Jamaa yangu wewe humu kuna post unamponda aliyeleta picha ya BT akiwa na bingwa wa magonjwa ya moyo kua anajaza saver na kuchelewesha
yoga kurudi humu jamvini.
sasa unapoleta mambo ya Dini hujui unawakweza wengi km vile huko Jehanamu au mbinguni unapajua sana.
Biblia yako inafuatwa na asilimia ngapi ya watu wote Duniani (tafiti kwanza hapo)
Biblia yako inasema Dunia yetu itatawaliwa na koo 12 za Israel (Ndoto hizo)
nakushangaa unavyoponda Kampuni km na wewe tungekuachia huo uCEO hata saa moja ungeweza
Mambo ya kutuwekea Dini ungeacha ili tumsubiri mleta Mada