Dark days 17/03/20...

Hapo kwenye choice malizia vizuri , the other one ni nan? So born town kuna mtu anamhofia ? Kuna mtu anakula naye sahani moja ? Ni nani huyo hebu malizia hapo riwaya vizuri ni bonge la stori kudos yoga Wewe ni mwandishi mzuri.
 
Hapa nilitoka kapa
Ahsante kwa kunifungulia code
 
Kusema kweli ghorofa ninalo la kupewa hapa mjini. Yeye kwake ndo kipya. Halafu si wote tunapendelea kuishi katikati ya jiji. Tunapenda kuishi sehemu tulivu.

Mimi nilikua na VPN[emoji23][emoji23] twitter nimeitumia sana. Wallah tena bila born town sijui ingekuaje... jf tuko mbele kama tai yaani.... hakuna mtu asiyependa mtu mwenye akili. Hata darasani mwenye akili huzungukwa. Born town mwanaume mmoja tu hatumii nguvu wala nn na mambo yanaendaa. Zama zake tumeishi kwa amani sana.... tunamshukuru kwa kazi nzuri aliyoifanya

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
One day palaypanda italia kwenye kampuni nao watasaga meno. Kuna mlevi mmoja alisikika akisema vongozi wa kampuni wanaokufa ni dini moja. Huyu mlevi sijui alimaanisha nini?
ulevi tu huo Mkuu alikua na hasira zake, mbona madevu wa visiwa vya zambarau alitangulia?
hii vita haikuchagua km ulijiegemeza kuumiza wenzako na kujichotea hazina yetu kwa kulipiza uliingizwa bila kuangalia Dini
 
Tumekwisha [emoji2297][emoji2297]
 
Wakati Mwl anafariki kile kikundi kilichofanya sherehe south Africa taarifa zao zilifikaje Huku !!!?...kijana kua uyaone
 
Sikiliza we bwege,huyo born town na yeye nyuma yake Kuna wanaomtuma yaani yeye ni msariti kwa taifa lake,watu wake na bara lake la africa.

Atakufa kifo kibaya tu subili
 
Kwani maheads of states wanaouwawaga huwa hawana huo ulinzi mkali??
Ushakalili mkuu, hakuna sehem haina mapungufu ndgu yangu, wanaingilika tu na wataalam wa mambo.

Yote kwa yote mleta uzi kasema hii ni hadithi tu, soma kwa kujifurahisha usiingize mambo yako.
 
Dah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…