Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Wakuu episode iliendelea? Na je imefutwa mbona sioni, aliye na hii episode anisaidie tafadhali story imenipita hii
Ina sikitisha Sana mkuu yaani mtu usiku na mchana una subili hadithi una amka hamka kitu alafu Kuna watu wameisoma tayali msaada tafadhari kupata hadithi wakuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nilikua wa pili uku na zile comment zetu za "ngoja waje....mi tayari siti ya mbele"

Nikakutwa kitu kimepigwa cha utosi. Dah! Basi tena, Mzee Melo na JF kwa kweli ndo ivyo tena, wamekata stimu.

Sasa ni mwendo wa kujitoa ufahamu na kuchakata mbususu. Hayo mengine ni kujihatarishia maisha.
 
Nilikua wa pili uku na zile comment zetu za "ngoja waje....mi tayari siti ya mbele"

Nikakutwa kitu kimepigwa cha utosi. Dah! Basi tena, Mzee Melo na JF kwa kweli ndo ivyo tena, wamekata stimu.

Sasa ni mwendo wa kujitoa ufahamu na kuchakata mbususu. Hayo mengine ni kujihatarishia maisha.
Mzee embu iadithie kidogo
 
Back
Top Bottom