mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Acha akili za kimasikini wewe,sasa car wash na duka la simu mpaka uwe fisadi kuwapa wanao!!!!View attachment 2187659
umechanganyikiwa (Inferior complex) ndio maana umekula za meno
The late CEO angeendelea hata mwaka mmoja angetumaliza, chonee yote aliikwapua bila jamvi kuijadili, aliiweka nyumbani na nyumba ya kampuni, watoto walifunguliwa mibanda mikubwa ya simu na kuosha magari na sasa wanayashindwa
acha tu malipo ni hapahapa duniani Ngosha wewe
Mbona msela wa msoga kaharibu uwezo wenu wa kufikiria!!!