Acha akili za kimasikini wewe,sasa car wash na duka la simu mpaka uwe fisadi kuwapa wanao!!!!View attachment 2187659
umechanganyikiwa (Inferior complex) ndio maana umekula za meno
The late CEO angeendelea hata mwaka mmoja angetumaliza, chonee yote aliikwapua bila jamvi kuijadili, aliiweka nyumbani na nyumba ya kampuni, watoto walifunguliwa mibanda mikubwa ya simu na kuosha magari na sasa wanayashindwa
acha tu malipo ni hapahapa duniani Ngosha wewe
Mtu akiwa apeche anadhani ni hali ya kila mtu.Maduka yao ya simu yako wapi, na hizo car wash zao ziko wapi pia?
Unadhani kwa mshahara wake tu asingekua na uwezo wa kuwafungulia wanae hayo maduka ya simu na car wash?
Ni kweli watu waliumizwa, lakini bado najiuliza ni kweli watu walikua hawafanyi makosa yaliyostahili kupelekwa gerezani?Late CEO aliwaumiza sana watu aisee pole sana kiongozi imagine umekaa ngome miaka mitatu harafu DPP anakuja kukuachia eti serikali haina nia ya kuendelea na kesi yaani umeteseka miaka mitatu jela bila kosa la msingi!!
Peponi? Kwa mwanasiasa? Tuwe na mahaba ila huku kwingine ni kuzidisha tu chumvi.Huyo kama ni kufa atakufaa mzee saanaaa tena akiwa anatabasamu halafu peponi straight coz aliifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu.
Kuliko kupoteza kondoo 100 sababu ya mmoja bora ufukie huyo mmoja 99 wapone.
Hakuna mwaka uliowahi kuwa mchungu kama 2018. Sababu ya yule kichaa, mengi yaliharibika I lost two good friends walioona there's no future ahead wakajitanguliza wenyewe.
Wanoko walipoanza kumwimbia atake asitake nikahisi kiama kinakuja, nikaenda hadi kwa kina Papaaa kuona kama wanaweza kunisajili. Kabla ya kukamilisha taratibu jitu chali!
Unadhani kuna mtu alikamatwa kimakosa!!!Ni kweli watu waliumizwa, lakini bado najiuliza ni kweli watu walikua hawafanyi makosa yaliyostahili kupelekwa gerezani?
Maana hapa sasa tunaweza kunasa Kati ya walioumizwa na Kati ya wanaostahili kweli kuwa huko
Kwa nini?
Kwa sababu kabla ya mwendazake bado watu walipelekwa magerezani kwa makosa mbalimbali, na hata Sasa wapo ambao wanakamatwa na kupelekwa huko.
Si kila aliyeenda gerezani alionewa. Tukiamini kila mtu alionewa basi tunaamini watu hawakufanya makosa. WRONG
Jibu watu wenye akili timamu wwengine ni mwezi mchanga humu.Peponi? Kwa mwanasiasa? Tuwe na mahaba ila huku kwingine ni kuzidisha tu chumvi.
Masuala ya kufa na kwenda peponi kwa binadamu wa Sasa ni fumbo.
nipp kwenye mfungo mkuu ninajizuia kula na kunywa.Nunua mahindi ya kuchoma mix ndimu na pilipili kula unywe maji
Utaumiza kichwa kwa "hadithi" ngumu kama hizi
Ceo wa vidole viwili juuWakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
Hivi haiwezekani kuwashitaki wakulipe fidia?Late CEO aliwaumiza sana watu aisee pole sana kiongozi imagine umekaa ngome miaka mitatu harafu DPP anakuja kukuachia eti serikali haina nia ya kuendelea na kesi yaani umeteseka miaka mitatu jela bila kosa la msingi!!
Acha akili za kimasikini wewe,sasa car wash na duka la simu mpaka uwe fisadi kuwapa wanao!!!!
Mbona msela wa msoga kaharibu uwezo wenu wa kufikiria!!!
Wanasiasa kwenda peponi wewe kinachokuma nini?Peponi? Kwa mwanasiasa? Tuwe na mahaba ila huku kwingine ni kuzidisha tu chumvi.
Masuala ya kufa na kwenda peponi kwa binadamu wa Sasa ni fumbo.
kuosha vyombo, choo na bustani kwa Mwendazake basi unaona wenzako wote humu group NI alosto, tunazungumzia upigaji wa kijinga usio na uzoefu, wewe kuwa maskini hata hujashika cent tukupe uCEO wa Kampuni hatutarudia tena, hata michango yako kwenye hii Mada inaonesha inakuuma km ni riwaya ya kweli, kwanini usiende chit chatMtu akiwa apeche anadhani ni hali ya kila mtu.
