Tutamlipa nani sasa huko?Hadithi ihamishiwe kwenye App ya kulipia Sasa...
Yaani kama vile unahisi ni bonge la dubwasha fulani hivi la kutisha. Lipo kama halipo. Nchi ina siri nyingi.Deep state au inner circle ndio system au mfumo wenye watu ambao wako behind the scene, wanaendesha nchi kutokea chimbo kabisa na Wana control na manipulation ya mwenendo wote wa mustakabali wa taifa, ni vigumu sana kuwajua hata Viongoz wakubwa wengine hawanaga ufahamu na Hawa inner circle au deep state
Hii ni kweli kuna sehemu nilienda kwenye ofis moja. Watu wakawa wanaongea lugha ya nchi jirani, maskini hiyo lugha mimi naijua vizuri, niliwasikia kabisa wakisema huu ulikuwa mpango kumchafua eti hajui kiingereza na phd yake na ujinga ujinga mwingine.Page 2
Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!
Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!
That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!
Huyu kijana..........
Tuendelee au??
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Yap, Kuna mambo bora usijue, ukijua Yan maisha ya kawaida yanapoteza maana kabisa, Kuna some kind of ignorance inatupa furaha na matumaini ya kuishi wenyew wanaiita naivety, ni bora kuwa nayo hiyo kuliko reality na knowledge ambayo Ina destruct life appetite na enthusiasm kwa ujumla.Yaani kama vile unahisi ni bonge la dubwasha fulani hivi la kutisha. Lipo kama halipo. Nchi ina siri nyingi.
Sasa miraji Ni Nani miraji nasiki Ni kjn muhuni HV ambaye yey ajapata shule vya kutoshaold ceo mke wake wa kwanza (marehemu) alizaa nae watoto wawili.kijana naibu na dr wa meno. wakaachana nadhani miaka ya 90 hv.ndo akaolewa mwalimu.nae ana watoto 5 na old ceo.
Humjui alokuwa kafungiwa kabatini miezi kadhaa akilalamika hawapewi chakula hasa wao wanapokuwa wameenda mbele ya pilato mtoa hukumu?Wakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
Hata mm mkuu nahitaji ziwekwe was kidg Wenda nikangamua kitu ila isiwe moj kwa mojaWakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
Hadithi nzuriKuna kipande kingine hajakisimulia, kinaumiza kuliko hiki, hicho kipande ni cha old CEO alivyoenda kumuona. Akazuiliwa akauliza hata mimi? Akajibuwa ndio hata wewe huruhusiwi kuingia. Na kweli hakuingia. Kati ya watu waliondoka duniani na maumuvu makali ni the late CEO.
Kilichokuwa kikimuumiza zaidi sio alichofanyiwa, ni jinsi mchezo ulivyochezwa bila yeye kujua kajakujua ashachelewa.
Kuna wezi pia wenye asili ya kikongo walitaka kuondoka na jiko la kisasa la old CEO lkn wakawekwa ndaniold ceo mke wake wa kwanza (marehemu) alizaa nae watoto wawili.kijana naibu na dr wa meno. wakaachana nadhani miaka ya 90 hv.ndo akaolewa mwalimu.nae ana watoto 5 na old ceo.
Hahaahahha eti kapewa jina la Mr new culture [emoji1787][emoji1787] jf balah sanNew culture=New Constitution.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakua yoga ni prof janabi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenye kampuni yenye logo ya[emoji111]
😄😄 na late cEo si ndo alimtoa nje? nahs alizidi kupepelea moto kwa old cEo bila ya kujua au makusudiKuna wezi pia wenye asili ya kikongo walitaka kuondoka na jiko la kisasa la old CEO lkn wakawekwa ndani
hahahahaKuna wezi pia wenye asili ya kikongo walitaka kuondoka na jiko la kisasa la old CEO lkn wakawekwa ndani
Kwenye maisha kuna wakati unalazimika mtoto mmoja kumpoteza. Ndio branch manager alikuwa kijana wa late CEO ila hapo kati alianza kunusa harufu za usalit +kifel mission.Hatimaye leo ndio nmemaliza kusoma comments zote..hakika riwaya hii ni tamu na inavutia.
Mkuu yoga naomba utupe pia sehemu ya nini lilimfanya later CEO kumsusia branch manager wa makao makuu.
Pia kama uko na riwaya ya aliyekuwa junior branch manager wa kule kwenye jimbo la mr new culture tupatie pia.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha na kuumiza kwa wakati mwingine. Unajaribu kuvaa viatu vyake unamuona kabisa mwishoni baada ya kujua wasaliti alisikitika sana.Hii ni kweli kuna sehemu nilienda kwenye ofis moja. Watu wakawa wanaongea lugha ya nchi jirani, maskini hiyo lugha mimi naijua vizuri, niliwasikia kabisa wakisema huu ulikuwa mpango kumchafua eti hajui kiingereza na phd yake na ujinga ujinga mwingine.
Mr born in town. Umefanya zambi nyingi sana as if utaishi milele.
na hata ishu ya uvoko aliwatesaaa sijui walimhonga kumshona mdomo.Kwenye maisha kuna wakati unalazimika mtoto mmoja kumpoteza. Ndio branch manager alikuwa kijana wa late CEO ila hapo kati alianza kunusa harufu za usalit +kifel mission.
Kumbuka old ceo ndo alimleta kwenye kampuni branch manager akiwa ndogo.
Hapa ilibidi acheze karata achukuwe mwenye faida. Akalazimika kumchukuwa yule muinjirist, mwenye stail yake mjini kwenye 6x6 "the death of cockroach " yaan stail elekezi kwenye biblia, aliekana mkono sio wake😂
Alimchukuwa kwa sababu 5 tu.
1,Ana ushawishi wa watu
2, he is too talkative
3: elimu anayo so anajua kubalance wasomi na wasokuwa na elimu.
4: anaweza kuwaaminisha watu kuwa 2×
2=5 na wote wajakubali .
5: aliogopa mr born in town kumchukuwa huyu kijana muinjiristi.
Mbowe siyo gaidiHata mm mkuu nahitaji ziwekwe was kidg Wenda nikangamua kitu ila isiwe moj kwa moja
HahahaTutamlipa nani sasa huko?
yoga keshasema wanamtafuta kichizi wamgonge kichwa.
keshajitolea kwa Taifa hili km Kesi ya Tom Sankara imechukua miongo mi3 watakaoamini na waamini hata Kesi ya JF Kennedy Ina miaka 60 wapo wanaoamini ni Oswald