Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Aje atuambie kama wazungu walimkabidhi kampuni KWA darkness yao!? kwanini oldest aliomba msaada KWA Hao jamaa tena aliamriwa afunge KWANZA asubuhi Hadi jioni halafu akachinjwa mbuzi/kondoo airuke Damu halafu Ganze akashuka kuzimu akasubiriwa Hadi siku 11 ndio atoke huko amedhoofu hata kuongeza hawezi akapelekwa KWA oldest CEO hapo white house ndio Ganze akafungua kunywa na kusema"Baba!na tuwashe moto mlima kilimanjaro ulete matumaini pasipo matumaini,nuru penye giza na umoja na mshikamano KWENYE kampuni ! Baada ya Hapo akanyoosha mkono juu na kukata Roho na kiganja cha mkono kiliandikwa 115!hakujua maana yake ndio akaenda KWA yahaya senior ndio akamwambia "ndugu utakufa ukiwa na miaka 77 na kampuni utakuwa na miaka 38 tangu IPATE Uhuru yaani 38+77=115

Atuambie kwanini alienda KWA waswahili wakati keshapewa kampuni!!?

Nilisahau

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Deep state ni Utawala Kutoka hapo CHINI, Mkuu wa dst Ulimwengu I ni SHETANI mwenyewe.

Anaoperate mambo yake gizani Kwa Siri nyuma ya mamlaka yoyote ya WANADAMU.

UCHAWI una levels, kuanzia level ya family Hadi national na international levels.

Wachawi ktk levels za kitaifa na kimataifa ni matajiri na suit wanavaa,

Hapo B.moyo, ferry, ziwa nyanza na tnyika Pana malango ya kuingia huko.

Yaani kiongozi kabla ya kupewa uceo anawatia kifungoni raia wote na kuwakabidhi kule Ili awatawale vizuri Kwa sadaka ya DAMU nyingi sana.

Hadi sasa Tunaendelea kuvunja Vifungo na magereza mliyowafunga members yanapasuka na wanakuwa huru.

Ameeen
 
Aje atuambie kama wazungu walimkabidhi kampuni KWA darkness yao!? kwanini oldest aliomba msaada KWA Hao jamaa tena aliamriwa afunge KWANZA asubuhi Hadi jioni halafu akachinjwa mbuzi/kondoo airuke Damu halafu Ganze akashuka kuzimu akasubiriwa Hadi siku 11 ndio atoke huko amedhoofu hata kuongeza hawezi akapelekwa KWA oldest CEO hapo white house ndio Ganze akafungua kunywa na kusema"Baba!na tuwashe moto mlima kilimanjaro ulete matumaini pasipo matumaini,nuru penye giza na umoja na mshikamano KWENYE kampuni ! Baada ya Hapo akanyoosha mkono juu na kukata Roho na kiganja cha mkono kiliandikwa 115!hakujua maana yake ndio akaenda KWA yahaya senior ndio akamwambia "ndugu utakufa ukiwa na miaka 77 na kampuni utakuwa na miaka 38 tangu IPATE Uhuru yaani 38+77=115

Atuambie kwanini alienda KWA waswahili wakati keshapewa kampuni!!?

Nilisahau

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"

achana na mambo yakina Sheikh Ramia ( hope you know the guy), those are African traditions since then from our ancestors its our inheritence, everybody believe to her/his level even all darks respect it and sometime gives the time and allow it, all in all, the darks contoll and set the life like mwanasesere, mshika remote asiye na kazi ya kufanya, Africans Ancestors have their own faiths and traditions same as to whites, whats set you to believ whites traditions and faiths, and abandons the one from your babu's ~~ this is another topic and you need to free up your head.

Naongelea dark and dip dark too far from vibwengo where all documents and documents are owned, hata hilo kama ni muhimu basi kwenye secret docs litakuwepo and all the staff hata lile la kisiwani lipo kule na wale ndio wanajua kwanini, hata hilo uliloandika mwisho wa maelezo yako ni hao ndio wanajua na kulifanyia kazi either YES OR NO, how, why, when then released to vibwengo, all for the sake of your safety.

dark and dip dark handover during the birth of the kid 1961, paper and papers, the dip dark is dangerous and no body can touch and explain, Saigon boy tried to touch some of thing during his reign hahahahaha.
the dip dark is very far and seniors of dark know it and their effect to vibwengo.

Vibwengo sets to believe and follow, its like nyumbu and their way in serengeti.
 
