Dark days 17/03/20...

Kuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
Wakati wake ukifika wa kwenda kuzimu kavu ataenda tu!

Kwa kawaida Hawa jamaa hula mikataba na yule mwenye kuangazia ulimwengu Ili kushika madaraka makubwa kama hayo!Muda ukifika lazima aende akatumike Tena kabla ya natural death halisi kumfika!!!

NASIKIA MBAGALA TAYARI KUMETOKEA TETEMEKO NA NYUMBA 29 ZIMEBOMOKA!!KUNA MDAU KALETA UZI HUMU!
 
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
1. Ni kweli sisi wenye mwili, nafsi na roho mauti kwetu asilimia kubwa tutapitia, ila huyu Fisadi Baba la mafisadi na ufisadi Nyikani naona mauti yake inachelewa sana, akinitangulia siku hiyo nafanya sherehe.
2. Kuna Rafiki yangu yupo Chamanzi anasema hajasikia mbona tetemeko au limeisha Mbagala tu?
 
Namuheshimu sana member GT The Boss. Aliletaga uzi humu nadhani 2018/19 je Jiwe atawezana na watoto wa mjini?

Hawa watoto wa mjini siyo kushindana nao bali kuungana nao.

Msimuone mwamba Mbowe siyo mjinga mwamba ni mjanja.

Na mimi sasa najiuliza afya ya Lowasa nayo dah.

Ukiwa na kipato kama 1.5 m kwa mwezi baada ya kodi nikutulia tu. Ukushindana na hawa mafia.
 
Kama ukitambua kuwa hela inaweza kumfanya hata ndugu yako wa damu akakuplot uende kuzimu kwa kupanga genge lake tu na masterplan nzuri basi hutashangazwa na kilichompata CEO the closest person is the one who can kill you.

Money the root of all Evil.
Inasikitisha
 
Afya ya lowasa yupi tena
 
Hakuna maisha mabaya kama kuviziana na kuwindana. Ndo maana madikteta wanakuwa ruthless. Mfano Putin, kiduku na MBS.
 
Madam Basi wewe utakuwa kidoti. Ungekuwa mwanamme basi Mwana FA
 
Kwa umri wako, tetemeko ni kitu cha ajabu kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…