaidia sanaa kuwaidentfy wa hujumu wake ndani ya kampuni!!
Ilifika mahali mpaka board of directors wanamwogopa branch manager!! Na yeye alideclear live kuwa he is more important than all board of directors!! And kama wanabisha wajaribu waone!!
Sasa mmoja wa assistant wa mr new culture ali rise a very hot topic in social media discussing the late CEO level of education!! Aliamini kuwa elimu aliyonayo late CEO Ilikuwa ya mchongo!! Haikufuata taratibu kufikia level hiyo ya education
Alileta lot of facts with evidence to prove his ideas and to some extent he was saying the truth! And why was he saying the truth, becouse all the fact he delivered were true facts as they were gethered behind the scene from born town team ikiwa katika jitihada za kumdirty late CEO!! [emoji41]
hili halikuibuka tu, it was all planned by mr new culture himself Katika kutafuta njia ya kuzidi kuwa popular kwa customers wa kampuni nkujiondoa kwenye kashfa ya kumsafisha mr bright!!so walianza kum attack late CEO in differet ways na hiyo ilikuwa moja wapo!!
Walianza wao kama wao then they were supplied with evidence from mr born town team! Remember this two are rrivals,(new culture and born tow) but they get funds and suport from the same investors!! So when their investors interests are in jeopardy lazima wa team up behind the scene to make the company greait again [emoji4][emoji16][emoji16][emoji16]!!
So after assistant wa mr new culture ku spit too much facts, enough was enough the decition was made to deal with him and all the magazine and medias whom were publishing his stories!!
so the phone rang!! Branch manager picked it up"take care of this boy make sure he learns his lesson sawa!! !" Yes dad he will!
Branch manager akawa kapewa go ahead na late CEO akasimamie shughuli nzima ya kudeal na kijana!! He was very happy. He decided to call his task force yake ya watu 14, among them, two guys were ITs toka head securty agency ya kampuni!! Others were just officers from the late CEO securty agency!!
.........
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app