Deep state ni Utawala Kutoka hapo CHINI, Mkuu wa dst Ulimwengu I ni SHETANI mwenyewe.

Anaoperate mambo yake gizani Kwa Siri nyuma ya mamlaka yoyote ya WANADAMU.

UCHAWI una levels, kuanzia level ya family Hadi national na international levels.

Wachawi ktk levels za kitaifa na kimataifa ni matajiri na suit wanavaa,

Hapo B.moyo, ferry, ziwa nyanza na tnyika Pana malango ya kuingia huko.

Yaani kiongozi kabla ya kupewa uceo anawatia kifungoni raia wote na kuwakabidhi kule Ili awatawale vizuri Kwa sadaka ya DAMU nyingi sana.

Hadi sasa Tunaendelea kuvunja Vifungo na magereza mliyowafunga members yanapasuka na wanakuwa huru.

Ameeen

Mungu aliumba ulimwengu na akamuumba mwanadamu akaishi kwenye ulimwengu na kuvimiliki vya ulimwengu.

Mungu alimpa mwanadamu mamlaka ya kujitawala na kujilinda ulimwenguni dhidi ya uovu wote utakaohatarisha mustakabali wake, Mwanadamu anapaswa kumuabudu na kumtii mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu inreturn atambariki mwanadamu pepo na maisha bora duniani na mbinguni.

Mwenyezi Mungu katengeneza mitihani duniani ili maisha yaweze kuwa maisha na mwanadamu avukaye hivyo vikwazo awe kiumbe bora.

Shetani yupo duniani kuifarakanisha dunia na wanadamu kiroho na kikawaida, Mwenyezi Mungu ametuamrisha tusome elimu dunia na elimu akhera na tuzielewe zote pamoja na kuzifanyia kazi, Elimu akhera inatupa maarifa kiroho na kumjua mwenyezi Mungu na maamrisho yake, Elimu dunia inatufundisha ya duniani na namna ya kuyaishi na kupambana na mazingira ya duniani. Combining elimu dunia na akhera unakuwa kiumbe uliyekomaa.

Shetani anafanya kazi kwa namna nyingi kuanzia kiroho na kawaida, Kiroho inabaki kiroho na kikawaida inabaki kawaida.
Tunadeal na shetani anayefanya kazi kawaida kwenye mwili wa binadamu, Shetani huyu naye anaoperate kwa namna kadhaa gizani na kawaida, Kawaida vita inabaki chini ya serikali za vibwengo na gizani vita inakuwa chini ya darks aka dip state, vibwengo hawawezi kuona gizani lakini the dips wanaona gizani na mwangani.

STOP CONFUSING THINGS, jielimishe kwenye elimu zote, nitarudi kukupa elimu zaidi, today i'm in mood, read between the lines.
 
Mungu aliumba ulimwengu na akamuumba mwanadamu akaishi kwenye ulimwengu na kuvimiliki vya ulimwengu.

Mungu alimpa mwanadamu mamlaka ya kujitawala na kujilinda ulimwenguni dhidi ya uovu wote utakaohatarisha mustakabali wake, Mwanadamu anapaswa kumuabudu na kumtii mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu inreturn atambariki mwanadamu pepo na maisha bora duniani na mbinguni.

Mwenyezi Mungu katengeneza mitihani duniani ili maisha yaweze kuwa maisha na mwanadamu avukaye hivyo vikwazo awe kiumbe bora.

Shetani yupo duniani kuifarakanisha dunia na wanadamu kiroho na kikawaida, Mwenyezi Mungu ametuamrisha tusome elimu dunia na elimu akhera na tuzielewe zote pamoja na kuzifanyia kazi, Elimu akhera inatupa maarifa kiroho na kumjua mwenyezi Mungu na maamrisho yake, Elimu dunia inatufundisha ya duniani na namna ya kuyaishi na kupambana na mazingira ya duniani. Combining elimu dunia na akhera unakuwa kiumbe uliyekomaa.

Shetani anafanya kazi kwa namna nyingi kuanzia kiroho na kawaida, Kiroho inabaki kiroho na kikawaida inabaki kawaida.
Tunadeal na shetani anayefanya kazi kawaida kwenye mwili wa binadamu, Shetani huyu naye anaoperate kwa namna kadhaa gizani na kawaida, Kawaida vita inabaki chini ya serikali za vibwengo na gizani vita inakuwa chini ya darks aka dip state, vibwengo hawawezi kuona gizani lakini the dips wanaona gizani na mwangani.

