Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

ufukunyuku ni kwamba late ceo alimtumia wakora bontown,,wamchomoe akashtukia!tena siku chache baada ya kifo cha LOFA.
hata LOFA alichomolewa kimtindo na late ceo ambapo sababu alianza kuwashwa.
mission accomplished lofa akapigwa polorium kwenye kikao kile pale dom..
bontown alijua game ilivyokuwa hivyo akakaa red handed whenever worst case scenario!
kumbuka late ceo assasination team yake ni mambulula watupu wote ni mashahidi.
wakamtokea bontown wafanye MURDER LOOKS LIKE ACCIDENT.
kitu walifanywa sio cha nchi hii.
late ceo alikuwa na plan nyingi ili apate ufalme wa milele..lakin alizungukwa na SUCKERS watupu wasiokua wazuri kwenye medani.
kitu alichofanyiwa alikuwa anakiona na anakijua.ANTICIPATE DEATH yaani anaoneshwa inner cicle yake inapukutika huku akijua the next target ni yeye na escape route is narrow.
Huyo mtu kafa kwa corona bana,wacheni kusingizia mzee wa watu.yani mtu anajijua umri wake ni mkubwa na ana malazi yake mwilini anashauriwa kuvaa hata barakoa hataki.leo anafariki wanasingiziwa wengine?
 
Hadithi njoo uwongo....kolea...Na mimi na yangu, ila mimi niliota njozi mchana kabisa baada ya kula ugali nikashiba... niliona ndege yao ikiungua angani....Daah eti mimi nikawa nipo group fulani hivi kisha hilo grupu langu ndilo likaja kuwa na CEO....Hizi ndoto hizi, daah!
 
Hadithi njoo uwongo....kolea...Na mimi na yangu, ila mimi niliota njozi mchana kabisa baada ya kula ugali nikashiba... niliona ndege ya ikiungua angani....Daah eti mimi nikawa nipo group fulani hivi kisha hilo grupu langu ndilo likaja kuwa na CEO....Hizi ndoto hizi, daah!
CEO yupi new au?
 
(1). New CEO kaenda ziarani nje ya kampuni kupata briefing kutoka kwa kijana wake... around end of mwezi ''FEBRUARY 2022''.

(2). Wakati hayo yakiendelea huko Dubai, the Old CEO anasmell something fishy kuhusu 'excessive loyalty' ya new CEO kwake.

(3). The old CEO anaamua kumtafuta 'kijana' wake ili wamtafute Mwenyekiti wa Board amchokonoe new CEO deliberately in public ili old CEO agundue kitu fulani alichokuwa anakihisi kwa new CEO.

(4). Mara baada ya uchokonozi huo wa makusudi wa Board Chairman, the new CEO aka-react harshly, na instantly the board chairman akatumbuliwa kwa mwamvuli wa 'resignation'... tarehe ''6 JANUARY 2022''.

(5). Upon such harsh reaction ya new CEO towards the board chairman, the old CEO akaconclude kitu alichokuwa anakihisi kwa new CEO.
_____________________

The dates za matukio halisi hazi-correspond na mtiririko wa matukio kwenye hii hekaya ya yoga.

New CEO akaenda Dubai mwezi February 2022. Then akaja kumtumbua board chairman mwezi January 2022.

This narration is just selling some cheap smokes !!

Wrap it up guys. [emoji41]

-Kaveli-
Khaaq bado unasoma hizi hekaya....
Iko shida kwa hii dunia...hizi mbaya ooh sio tamu mara zinanuka sana....mbona huachi kula
 
Time came, new CEO akapokea ugeni wake kutoka DOHA, ndani ya ile presidetial suite kuna room nyingine ndogo, so kijana na CEO wakapata time ya kupeana updates!

Kijana alitumia miezi zaid ya mitatu kuandaa taarifa yake!! So akaanza kumbrief CEO akamwambia huyu mtu ni god father wa kampuni! Na hayuko peke yake!! external companies zote zilizo invest kwenye kampuni yetu niether ni za kwake au zinazomwamini sana mr born town!

kuanzia kwenye kampuni zetu zote ndogo ndogo zinazohusika na utalii, umeme, mafuta na ujenzi hawa watu ni share olders! Hakuna sehemu hawapo!! Branches manager wetu wote uliowarudisha kazini asilimia 70 ni watu wake!! Hivyo tumezingirwa na watchdogs wa mr born town hakuna kitu utafanya au kutena bila yeye au group lake lisijue!

