NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wakati wake ukifika wa kwenda kuzimu kavu ataenda tu!Kuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINIWakati wake ukifika wa kwenda kuzimu kavu ataenda tu!
Kwa kawaida Hawa jamaa hula mikataba na yule mwenye kuangazia ulimwengu Ili kushika madaraka makubwa kama hayo!Muda ukifika lazima aende akatukike Tena kabla ya natural death halisi kumfika!!!
NASIKIA MBAGALA TAYARI KUMETOKEA TETEMEKO NA NYUMBA 29 ZIMEBOMOKA!!KUNA MDAU KALETA UZI HUMU!
InasikitishaKama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.
Money the root of all Evil.
Brother lisuSijajua kijana msema sana au pole tu? Mpambania democracy ni DJ? Wengine nawafahamu. Umri wangu Nina miaka 12 na nusu.
Evil people with friendly facesBorn Town mzee wa kinyeleπ jamaa ni mdeadly in a decent smile!
Mkaldayo Dumas the terrible ni wewe?Kapo tangu early 70s
Asante sana mkuu. Kawaida tu!Wewe jamaa umeandika kitu kikubwa sana aisee maelezo mafupi lkn yaliyobeba maana nzito sana hongera sana mkuu
Afya ya lowasa yupi tenaNamuheshimu sana member GT The Boss. Aliletaga uzi humu nadhani 2018/19 je Jiwe atawezana na watoto wa mjini?
Hawa watoto wa mjini siyo kushindana nao bali kuungana nao.
Msimuone mwamba Mbowe siyo mjinga mwamba ni mjanja.
Na mimi sasa najiuliza afya ya Lowasa nayo dah.
Ukiwa na kipato kama 1.5 m kwa mwezi baada ya kodi nikutulia tu. Ukushindana na hawa mafia.
Huo ni uongo sijawahi kua Terrible kwa lolote tangu niokoke Mwaka jana ila zamani ndio ilikua michezo yangu hiyo to assassinate viherehere!Mkaldayo Dumas the terrible ni wewe?
Anamaanisha walicheza na system ya body ya.ke!hao wahuni!Afya ya lowasa yupi tena
Mkuu hayati rais Lowasa. Kule kuumwa kwake.Afya ya lowasa yupi tena
Hakuna maisha mabaya kama kuviziana na kuwindana. Ndo maana madikteta wanakuwa ruthless. Mfano Putin, kiduku na MBS.Hatari sana, yote kwa yote ni fasihi.
Za kuambiwa changanya na zako.
Kampuni unaendeshwa na mengi mno, hizi movies na vitabu huwa vinaeleza sana yanayofanyika huko japo kwa uchache.
Hata hii yako ina mengi ya kweli yanayoweza kufanyika ndani ya kampuni, wale watu acha wawe na nguvu tu ila wengi wao wanaishi kwa kuviziana, visasi, chuki na unafiki wa hali ya juu.
Madam Basi wewe utakuwa kidoti. Ungekuwa mwanamme basi Mwana FAUsinambie hii kitu ndo unaijuwa kwa mara ya kwanza? Duniani hakuna siri watu wake wa karibu na the late ceo walivyoanza kufa siri ndo zikaanza kutoka hata huku mitaani baadhi ya watu tulijua hii mipango lakini ndo hivyo huna cha kufanya unamwambia nani? Mtu anakwambua mapema ceo kafa meza pin.
Kama mimi nilijua mapema ceo kafa wiki kabla ya tangazo , nikiingia humu jf watu wanauliza ceo yuko wapi? Nashindwa kusema maana ilikuwa ni hatari kusema. Hakuna siku zilizonitesa kama hizo wiki mbili ceo kashakufa watu hawana taarifa.
Kwa umri wako, tetemeko ni kitu cha ajabu kweli?Wakati wake ukifika wa kwenda kuzimu kavu ataenda tu!
Kwa kawaida Hawa jamaa hula mikataba na yule mwenye kuangazia ulimwengu Ili kushika madaraka makubwa kama hayo!Muda ukifika lazima aende akatukike Tena kabla ya natural death halisi kumfika!!!
NASIKIA MBAGALA TAYARI KUMETOKEA TETEMEKO NA NYUMBA 29 ZIMEBOMOKA!!KUNA MDAU KALETA UZI HUMU!
Ndo ujue uchawi hupoNiliona ila kinachonishangaza ni kwa nini alimuamini wakati sote tunajua huyu ni kijana wa old CEO? Maana hakustahili kumuhusisha kwenye mambo makubwa.lakini ndo hivyo alimuamini.
Dah mkuu umepotea sana jamvini toka August 2023. Tumekumiss jukwaa la international kuisifia Russia and PutinThe old boss is bossing the new boss
Oyaaa pitia hapo kwa mangi faster uagizie chochote ntapita baadaye na range yangu kulipa.Kwa huu mtiririko na wewe unafanya riwaya za yoga nazo zionekane hekaya za abunuasi πππ
Unapita na RR ngojea nivute Ace of Spades hapa πOyaaa pitia hapo kwa mangi faster uagizie chochote ntapita baadaye na range yangu kulipa.