STOP CONFUSING THINGS, jielimishe kwenye elimu zote, nitarudi kukupa elimu zaidi, today i'm in mood, read between the lines.
Nimeelewa "Read btn the lines"

Naweza Sema nyuma ya deep state Kuna Deep state. IPO ionekanayo na isiyoonekana.

Endelea na elimu
 
dip state sio mtu mmoja, its a bunch of people with good heads, patriotic and dedicated for their nation. Huwezi kuuzidi akili umati wa watu wenye akili wewe mtu mmoja, Every mission should be agreed with all seniors with some proper research and data from the ground.

To overthrow the dip state which set and work together for many years, you need also a lot of years and will need elimination of some important critical members without being noticed one by one silently.

How many years will be taken for silent elimination of more than 200 members from different department of dip state and you become the boss with full authority and all members looks after you?, isnt fuckin easy like many of you trying to think.

Back to the topic, In dark world and vibwengo world, its two far different cases.
Its easy for vibwengoz takes at easy with their easy world but no fuckin easy thinking in dark side.

There is states which have got no dark mgt rather than fuckin vibwengo leaving easy life which have been pirated in dark and controlled in dark very dip.

Dip down thinking to all stable states which are not pirated in dark and they are the controllers of their own darkness ~ You cant take the dip state and put in your control.
Since day one of independent, the handover from British was very clear and created two darkness with the top far in dip dark and other not near from the 1st one, they are all far are part ( its long story and not these vibwengoz heads can figure out).

Thanks, cheers.

You are too hypothetical
 
Nimeelewa "Read btn the lines"

Naweza Sema nyuma ya deep state Kuna Deep state. IPO ionekanayo na isiyoonekana.

Endelea na elimu
"Elim Dunia na elim akhera,"
ELIMU akhera ndo iyo masheikh wanafundisha, kwamba majini yaliumbwa na Yeye Ili yamwabudu,

Akhera ni CHINI, ELIMU hiyo ni ya CHINI.

Mimi ni WA JUU, natawala Kutokea Juu, nahakikisha hapa ktk Nchi yangu anakalia KITI asiyepata msaada Kutoka CHINI, Bali Kutoka JUU.

Pia nijibu kwann Unadhani Bt hawamwezi?
 
Nimeelewa "Read btn the lines"

Naweza Sema nyuma ya deep state Kuna Deep state. IPO ionekanayo na isiyoonekana.

Endelea na elimu

hiyo ni special case kwa Bongo land and the likes.
In USA, UK, Russia and the likes - its only dip state operating in dip dark.

Why Tanzania and the likes its the speacial case? - ni kiza kinene na hapo ndio panaitwa break all the ties and become free, hata hao the dip state in between dip dark dip state and vibwengoz they wish one day to break the ties but they can not.

Fumbo kubwa mno na giza nene mno na those are to blame because they have even blackmails your boses and you.
 
hiyo ni special case kwa Bongo land and the likes.
In USA, UK, Russia and the likes - its only dip state operating in dip dark.

Why Tanzania and the likes its the speacial case? - ni kiza kinene na hapo ndio panaitwa break all the ties and become free, hata hao the dip state in between dip dark dip state and vibwengoz they wish one day to break the ties but they can not.

Fumbo kubwa mno na giza nene mno na those are to blame because they have even blackmails your boses and you.
Tz ni zaidi ya USA, Russia and UK? Wazee wa hapa walienda mbal Zaid?

Niliona magereza yanabomoka, vibuyu vikipasuka na wafungwa wakiachwa Huru maelfu Kwa maelfu.
 
"Elim Dunia na elim akhera,"
ELIMU akhera ndo iyo masheikh wanafundisha, kwamba majini yaliumbwa na Yeye Ili yamwabudu,

Akhera ni CHINI, ELIMU hiyo ni ya CHINI.

Mimi ni WA JUU, natawala Kutokea Juu, nahakikisha hapa ktk Nchi yangu anakalia KITI asiyepata msaada Kutoka CHINI, Bali Kutoka JUU.

Pia nijibu kwann Unadhani Bt hawamwezi?
where did you get the so called 'Elimu ya utambuzi wa juu'
what the name of huko juu unakokusema, kuna shida ya maarifa hapa.
Which book are you reading.

Talking about Masheikh, seems you and them reading different books, lakini inawezekana kuna wakati mnasoma vitu sawa katika uelewa tofauti. There is sunday schools and madrassa, also there is these school std one to seven then to university, there is professors of theolog and professors of physics, Engineering, science etc.