Huyu mtu nguvu kubwa anaipata kwa investors wetu wa nje!! ni anaaminika sana!! Project yetu ya kampuni kuhusu ile bandari iliyokuwa crashed na the late CEO ambayo tunairudhisha ukweli nikwamba owners wa hiyo project ni most powerfull people in this world, na kuna mazingira ya mr born town kuwa among wanufaika

Akamwambia kuna mambo wanayoyafanya sasa hivi kurudisha gharama na hasara waliyopata kutokana na uongozi wa the late CEO!! unaona kampuni yetu ya umeme, sasa hivi tunauza sana jenerta badala ya solar sytems!! lakini pia kule kwenye vitalu vya uwindaji yule investor aliyetimuliwa na the late CEO, branch manager amesha ridhia arudi na awekeze! So juhudi za kuweka mazingira ya uwekezaji zinaendelea

Kijana akasisitiza hakuna mahala utagusa he is not there!! All Head of our security ni too loyal kwake, ispokuwa mmoja tu! Huyu analysis inaonyesha bado anamkubali sana late CEO!

Kampuni pinzani zoote unazoziona hapa nchini their Chairmans are his people! huyu tuliyekuwa na kesi naye juzi! Ambaye externa investors wametishia kustop investemnts kwenye kampuni yetu kama kampuni haita drop kesi, analysisi bado inafanyika kujiridhisha kama ni mtu wake au lah!!

Lengo la the late CEO kumshughulikia huyu mr new culture lilikuwa ni kuivunja kabisa kampuni yake baada ya kugundua kuwa ni hawa hawa investors wanaomsponser huyu mr born town ndio wanaomsponsa na yeye! Sasa why wanawasponser two people with different idiologis hapo ndio task force imejikita na soon tutapata majibu



Huyu mtu mr born town wealth yake ni more than 100 years! Most of his dirty money are kept in malaysia! so kupambana naye inabidi kuwa makini na smart sana!!

Akasema kuna kundi ambalo halimtaki tena mr born town kuwa kama kiongozi wao, wanataka changes na kinachoononekana hawa watu wamejipanga sana! Wako kwenye harakati za kumuweka mtu wao!! shida hili kundi ni la watu wa ndani tu sio wa nje! Nje bado anasupport kubwa sana!!


CEO alikuwa makini sana akimsikiliza kijana wake!! Hakushtuka sana sababu baadhi ya vitu anavijua sema hakuvijua indetail kama ambavyo kijana amemfafanulia!!

So CEO baada ya briefing iile akamwambia kijana kuwa her chances are very low to survive this guy!! Kulingana na alivyo jisimika! So options zake nizipi??

Kijana baada yakuulizwa hivyo akasema option zipo but ni very risk!! We have planned a mission, but what we have to do nikuwatembelea hawa external investors unnoticed, if they are getting a proffit of 20% in their investment in our company sisi tu waongezee up to 60% or more with a condition that mmoja mmoja wasaide wewe uwe chairman mpya!! Kwamba we need to atract them to be in our side!!

Lakini pia kuwahakikishia hakuna kuvunja au kukataa mradi wao wowote!! We offer them good interest they give us power!! Maana wako after money and not some one! Istoshe wewe ndio CEO sasa hivi!

Pili kwakuwa kila dipartment ina branch manager ambao ni too loyal kwa mr born town, hao hakuna kuwagusa all we need to do nikuwaacha tu, let them be free as long as we know them! hawa watu wananjaaa sana, tuwaache Wale kwa urefu wa kamba zao[emoji1787] na wakati huo moja baada ya mwingine tuwa convert secretly wawe upande wetu, wabishi tuta apply other ways [emoji1787][emoji1787]

And this is why na introduce kwako hii kitu inaitwa " checks and balances mission"

kijana akachukua red printed document akampatia akamwambia hii ina kila kitu! Take this with you! Read it carefull then TUPE GO aheard kila kitu kitakuwa Sawa!!

Baada ya ile meeting CEO alichukua ile document na kuitunza mwenyewe! Kisha wakaagana, akatoka kwenye kile chumba wakapiga picha na yule mwarabu from doha ionekane yeye ndie alikuwa anazungumza nae na sio yule kijana then CEO akaendelea na ratiba zake!!

Sasa what is "cheks and balance mission" hii ni mission planned na kijana wa the new CEO akiwa na wenzake watano!! Project hii ilikuwa na level tatu! Target wa mission ni mr born town! Lengo ni awe termineted airther friendly or hard way!!

Project hii imekuwa categorised kwa level tatu!

Level one ni Kuua makundi yoote na kuorganise kundi moja kubwa lenye nguvu nyuma ya new CEO. Ili ikamilike Level hii iliwekwa katika stage tatu!

Moja ni kuwashusha temper na hasira team late CEO, wanashushwaje temper na hasira??? nikuhakikisha miradi yoote ya the late CEO ndani ya kampuni ina kuwa implemented kama ilivyoanzishwa na the late CEO, hii itasaidia kuwarudisha kundini wawe na the new CEO karibu! [emoji41]

Lakini pia ni kuwaidentify wale wabishi wenye misimamo sanaaaaa kuwashughulikia nicely na sio in a harsh way, ila ikibid harsh way itumike!

Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO

tatu,kuhakikisha wale resistant yaani lile kundi lisilo mkubali mr born town lipewe freedom na ulaji wa hali ya juu kwa kuinvesting in the company!!

Second level!

Hii ina stage mbili tu, Stage one is to ensure good publicity kwa new CEO, apendwe sana, yaani saaana! kwa kuhakikisha customers wa kampuni wanamkubali sana CEO!

Stage ya pili itawahusu all security agencies,hapa kijana aliwaza kutindua wote wenye mrengo hasi na CEO unoticed

Level ya tatu
Hii ndio yenyewe! Kama level one, two na three zikifanikiwa mr born town hana chake iwe nje na ndani so ni kumgoa kucha tu!

Wakati haya yakiendelea, mr born town homa ya jiji, nayeye alikuwa na yakwake kichwani!

Moja ya vitu alivyoviamini kutokana na uzoefu wake kwenye game ni kuwa ukiona mtu anafuata sana kila unalomwelekezatena bila kukosea ujue kunajambo analifanya na anajaribu kukuficha [emoji23][emoji23]

Baada ya tafakuri kwa kina Alichokifanya ni akampigia simu kijana wake mmoja, akamwambia huyu CEO nahisi kunakitu behind the scene kinaendelea! She is too good, yaani kila nnalotaka anafanya nothing is wrong! This isnt right!!

I have something in my mind nafikiri nikifanya itanipa jibu!! Nafkiri sasa Tutamuhitaji zadi mwenyekiti wa bodi!! Huyu ndio atakuwa karata yetu kujua what is goin on! Lakini pia akawaalet vijana wake pale makao makuu, kwamba heads up!! Wafuatilie whats goin he need updates!!

Kijana akamtafuta mwenyekiti wa bodi! Ikumbukwe mwenyekiti wa bodi alikuwa team late CEO, yeye ndio alimnyima kibali cha kutoka nje kijana msema sana baada ya kudugwa mirisasi, lakini pia, hata fidia yake alimnyima kabisaaa. kijana alipata majeraha kazini alistahili kulipwa!!

Kijana akaworganise timu yake wakamfuata Mwenyekiti wa bodi privetly, direct wakamwabia anachopaswa kufanya unless otherwise something worse would happen to him!

Chearman wa bodi kulingana na alivyotikiswa na wale vijana he had no choice but to implement the plan!! Akaanza kumpinga live CEO hadharani! one day akiwa kaalikwa kuwahutubia vinana wajasiliamali katika aliyo yaongea akatamka wazi kkuwa CEO anaendesha kampuni yao kwa sasa anaiendesha kwa kuchukua loans sana! Akasema kampuni yao itaweza kufilisika soon kama hatua zisipochukua haraka! Ikiwezekana atolewe!!

Hiyo kauli ya atolewe ndio ilimtoa CEO Mafichoni tena kwa hasira juu!! Hisia zilimwendesha badala ya critical analysisi ya kujiuliza kwanini huyu mtu ametamka haya sasa, na si hulo nyuma? Hiz guts na confidence za kusema haya amezitoa wapi?? badala yake CEO Alimnaga live chearman wa bodi na kudecler live kuwa yeye bado yupo yupo sana kwenye position hiyo!! Na akamtaka yeye mwenyekiti ndio atoke kwenye position hiyo!! Kimwonekano wake alimaanisha alichokuwa nakisema. Kumbe bwana, our CEO felt in Mr born town trap! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] A Very Big mistake[emoji1787][emoji1787]

Unaruhusuje hisia kwenye jambo sereous hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]

mr born town baada ya hiyo reaction ya CEO akawa amejithibitishia kuwa CEO wa sasa atakuwa na kitu behind the scene anakifanya ili aweze kubaki madarakani!! Na hicho kitu kama hajashilikishwa so she is betraying him!!! Mr born town was very maaaaaaaaad askwambie mtu!!! Very Maaaad!!

Je kete za mr born town zitaanzia wapi ili kuila kingi kwenye draft?...........

Is the CEO able to bring late CEO team under her wing??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mambo ni mengi muda ni mchache!!!
Dah code ya huyu kijana ndo imenipita ata kwa kutumia four figure msaada
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Yoga wananchi 2025 tunataka tukupe uCEO wa hii kampuni ya Tanzagiza.
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Na unavyojua kuturusha roho ww kamama ,,,tulifikir boko haramu washakudaka[emoji1787]
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Itakuwa jumatano saa ngapi?
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Wametishia kuku-,kolimba nini mkuu!?[emoji2]
 
Back
Top Bottom