Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be blessed! Tunaisubiri kwa hamu...bila shaka huyo alokopi nae atapata muendelezo nasikia ameishia ulipoishia!!Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]
By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!
Good for him!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Haya tunasubiri uweke kitu HUMU tusome!!tupo arosto KABISA!!!Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]
By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!
Good for him!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Si faza wao alishasema mama yao alikwishafariki au?yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
Alishasema alikwishafariki na inasemekana alikuwa mwenyeji wa mkoa wa Kagera. Wilaya mojawapo ya mkoa wa Kagera.Si faza wao alishasema mama yao alikwishafariki au?
Wataalam wapo wengi tu, ila hakuwa na utu.Sio KILA USALAMA ni Daktari!!serikali ingesomesha madaktari bingwa wa moyo wengi wangemgundua Hata jukwaani tu na wangeanzisha Hata nyuzi za ku alert HUMU na hatua zingechukuliwa na angepona!!Lakini elimu ya kukariri hii na maneno ya kisiasa tupu hamna kitu watakufa wengi!!
Mbona inasemekana alikua mpare wa same huko?Alishasema alikwishafariki na inasemekana alikuwa mwenyeji wa mkoa wa Kagera. Wilaya mojawapo ya mkoa wa Kagera.
Mhhh! Basi majibu ni mengi ngoja tuone wajuzi waje watujuze maana hata mimi niliyasikia mtaani kwetu huku kijijini.Mbona inasemekana alikua mpare wa same huko?
Mkuu naomba nilainishie hiyo code tafadhali.Si faza wao alishasema mama yao alikwishafariki au?
Mkemwa?Hii story ina ukweli asilimia zaidi ya 90. Kama sivyo basi mtunzi ni kichwa balaa au yupo kwenye mission maalum.
Embu idicode kidogo[emoji23]yoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
Aliyechomolewa kwenye ubavu wa old CEO ambaye huwa anamsaidia jikoni unamjua?Embu idicode kidogo[emoji23]
Faza ni old CEO.Mkuu naomba nilainishie hiyo code tafadhali.
Dah Napo nimetoka bilabila[emoji23]Aliyechomolewa kwenye ubavu wa old CEO ambaye huwa anamsaidia jikoni unamjua?
Mwenye visima si mtoto wake wa kumzaa kwa huyo mamayoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa