Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app

Anayetaka hii story anicheck nilicopy yote tangu mwanzo, nilijua mataahira wanyofoa.
 
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
Amani gani uliyonayo kwa mfumuko huu wa bei!!!???
 
Sound zimeanza kuwa nyingi
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Ubaya wa haka ka mchezo katajirudiaga tu huko mbeleni ....
Inaweza kuwa hata miaka 10-15 toka sasa
Kataumiza upande mwingine

👣
Ukisoma kifo cha J.F.Kennedy , mauaji ya papa paul wa sita inakupa urahisi kutafsiri kifo cha wale raia ndani ya mjengo😁

Kongole kwa muhadithiaji ,👏👏👏kijana uandike kitabu tu .....
Mkuu, umepotoka kidogo kwa kusema Papa Paulo wa Sita aliuawa. Ukweli ni kwamba Papa Paulo wa Sita alimrithi Papa Yohani wa 23 tarehe 21 Juni 1963 na alikuja kufariki kifo cha kawaida tarehe 6 Agosti 1978 na kurithiwa na Papa Yohani Paulo wa Kwanza. Papa Yohani wa 23 ndiye alianzisha Mtaguso wa Pili tarehe 21 Juni 1963 na alipokufa, Mtaguso uliahirishwa mpaka alipochaguliwa Papa Paulo wa Sita, akauendeleza mpaka alipoufunga tarehe 8 Desemba 1965.
 
Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.

All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.

Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
Juzi kati mtoto wa CEO wa kwanza katoa codes kwa wenzake vizazi vya ma CEO; wakiwa na akili watazi decode na kuzingatia ushauri wake, otherwise kweli the dark days!
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa na wasiwasi kama umewekwa kabatini au lah!
 
Anayetaka hii story anicheck nilicopy yote tangu mwanzo, nilijua mataahira wanyofoa.
Mkuu hata Mimi nilicopy baada ya kuona page 2 wamezinyofoa, kea hiyo hizi 2 zilihusu Sana Utawala wa Sasa wa New CEO, kweli sinazo hata Yego kakiri kutoweka huko,
Sasa sijajua km na wewe uliziwahi sijui tufanye NI yote nikuombe au tufuke mwisho kwanza hiyo jumatano nitaku PM
 
Amani gani uliyonayo kwa mfumuko huu wa bei!!!???
Basi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
 
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike

Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!

Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!

The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!

The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?

Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!

Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!

Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? or...


Itaendelea.......


Guess the company!??

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...

Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Fortunatus Buyobe amekupa kibali cha kuandika hii story hapa ?
Kuna watu tunalipia hizi story ujue.
 
Fortunatus Buyobe amekupa kibali cha kuandika hii story hapa ?
Kuna watu tunalipia hizi story ujue.
Mkaka eeee[emoji847][emoji23][emoji23][emoji23] Mwambie yeye na wanao mtumia kuwa akazane kukopy na kuwauzia na jumatano saa sita tunamaliza kabisa tena this time itakuwa very hot maana........ so aje akopy awawekee msome [emoji23][emoji23][emoji23] ila hapa ni bureeee!


Poleni!![emoji849][emoji850]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hata Mimi nilicopy baada ya kuona page 2 wamezinyofoa, kea hiyo hizi 2 zilihusu Sana Utawala wa Sasa wa New CEO, kweli sinazo hata Yego kakiri kutoweka huko,
Sasa sijajua km na wewe uliziwahi sijui tufanye NI yote nikuombe au tufuke mwisho kwanza hiyo jumatano nitaku PM
Nilikuwa mjanja nilicopy zote, nilijua zingenyofolewa
 
Back
Top Bottom