Dark days 17/03/20...

Take it from me, ..."


Sasa who are you to take from???

Wewe kwa maelezo yako haya unatofauti gani na hii speculation ambayo wewe unataka kutuambia tusiisikilize??? Unalalamika tu halafu unataka tuchukue speculation yako.

Hopeless!!

Tunamsikiliza mtaalamu wa mambo , na tunasubir episode nyingine!!
 
Jamni wewe ndo unaleta speculation na kuiharibu JF.

Umeambiwa hii ni story lakini bado unakaza shingo .


Dah

Wabongo bhaana.
 
Katika maisha ogopa sana mtu akiomba msamaha ww ulie ombwa lazima utaweka silaha chini kwakujua kua uyo kasanda.
Kumbe mwenzio ndio anaenda kujipanga kisawasawa na kuja kukumaliza na timu yake.
 
Who am I? I'm a credible source in JF you can confirm with my threads and my reputation outside JF too.

Sijawahi kuwa mtu wa speculation unless hunifuatilii kule jf intelligence.
 
Mtu unaambiwa hii ni hadithi unaanza ku argue kwa jazba na kutaja majina ya watu na kumpinga mleta mada

F*ck you wote mnaotaka kuharibu hadithi muwe mnaelewa na muktadha wa kufanya ujinga wenu.

Another episode please while bodaboda analeta popcorn [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Kiufupi analazimisha iwe kweli huku mwandishi ameshasema ni stori tu (hekaya).
 
yoga umeanza mambo yenu ya Wanawake.... U C H O Y O

Hili nalo na kuleta simulizi ni swala la kuwanyima watu kweli,,, hadi ubembelezweeeeee.....

Mabinti mkishajua mna utamu basi kuutoa huwa ni shida tupu..
Hahaha jamaniii[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] acha basi

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…