auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
Nifungulieni code ya BT wajameni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana[emoji23][emoji23][emoji23] yeaaah nnazo bhanaa.
Imeandikwa wapi we kishoiya?mwanaume kila coment unaambatanisha na emoji ni dalili ya ushoga
Tukumbuke tumeambiwa hii ni story TU haihusiani na mtu yeyote humu nchini!Ameandikwa wapi ktk hadithi hii? Angalia mkono na mdomo visiponze KICHWA.
Zama zake zishapita atulize mshono tu!!If born town angeamua angeweza kuwa best CEO ever to manage the company.
Tatizo lake ni mtu asiejali anajijali yeye tu na watu wake anaowapenda.
Hilo ni tatizo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji848][emoji848]Hmn aisee wwe unachojua N habr za madanga tu na vibampa wa mjini
Kwa mujibu wa hii riwaya ni ufupisho wa born town.Nifungulieni code ya BT wajameni
Umechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.hahahaha, Pwani wanasema ukija na kheri tunakaa na wewe kwa kheri, ukileta shari utakutana na shari ya ukweli...
many bodies tried unfortunately things turn into them, and the guy is still dancing....
Mawazo na wawazavyo wengi ni tofauti na uhalisia....somebody is in full authority, he is the son of them, the deceases as well as the surviving.....
wanaonekana na wasionekana, walio mashimoni nk wanajua ni kijana wao aka urithi wao kutoka kwa marehemu mgeni wa saigoni.....hata anayeaga anajua ndio maana kabla ya turubai aliulizi vipi hapa akaambiwa stay on your lane....
hahahaha working remotely....dont pull it if you are unsure.....
Dah...Umechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.
Niliwahi kuongelea watu wa aina hii, Nusu mtu na nusu ni PEPO ktk form ya kibinadamu.
Katika watu wote ktk World population, Kwa wastani, 40% Pekee ndo WANADAMU halisi ambao hawajachanganya uzao bt 60% ni nusu watu na nusu ni PEPO.
Vita imehamia huko saiz, Ktk Nchi yangu TANZANIA Mungu ana kaz na Nchi hii, anaitaka Kwa MATUMIZI yake. Amen
Thanks.Hongera sana
Another theoryUmechangia SPIRITUAL me nmeelewa bt ktk Ule Upande wa GIZA.
Niliwahi kuongelea watu wa aina hii, Nusu mtu na nusu ni PEPO ktk form ya kibinadamu.
Katika watu wote ktk World population, Kwa wastani, 40% Pekee ndo WANADAMU halisi ambao hawajachanganya uzao bt 60% ni nusu watu na nusu ni PEPO.
Vita imehamia huko saiz, Ktk Nchi yangu TANZANIA Mungu ana kaz na Nchi hii, anaitaka Kwa MATUMIZI yake. Amen