Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ni usiku but ni tyme nzuri kufikisha ujumbe mzuri nlionao: dark days ni story ambayo ni imaginary tu..... Yaani inazungumzia imaginary company! It is Not a trueMstory [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] it's not real just fictional!

Nlitamani Sana kuiendeleza kwa kuweka last episodes kabla ya kuintroduce the new one but naona tuishie hapo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] since hata flow yake imepotea kutokana na beautiful comments za woote mlioifatilia🥱[emoji2960]

With this statement let's put an end to this story ...... Ingawa discussion zitaendelea but pleeeeeeeease without naming people🥱[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]


Sema sasa............



Hivi mnajua new CEO kapata backup ya maaana that imempa confidence she can win this war????

Na je Hivi mnajua for the first time, born town side for a bit thought the were loosing the war???


kuna jambo laja ................... sema nini......... Ndugu wakigombana ...................

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Nawa love sanaaaaaaa: ACHA ..............IENDELEE

Tukutane December kunajambo letu[emoji102]
[emoji45][emoji20][emoji20][emoji53][emoji37][emoji19][emoji19]...
sasa mpaka dec duhh aiseeee....ok sawa hamna namna....
 
Kwa kiasi kikubwa kawezesha rafiki zake kupata umiliki wa lango.

Pk aliitamani siku nyingi. Amefanikiwa kuipata kwa kupitia mkono wa rafiki zake.


Yule Ngongoti sio wakuja mara kumi kumi kama hana jambo lake binafsi.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Duu kama KP kapata eneo letu kwa style hii basi tumekwisha. [emoji2962]
 
Duu kama KP kapata eneo letu kwa style hii basi tumekwisha. [emoji2962]
Kama naona BT alivokunja sura!!

Angalia trend hii

1.pk akaja tz.

2.jasusi mbobezi akafa.

3.Dodoma ikazinduliwa ikulu.

4.wanajeshi 244 wakafukuzwa kazini Rwanda,na waziri plus mkuu wa majeshi akatenguliwa!

5.Dp world ikachukua Bandari.

6.kumbe Dp world ILIKUA na Bandari kavu Rwanda!

7.Tetesi zinasema ceo wa Bandari tz wa dp world ni mnyarwanda jasusi la majuu!!

Tunaweza unganisha dots tukapata namma kua nani alijipanga kupindua watutsi hadi hayo mageuzi yakafanywa na pk!!!?!!Bt hajashirikiana na kampuni jirani kutaka kupindua wahima wa pk!!?


Najiuliza tu!!
 
Kama naona BT alivokunja sura!!

Angalia trend hii

1.pk akaja tz.

2.jasusi mbobezi akafa.

3.Dodoma ikazinduliwa ikulu.

4.wanajeshi 244 wakafukuzwa kazini Rwanda,na waziri plus mkuu wa majeshi akatenguliwa!

5.Dp world ikachukua Bandari.

6.kumbe Dp world ILIKUA na Bandari kavu Rwanda!

7.Tetesi zinasema ceo wa Bandari tz wa dp world ni mnyarwanda jasusi la majuu!!

Tunaweza unganisha dots tukapata namma kua nani alijipanga kupindua watutsi hadi hayo mageuzi yakafanywa na pk!!!?!!Bt hajashirikiana na kampuni jirani kutaka kupindua wahima wa pk!!?


Najiuliza tu!!
Aisee
 
Kama naona BT alivokunja sura!!

Angalia trend hii

1.pk akaja tz.

2.jasusi mbobezi akafa.

3.Dodoma ikazinduliwa ikulu.

4.wanajeshi 244 wakafukuzwa kazini Rwanda,na waziri plus mkuu wa majeshi akatenguliwa!

5.Dp world ikachukua Bandari.

6.kumbe Dp world ILIKUA na Bandari kavu Rwanda!

7.Tetesi zinasema ceo wa Bandari tz wa dp world ni mnyarwanda jasusi la majuu!!

Tunaweza unganisha dots tukapata namma kua nani alijipanga kupindua watutsi hadi hayo mageuzi yakafanywa na pk!!!?!!Bt hajashirikiana na kampuni jirani kutaka kupindua wahima wa pk!!?


Najiuliza tu!!
Najiuliza Intel hiyo inayowahusisha wanajeshi wengi kiasi hicho kuachishwa kazi kaitoa wapi?

Ni kweli wameachishwa au ni another duty in disgust?

Let's wait.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Najiuliza Intel hiyo inayowahusisha wanajeshi wengi kiasi hicho kuachishwa kazi kaitoa wapi?

Ni kweli wameachishwa au ni another duty in disgust?

Let's wait.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Naamini wamemaliza mission kusudiwa.....ila ujio wake na kifo cha Bernard uliinua maswali kichwani.
 
Abeeeee ati nini? Huwezi kuondoka hivi bana maembe yakavunwa hatujui ilikuwaje tho binafsi ina secret introduction.............nilitamani uongee chochote nilinganisge ahaaaa

Habibi mwenye viilemba vyao kichwani tiyari wako mjini dah am interested with this part loh huwezi ondoka bana.........

Ati December???........... oh!!!!

Plz change yr mind......
Naunga Mkono hoja!!!
 
Nilichogundua huu ukanda wetu huu kuendelea huwenda ni kitu kisichowezekana au kitu kisicho tokea hivi karibuni.

Hii ni kwa sababu ya mfumo wa uongozi haswa hapa kwetu.

Ni bora hata kungekuwa na sheria inayomtaka kiongozi mkuu aifute dira ya taifa ambayo itakuwa imewekwa na wataalamu wa nyanja zote .

Ifike wakati ilani za vyama zisiwe zina tumika kunadi viongozi bali vi vipi watatekeleza mpango wa taifa wa maendeleo.
 
Ndo mtu avae dira jekundu akapande ndege jamani? Kuna watu hawana damu ya kupendeza haata kidogo yaani damu ya kunguni... si mtu hata amchague fundi wake mshauri wa mavazi na rangi za kuvaa jamani?
😂😂😂😂😂😂nimecheka sana aisee ile ni khanga imeshonwa mtindo wa dira.... yani calm down naona kwenye upande wa mavazi mmhhu pana kazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sana aisee ile ni khanga imeshonwa mtindo wa dira.... yani calm down naona kwenye upande wa mavazi mmhhu pana kazi
Yees. Khanga ile. Halaf sijui nimewahi muona nani anayo home. Kwanza ile rangi ni uchafu. Am not a stylist lakini hapana. Ule ni uchafu. Hata kama ni kutangaza mavazi lile hapana. Puuh mbaka. Kwanza rangi nyekundu siipendi. Kama mganga wa kienyeji
 
Yees. Khanga ile. Halaf sijui nimewahi muona nani anayo home. Kwanza ile rangi ni uchafu. Am not a stylist lakini hapana. Ule ni uchafu. Hata kama ni kutangaza mavazi lile hapana. Puuh mbaka. Kwanza rangi nyekundu siipendi. Kama mganga wa kienyeji
Wewe!!..
 
Back
Top Bottom