Get time to understand, piga piga ubongo utaelewa.
 
where did you get the so called 'Elimu ya utambuzi wa juu'
what the name of huko juu unakokusema, kuna shida ya maarifa hapa.
Which book are you reading.

Talking about Masheikh, seems you and them reading different books, lakini inawezekana kuna wakati mnasoma vitu sawa katika uelewa tofauti. There is sunday schools and madrassa, also there is these school std one to seven then to university, there is professors of theolog and professors of physics, Engineering, science etc.

Get time to understand, piga piga ubongo utaelewa.
Kaaz kwel kwel!!!!

Kama deep state haiwezi tekwa, bas tuamini BT ni character tu ktk movie hii, kapewa tu kuwa STARLING Ili movie IBAMBE, au sio!!¡!!
 
Kaaz kwel kwel!!!!

Kama deep state haiwezi tekwa, bas tuamini BT ni character tu ktk movie hii, kapewa tu kuwa STARLING Ili movie IBAMBE, au sio!!¡!!

He is the son of them, he can never outsmart the masters, He has born, grow up and mentored in saigon.
Taken from saigon to dark, he respect his masters (that the good thing of him).

But all of them have got their boses and they all know that.
Where are the boses, dip state in dark and they can do everthing anytime they want, its the misery.
 
Kaaz kwel kwel!!!!

Kama deep state haiwezi tekwa, bas tuamini BT ni character tu ktk movie hii, kapewa tu kuwa STARLING Ili movie IBAMBE, au sio!!¡!!
Mkuu

Ni kweli Mungu yupo!

Lakini nahisi kuna wajanja fulani walitufanya KWA maksudi kabisa tumwelewe tunavomuelewa hivi yaani tuupate uelewa Huu kupitia vitabu tunavosoma!

Kama mkoloni ni mbaya KWENYE mambo yote hayo kihistoria anakuwaje mzuri kwetu kwenye Dini hasa Biblia na Quran!!?yaani mti ule ule uzaao shubiri inawezaje ukazaa Maembe matamu kama Biblia na Quran!!?

Hapo ndipo nilipokwama mwenzenu!!kama nikuokolewa niokolewe Hapo KWANZA!!kwamba kitabu vitabu vinavomweleza Mungu ni salama na VIZURI KWETU na vililetwa na mzungu/mwarabu aliekuwa mbaya KWETU KIHISTORIA Hadi leo!!?


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Mkuu

Ni kweli Mungu yupo!

Lakini nahisi kuna wajanja fulani walitufanya KWA maksudi kabisa tumwelewe tunavomuelewa hivi yaani tuupate uelewa Huu kupitia vitabu tunavosoma!

Kama mkoloni ni mbaya KWENYE mambo yote hayo kihistoria anakuwaje mzuri kwetu kwenye Dini hasa Biblia na Quran!!?yaani mti ule ule uzaao shubiri inawezaje ukazaa Maembe matamu kama Biblia na Quran!!?

Hapo ndipo nilipokwama mwenzenu!!kama nikuokolewa niokolewe Hapo KWANZA!!kwamba kitabu vitabu vinavomweleza Mungu ni salama na VIZURI KWETU na vililetwa na mzungu/mwarabu aliekuwa mbaya KWETU KIHISTORIA Hadi leo!!?


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Hahaa, vitabu vimetoka mashariki ya kati.

Mzungu aliviteka akaongeza yake na kutuletea.

Bt mwandishi hajafa, Yu hai ANATHIBITISHA yoote aliyosema ktk vitabu siku hizi za MWISHO.

Sisi hatusomi vitabu pekee, tunaongea na kumuuliza mwandishi daily.

Ameeeen.
 
Hahaa, vitabu vimetoka mashariki ya kati.

Mzungu aliviteka akaongeza yake na kutuletea.

Bt mwandishi hajafa, Yu hai ANATHIBITISHA yoote aliyosema ktk vitabu siku hizi za MWISHO.

Sisi hatusomi vitabu pekee, tunaongea na kumuuliza mwandishi daily.

Ameeeen.

Umejuaje kama hajafa?, is mashariki ya Kati in Dodoma where you stay?
Who brings you books, and how was the life in Dodoma before those books from mashariki ya kati.?
Unaweza kutofautisha fake ya mzungu na OG kutoka mashariki ya kati?
Who stays in mashariki ya kati?