Uwezo wa akili unapoishia ndio mwanzo wa mawazo mfu yanapoanzia.Wanasiasa kwenda peponi wewe kinachokuma nini?
Mkuu watu hawaelewi tofauti za upigaji wa yule Late CEO na tulichomlalamikia, alifukuza wafanyakazi wa Serikali zaidi ya 20% wakati mwenzake Old CEO na wale hewa mishahara ilikuwepo na hata mitaani.Huyo kama ni kufa atakufaa mzee saanaaa tena akiwa anatabasamu halafu peponi straight coz aliifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu.
Kuliko kupoteza kondoo 100 sababu ya mmoja bora ufukie huyo mmoja 99 wapone.
Hakuna mwaka uliowahi kuwa mchungu kama 2018. Sababu ya yule kichaa, mengi yaliharibika I lost two good friends walioona there's no future ahead wakajitanguliza wenyewe.
Wanoko walipoanza kumwimbia atake asitake nikahisi kiama kinakuja, nikaenda hadi kwa kina Papaaa kuona kama wanaweza kunisajili. Kabla ya kukamilisha taratibu jitu chali!
Ni kweli lakini mawazo mfu tulishayazika.Uwezo wa akili unapoishia ndio mwanzo wa mawazo mfu yanapoanzia.
Tutunze akili zetu, ni urithi mkubwa huu kuliko pesa.
Asilimia 20 ya wafanyakazi walifukuzwa? Uongo uwe unaendana na uhalisiaMkuu watu hawaelewi tofauti za upigaji wa yule Late CEO na tulichomlalamikia, alifukuza wafanyakazi wa Serikali zaidi ya 20% wakati mwenzake Old CEO na wale hewa mishahara ilikuwepo na hata mitaani.
Ukimpinga ni lazima akuue, ukimzidi kipesa lazima afunge biashara zako Foreig exchange zote alikomba, mahotel km Bilicanas halafu yeye anmfungulia nyumba ndogo bado na kwao kaweka.
SGR awamu ya 4 walisema iwekwe yeye Reli ya kati kaongeza Isaka - Mwanza anaacha Tabora Bukene Isaka
sasa leo wamepiga mpaka CAG kashtuka
hatusemi yeye alikua malaika bali SHETANI aliyevuta miradi kwake Clobetroter
Mje ya Mada yetu Nchi inapigwa
Mwigulu Nchemba na mkandarasi, China Civil Engineering construction corporation biashara yenu ina harufu mbaya
Mwigulu Nchemba, mmeingia makubaliano ya awali na kampuni ya China Civil Engineering construction corporation kwa utaratibu wa single source (bila ushindani) yenye thamani ya Shs. 6,698,935,255,040.00 kwa utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ bila ushindani. Mkandarasi China...www.jamiiforums.com
Bashithii code ya branch manager ebu nitoeni tongotongo
Mawazo mfu utayazikaje ikiwa wajinga bado wapo na wanazidi kuzaliwa.Ni kweli lakini mawazo mfu tulishayazika.
Too good to be trueMkuu watu hawaelewi tofauti za upigaji wa yule Late CEO na tulichomlalamikia, alifukuza wafanyakazi wa Serikali zaidi ya 20% wakati mwenzake Old CEO na wale hewa mishahara ilikuwepo na hata mitaani.
Ukimpinga ni lazima akuue, ukimzidi kipesa lazima afunge biashara zako Foreig exchange zote alikomba, mahotel km Bilicanas halafu yeye anmfungulia nyumba ndogo bado na kwao kaweka.
SGR awamu ya 4 walisema iwekwe yeye Reli ya kati kaongeza Isaka - Mwanza anaacha Tabora Bukene Isaka
sasa leo wamepiga mpaka CAG kashtuka
hatusemi yeye alikua malaika bali SHETANI aliyevuta miradi kwake Clobetroter
Mje ya Mada yetu Nchi inapigwa
Mwigulu Nchemba na mkandarasi, China Civil Engineering construction corporation biashara yenu ina harufu mbaya
Mwigulu Nchemba, mmeingia makubaliano ya awali na kampuni ya China Civil Engineering construction corporation kwa utaratibu wa single source (bila ushindani) yenye thamani ya Shs. 6,698,935,255,040.00 kwa utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ bila ushindani. Mkandarasi China...www.jamiiforums.com