Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

JPM HAKUULIWA sasa wwe jidanganye hapa na speculation zako. Kama kufa walikuta wengi tu, mzee wangu ana 60+ kwenye taasisi aliopo yeye pamoja na senior directors wote walilazwa ICU na mitungi ya gesi n.k sasa naye angekufa ungesema kauawa kisa tu circle yake walikuwa ICU mmoja baada ya mwingine?

Kama ni Covid iliua wengi tu, pale UDSM imeondoka na ma doctor wengi sana tu sasa why iwe special kwa JPM kwamba akifariki basi kauawa??

Take it from me, defibrillator ilishaanza hitilafu toka 2017 na Alisha collapse akiwa Pemba na akiwa ametoka Lindi mbona hamkusema alikua anataka kuuawa?

Acheni speculation mnashusha hadhi ya JF
Take it from me, ..."


Sasa who are you to take from???

Wewe kwa maelezo yako haya unatofauti gani na hii speculation ambayo wewe unataka kutuambia tusiisikilize??? Unalalamika tu halafu unataka tuchukue speculation yako.

Hopeless!!

Tunamsikiliza mtaalamu wa mambo , na tunasubir episode nyingine!!
 
Yes ni fiction na ndio nikitaka hilo liwekwe wazi ila sio kuleta speculation kuwa kauawa. Marais mpka kuuawa sio kizembe sana wanalindwa sana kimwili na pia kiroho kwa matambiko mazito.

So hta hyo polonium ingeshtukiwa ukiwa Bado kilometer 10..... Ndio maana naamini JPM au BWM kuuawa sio simple vilee.
Jamni wewe ndo unaleta speculation na kuiharibu JF.

Umeambiwa hii ni story lakini bado unakaza shingo .


Dah

Wabongo bhaana.
 
Nakushukuru nimemaliza ila fasihi yako in fikirisha Sana naona sehemu kubwa kwa Kila tukio baya na ovu unamuhusisha Mr born town

Siyo kweli kbsa Mr old CEO hawe kuwa Kila kitu ktk campuni Kuna maeneo hayupo kbsa

Nikifikiaria Hadi kina kinana na makamba kwenda kuomba msamaha mbel ya bashiru na aliye ngatuka leo wakt katk sauti zile hata Mr old CEO hawEzi kukozekana kwaninn Mr old CEO hajawambia kuwa msiombe msamaha Wala kujutia makosa yenu nyie tulieni nitammaluzana na hyu new chief mpya kimya kimy

Mashak napata tu kuwa ukweli Ni mdgo sna kuliko uwongo wakufikirisha
Katika maisha ogopa sana mtu akiomba msamaha ww ulie ombwa lazima utaweka silaha chini kwakujua kua uyo kasanda.
Kumbe mwenzio ndio anaenda kujipanga kisawasawa na kuja kukumaliza na timu yake.
 
Take it from me, ..."


Sasa who are you to take from???

Wewe kwa maelezo yako haya unatofauti gani na hii speculation ambayo wewe unataka kutuambia tusiisikilize??? Unalalamika tu halafu unataka tuchukue speculation yako.

Hopeless!!

Tunamsikiliza mtaalamu wa mambo , na tunasubir episode nyingine!!
Who am I? I'm a credible source in JF you can confirm with my threads and my reputation outside JF too.

Sijawahi kuwa mtu wa speculation unless hunifuatilii kule jf intelligence.
 
Mtu unaambiwa hii ni hadithi unaanza ku argue kwa jazba na kutaja majina ya watu na kumpinga mleta mada

F*ck you wote mnaotaka kuharibu hadithi muwe mnaelewa na muktadha wa kufanya ujinga wenu.

Another episode please while bodaboda analeta popcorn [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mtu unaambiwa hii ni hadithi unaanza ku argue kwa jazba na kutaja majina ya watu na kumpinga mleta mada

F*ck you wote mnaotaka kuharibu hadithi muwe mnaelewa na muktadha wa kufanya ujinga wenu.

Another episode please while bodaboda analeta popcorn [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kiufupi analazimisha iwe kweli huku mwandishi ameshasema ni stori tu (hekaya).
 
yoga umeanza mambo yenu ya Wanawake.... U C H O Y O

Hili nalo na kuleta simulizi ni swala la kuwanyima watu kweli,,, hadi ubembelezweeeeee.....

Mabinti mkishajua mna utamu basi kuutoa huwa ni shida tupu..
Hahaha jamaniii[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] acha basi

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom