Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nimefatilia sana huu Uzi pia umenifanya nifatilie mambo mengi sana kuhusu company.. Mimi ni mfatiliaji mzuri sbb napenda kusoma na kusikiliza kuliko kuongea ila nimeamua kuachana kabisa na hizi mambo zinavuruga akili baada ya kusoma Kwa kina waraka wa Mzee wa saa za ukombozi..ambao nadhani ndo ilikua tiketi yake ya kupumzika Kwa amani. .Nimebadili mawazo na mitizamo yangu nimegundua Ni dhahiri tunamhitaji sana born town kuliko tunavyofikiri
 
hahahaha, Pwani wanasema ukija na kheri tunakaa na wewe kwa kheri, ukileta shari utakutana na shari ya ukweli...

many bodies tried, unfortunately things turn into them, and the guy is still dancing....

Mawazo na wawazavyo wengi ni tofauti na uhalisia....somebody is in full authority, he is the son of them, the deceases as well as the surviving.....

wanaonekana na wasionekana, walio mashimoni nk wanajua ni kijana wao aka urithi wao kutoka kwa marehemu mgeni wa saigoni.....hata anayeaga anajua ndio maana kabla ya turubai aliulizi vipi hapa akaambiwa stay on your lane....

hahahaha working remotely....dont pull it if you are unsure.....
 
riwaya ndani ya riwaya...

history started far long time, Ex FUC aka Mr chair was part of it but his babu's confused him with their dreams......now its the history..

Tanzania ni zaidi ya wengi tuijuavyo, kuna mengi sana ya gizani, unavyowaza sio ilivyo... uhalisi unabaki gizani, ukiingia kuutafuta utapotea huko gizani...

Hata pale ofisi kuu wengi wanabaki gizani, ni wawili tu ambao walikaa pale nao ni sehemu ya walio gizani na wanajua mengi....mmoja yuko hai..

Nchi kuwa salama na watu kuishi mkwanywa bia na kuwa huru, mkalala na kugongana usiku TUTAMBUE KUNA MENGI GIZANI TUSIOYAONA...
 
hahahaha, Pwani wanasema ukija na kheri tunakaa na wewe kwa kheri, ukileta shari utakutana na shari ya ukweli...

many bodies tried unfortunately things turn into them, and the guy is still dancing....

Mawazo na wawazavyo wengi ni tofauti na uhalisia....somebody is in full authority, he is the son of them, the deceases as well as the surviving.....

wanaonekana na wasionekana, walio mashimoni nk wanajua ni kijana wao aka urithi wao kutoka kwa marehemu mgeni wa saigoni.....hata anayeaga anajua ndio maana kabla ya turubai aliulizi vipi hapa akaambiwa stay on your lane....

hahahaha working remotely....dont pull it if you are unsure.....
Umechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.

Niliwahi kuongelea watu wa aina hii, Nusu mtu na nusu ni PEPO ktk form ya kibinadamu.

Katika watu wote ktk World population, Kwa wastani, 40% Pekee ndo WANADAMU halisi ambao hawajachanganya uzao bt 60% ni nusu watu na nusu ni PEPO.

Vita imehamia huko saiz, Ktk Nchi yangu TANZANIA Mungu ana kaz na Nchi hii, anaitaka Kwa MATUMIZI yake. Amen
 
the big brain from Saigon, dont confuse with A's from school....its the town brains, know how things is happening, know the other side of the earth which is very dark....

you may have 100 x A's from school but you are empty in real world...planning, calculate, tolerate, forecast, acting, ve results, cheers...
real world need real people...
 
Umechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.

Niliwahi kuongelea watu wa aina hii, Nusu mtu na nusu ni PEPO ktk form ya kibinadamu.

Katika watu wote ktk World population, Kwa wastani, 40% Pekee ndo WANADAMU halisi ambao hawajachanganya uzao bt 60% ni nusu watu na nusu ni PEPO.

Vita imehamia huko saiz, Ktk Nchi yangu TANZANIA Mungu ana kaz na Nchi hii, anaitaka Kwa MATUMIZI yake. Amen
Dah...

Natamani kusema jambo...

samurai anakupinga maana upande wao umeshinda. Wa kwako huu ndio uliofutwa with no mercy.

Bado shughuli pevu.
 
GOD is there, He is the big boss....

hope you are not protecting your family!, doing opposite, how.....roman protect and safeguard follower of rome and rome, is it? how, welcome in dark world..

the family is wananchi, to safeguard wananchi you should be in both sides of the coin... GOD you believe, we probably all believe on him, gives us the authority to safeguard our sorroundings.... shari for shari na kheri for kheri.....

The Govt in dark are more powerfull and rule these rules you. all you see,they are not reporting to dark but reporting to wananchi, hahahaha who connect, come on... No rail, no poles just flowing with unseen +ve and -ve hahahaha cheeers...
 
Umechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.

Niliwahi kuongelea watu wa aina hii, Nusu mtu na nusu ni PEPO ktk form ya kibinadamu.

Katika watu wote ktk World population, Kwa wastani, 40% Pekee ndo WANADAMU halisi ambao hawajachanganya uzao bt 60% ni nusu watu na nusu ni PEPO.

Vita imehamia huko saiz, Ktk Nchi yangu TANZANIA Mungu ana kaz na Nchi hii, anaitaka Kwa MATUMIZI yake. Amen
Another theory
 
Back
Top Bottom