NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Endelea bas!usindikize lunch yetu VIZURI!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea bas!usindikize lunch yetu VIZURI!!
Hii ni hadithi tu, alichotaka kije Kwa hadhira kimefika. Mwandishi amelazimika Kuongeza baadhi ya episodes kubalance pressure ya both parties Bt inavutia.Mkuu
Unamaanisha kuwa kuna vitu tunafichwa Sio!!!?
Mi niloshtuka nilipoona hakuna mwendelezo wa episode inapoisha bali inarukiwa nyingine nikajua mwandishi akataka tujue upande tu wa kile alichokusudia!!!
[emoji45] mekua kimya unatupa nusu nusu na ntakunyima pipi bomu yangu[emoji2960]
Kwamba siyo asugue goti siyo? Hii watu wanatakiwa kuijua sana, yeye anayajua mapazia ya kitanda chake kumbe mwenzake anaingia hadi chumbani kakwe na kumwambia vipi sasa nikupeleke ufukweni ukanywe gahawa na nguru wa kuchoma huku tukicheza draft?? Nani zaidi hapa?Kuna vitu vingine vinafanyika tena operations kali na haziwekwi wazi, unatambua kua jamaa alifuatwa hadi chumbani kwake na CDO mmoja na kumfunga mdomo na ikawa ndio mwisho wa chokochoko zake ? Nilipokwambia ulimwengu wa kiroho sikumaaanisha kwenye maombi uingie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sahihi, hakuna mtu anayependa kupangiwa mambo ya kijinga na mwingine kwasababu zake binafsi.Sote tunatakiwa kuwa na moyo wa namna hii kama nchi [emoji846][emoji122][emoji122][emoji23][emoji23][emoji23] nina wivu mkubwa sana na Tz. Anapokuja intruder i cant take it. Yaan nakiamsha haswaaaa.. kwann watupande kichwani
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Lakini ni kama fanani amebadilika hivi?hata usimuliaji wake umebadilika kidogo "nawaza tuHii ni hadithi tu, alichotaka kije Kwa hadhira kimefika. Mwandishi amelazimika Kuongeza baadhi ya episodes kubalance pressure ya both parties Bt inavutia.
we ndo CEO yaani hiki kipengele ndo kimenistua et kule ulikonichafua kanisafishe,,,Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
tunachezewa akili saivi mwandiko umebadirikaaa anarukiarukia vitu hakijaisha kinadakiwa kingineLakini ni kama fanani amebadilika hivi?hata usimuliaji wake umebadilika kidogo "nawaza tu
Exactly huu mwandiko umebadilika sanatunachezewa akili saivi mwandiko umebadirikaaa anarukiarukia vitu hakijaisha kinadakiwa kingine
yah,, huyu KP kipande cha juu kbs kabla ya cha jumamosi alikuwa anaitwa CAT bt this wekeend ni KP yoga km yoga kesha hongwa mamilioni kakabidhi ID itumike watakavyo.Exactly huu mwandiko umebadilika sana
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoma ya wanaume mama atulie jamani..we ndo CEO yaani hiki kipengele ndo kimenistua et kule ulikonichafua kanisafishe,,,
na ukizingatia mwanzo wa stori birntown alichafuliwa na mwisho wa story anasafishwa [emoji23] wabongo tunachezewa akili.
Sasa wacha tuingie mzigoni...Uko sahihi, hakuna mtu anayependa kupangiwa mambo ya kijinga na mwingine kwasababu zake binafsi.Sote tunatakiwa kuwa na moyo wa namna hii kama nchi [emoji846][emoji122][emoji122]
Kp hamuwezi born town,mtt mdogo sn kwny suala la inteligensia,born town ni super spyKabisa mkuu, ndio maana baadhi ya watu wake wanamchukia sana Mr.born town.
[emoji6] usjali from wend! Tutatia jambo zuri hapa mpendwa!!! Ingawa natuhumiwa sio mimi eti[emoji16][emoji23][emoji45] mekua kimya unatupa nusu nusu na ntakunyima pipi bomu yangu[emoji2960]
Born town akilamba udongo mie burudaani, afu tuanze historia upyaa.
Japo born town ana mishe mishe nyingiKabisaaa yaan. Mie naona wanachelewa kumlaza foot 6 huyo Born town, khaaaaah