Dark days 17/03/20...

Hatuwezi kuwa na kiongozi kama Makamu wa Rais au Waziri mkuu ambae ni mchaga (wezi na matapeli) hebu futa kwanza akilini kwako mawazo haya ya kihayawani futa kabisa
 
Wachagga wakristo, wazalendo, wenye maadili mazuri, wamekuwa na mchango mzuri sana hapa TZ, kabla na baada ya uhuru. Both in the public sector and in the private sector, including in the health, education, civil service, security and defence areas.

Wachagga pia wamehusika kwenye mitikisiko chanya na ya amani, ya siasa za kitaifa, ambayo imeleta mageuzi chanya kwa taifa, ndani na nje ya ccm.

Wachagga ambao ni wazalendo, huwa ni wazalendo wazuri sana, na ni wabunifu wazuri.

Tanzania ingepata rais mchagga mkristo, mwenye good exposure, mwenye maadili mazuri, ambae ana university degree, mzalendo, mbunifu, mwenye centre right to centre left politics, anae support a mixed economy, where the public sector and private sector co-exists peacefully and prosper, Tanzania ingepata maendeleo mazuri na makubwa.

Kwa sasa nafasi za rais na VP tayari zina watu. Nafasi iliyobakia ya juu ni PM. Ni jambo zuri kuwa na PM wa ccm, ambae ni mchagga, kama ccm itashinda uchaguzi huru na wa haki.

PM anaweza pia akawa ni msukuma, ili kupata kura nyingi maeneo ya kule. PM anaweza pia akawa ni mtu wa Singida au Dodoma.

Wananchi wengi pamoja na wana ccm wengi, wanapenda ccm iwe ni chama cha kizalendo, kinacho heshimu demokrasia na haki za binadamu, na kupunguza grand corruption, na kuleta maendeleo mazuri na makubwa, na yenye ubunifu mzuri, kwa mikoa yote ya Tanzania, huku kukiwa na uhusiano mzuri (kama itawezekana) na mataifa yenye nguvu duniani.
 
Mwenge wa uhuru wa TZ, nadhani wali ucopy from mwenge wa the statue of liberty ilioko New York, Marekani.

The statue of liberty ilijengwa na wajenzi huru, na inaelekea, ilikuwa copied and modified from a false pagan sun god.

Mwenge ni kama una beba a pagan sacred fire and light of a false pagan sungod. Pia ni kama mwanga wa illuminati.

Marekani na TZ huwa wanatafsiri mwenge kama ni mwanga wa kawaida, unao wakilisha mwanga wa uhuru.
 

Attachments

  • Statue of liberty.jpg
    46.8 KB · Views: 1
  • pagan image.jpg
    220.1 KB · Views: 2
Hatuwezi kuwa na kiongozi kama Makamu wa Rais au Waziri mkuu ambae ni mchaga (wezi na matapeli) hebu futa kwanza akilini kwako mawazo haya ya kihayawani futa kabisa
Waliwaibia kina nani? Wachana na wachaga wapambanaji, tuwalaumu Babu zetu walishindwa kupambana kiuchumi wakati wa ukoloni. Wachaga ni matajiri kabla ya uhuru, je waliwaibia wakoloni? Propaganda za kipuuzi zilizoanzishwa na mchonga kwa hofu yake tu wasije pewa madaraka
 
Kikwete katukuzwa na kupewa nguvu na uwezo usiokuwa wa kawaida. Kuna uongo na uzushi mwingi kuhusu Mkwere
Hivi ilikuwaje mzee yule kuwapa uraia wale wakimbizi wakati inafahamika ni wakorofi?
Hivi baada ya miaka 20-50 ijayo hawataleta chokochoko zao kama za wale wa DRC kudai wanabaguliwa kwenye kupewa madaraka?
 
Taja kwanza wachaga watatu wenye akili timamu na ambao siyo wezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…