Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
 
Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]

By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!

Good for him!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Be blessed! Tunaisubiri kwa hamu...bila shaka huyo alokopi nae atapata muendelezo nasikia ameishia ulipoishia!!
 
Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]

By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!

Good for him!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Haya tunasubiri uweke kitu HUMU tusome!!tupo arosto KABISA!!!
 
yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
Si faza wao alishasema mama yao alikwishafariki au?
 
Sio KILA USALAMA ni Daktari!!serikali ingesomesha madaktari bingwa wa moyo wengi wangemgundua Hata jukwaani tu na wangeanzisha Hata nyuzi za ku alert HUMU na hatua zingechukuliwa na angepona!!Lakini elimu ya kukariri hii na maneno ya kisiasa tupu hamna kitu watakufa wengi!!
Wataalam wapo wengi tu, ila hakuwa na utu.

Alidhalilisha wataalam wa maabara pale national laboratory kuwa wanapima mapapai na mbuzi.

Ingekuwa ngumu kubaki aendelee kudharau wataalam.

Kafa tuna uhuru Sasa.

Mrisho mpoto alikuwa na tangazo lake kuwa huruhusiwi ku like au kukoments kwenye mitandao.

Hii nchi tulikuwa kifungoni
 
yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
Mwenye visima si mtoto wake wa kumzaa kwa huyo mama
 
Back
Top Bottom