Deep state ni Utawala Kutoka hapo CHINI, Mkuu wa dst Ulimwengu I ni SHETANI mwenyewe.Aje atuambie kama wazungu walimkabidhi kampuni KWA darkness yao!? kwanini oldest aliomba msaada KWA Hao jamaa tena aliamriwa afunge KWANZA asubuhi Hadi jioni halafu akachinjwa mbuzi/kondoo airuke Damu halafu Ganze akashuka kuzimu akasubiriwa Hadi siku 11 ndio atoke huko amedhoofu hata kuongeza hawezi akapelekwa KWA oldest CEO hapo white house ndio Ganze akafungua kunywa na kusema"Baba!na tuwashe moto mlima kilimanjaro ulete matumaini pasipo matumaini,nuru penye giza na umoja na mshikamano KWENYE kampuni ! Baada ya Hapo akanyoosha mkono juu na kukata Roho na kiganja cha mkono kiliandikwa 115!hakujua maana yake ndio akaenda KWA yahaya senior ndio akamwambia "ndugu utakufa ukiwa na miaka 77 na kampuni utakuwa na miaka 38 tangu IPATE Uhuru yaani 38+77=115
Atuambie kwanini alienda KWA waswahili wakati keshapewa kampuni!!?
Nilisahau
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Anaoperate mambo yake gizani Kwa Siri nyuma ya mamlaka yoyote ya WANADAMU.
UCHAWI una levels, kuanzia level ya family Hadi national na international levels.
Wachawi ktk levels za kitaifa na kimataifa ni matajiri na suit wanavaa,
Hapo B.moyo, ferry, ziwa nyanza na tnyika Pana malango ya kuingia huko.
Yaani kiongozi kabla ya kupewa uceo anawatia kifungoni raia wote na kuwakabidhi kule Ili awatawale vizuri Kwa sadaka ya DAMU nyingi sana.
Hadi sasa Tunaendelea kuvunja Vifungo na magereza mliyowafunga members yanapasuka na wanakuwa huru.
Ameeen