Mashariki ya Kati kuna imani nyingi ambazo zinaaminiwa na watu tofauti tofauti, who tells you what you have is genuine.?
 
Umejuaje kama hajafa?, is mashariki ya Kati in Dodoma where you stay?
Who brings you books, and how was the life in Dodoma before those books from mashariki ya kati.?
Unaweza kutofautisha fake ya mzungu na OG kutoka mashariki ya kati?
Who stays in mashariki ya kati?

Mashariki ya Kati kuna imani nyingi ambazo zinaaminiwa na watu tofauti tofauti, who tells you what you have is genuine.?
In dodoma!!?

You know where he live!?

Ok! Sawa!!

Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA
 
dip state sio mtu mmoja, its a bunch of people with good heads, patriotic and dedicated for their nation. Huwezi kuuzidi akili umati wa watu wenye akili wewe mtu mmoja, Every mission should be agreed with all seniors with some proper research and data from the ground.

To overthrow the dip state which set and work together for many years, you need also a lot of years and will need elimination of some important critical members without being noticed one by one silently.

How many years will be taken for silent elimination of more than 200 members from different department of dip state and you become the boss with full authority and all members looks after you?, isnt fuckin easy like many of you trying to think.

Back to the topic, In dark world and vibwengo world, its two far different cases.
Its easy for vibwengoz takes at easy with their easy world but no fuckin easy thinking in dark side.

There is states which have got no dark mgt rather than fuckin vibwengo leaving easy life which have been pirated in dark and controlled in dark very dip.

Dip down thinking to all stable states which are not pirated in dark and they are the controllers of their own darkness ~ You cant take the dip state and put in your control.
Since day one of independent, the handover from British was very clear and created two darkness with the top far in dip dark and other not near from the 1st one, they are all far are part ( its long story and not these vibwengoz heads can figure out).

Thanks, cheers.
Sasa Hawa wanaweza KUWA 200 plus, na wote iko clean kichwan, na wako for benefit ya kampuni, so haya mafisadi yanayobugia pesa za uma na kutorosha nje Iyo kwao inakua Sio benefit KWa kampuni, ,
By the way sponsor wao si anakua new ceo, ? Kama ndivyo KUWA blackmailed inaweza KUWA ngum but pia simple labda usiwe na nia hiyo na hu mshamba, maana nao asali wanataka sana
Watu wanakwiba ,wanafanya mambo ya ajabu alafu eti wapo strong D.S
 
Umejuaje kama hajafa?, is mashariki ya Kati in Dodoma where you stay?
Who brings you books, and how was the life in Dodoma before those books from mashariki ya kati.?
Unaweza kutofautisha fake ya mzungu na OG kutoka mashariki ya kati?
Who stays in mashariki ya kati?

Mashariki ya Kati kuna imani nyingi ambazo zinaaminiwa na watu tofauti tofauti, who tells you what you have is genuine.?
Hahaaa Dom tena!!!! Ulipo tupo!!!! Kuna swali gumu hulijibu SAMURAI!!!

Why tuwe na strong deep state na Bado wanyama hai wakapanda ndege kimagendo?

Why USWIZI pesa zetu zinahamishwa kule, why hujuma na machozi tele Kwa members everywhere, why!!!!!
 
Sasa Hawa wanaweza KUWA 200 plus, na wote iko clean kichwan, na wako for benefit ya kampuni, so haya mafisadi yanayobugia pesa za uma na kutorosha nje Iyo kwao inakua Sio benefit KWa kampuni, ,
By the way sponsor wao si anakua new ceo, ? Kama ndivyo KUWA blackmailed inaweza KUWA ngum but pia simple labda usiwe na nia hiyo na hu mshamba, maana nao asali wanataka sana
Watu wanakwiba ,wanafanya mambo ya ajabu alafu eti wapo strong D.S

CEO ni bosi wa vibwengo, yes kuna wizi vibwengo wanaachiwa waufanye purposely, but there is the money for DS hata CEO hajuagi zinaenda wapi but is for them and all of their operation together with their partners in business including some vibwengo who safeguard their fellow vibwengo, its complicated mathematics dude. Lazima waishi vizuri au unataka uwe kama Zaire, Burkina faso, Gabon, Mali, Cameroon, Guinea nk?.

Yupo aliyewablackmail woote kuanzia DS, CEO na vibwengo wake, naye anamafungu yake na namna yake yakuyapata, its only DS know them and they sometime work together to either safeguard or bite you.
 
Back
Top Bottom