Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Sawa kiongozi, kingine kwani huko kwenye team yake anaulizwa maswali magumu sana?

Hapana. Maswali anaulizwa ni wanaomuwinda. Na sio maswali kama ufikirivyo.

Mf. Kipindi cha Late CEO aliulizwa maswali magumu mengi ikiwemo kutupiliwa mbali mikataba fisadishi, na miradi yake mingi ya uchotaji mifedhwa ilipigwa pini. Sasa swali hapo ni nitairejeshaje mikataba yangu, ?! Miradi yangu nitairejesha vipi unnoticed with majority? Haya ndio aina ya maswali.

Hata sasa anguko la Dodo ni swali zito kwake. Nani yupo nyuma ya hili? Is it a natural death? If not who draft the whole mission?

Hii ndio namna ya maswali aulizwayo.
Huko kwenye team yake sidhani kama anapata maswali magumu kwani, kwa inavyoonekana mwamba ni jasusi haswa, mtandao wake hauingiliki kiwepesi. Huko anawamudu japo kwenye team msaliti lazima awepo.

Hope nimekujibu kwa kiasi.
 
The MoNA wewe ni mwl wangu mzuri unanipa nuru fulani, mkuu hivi Team Edo bado ipo na kama ipo kwa sasa ipo upande upi? Upande wa BT, Bush Stars au Mkojani Fc?
Kingine vipi R Azizi yuko timu ipi?

Karibu mkuu najaribu kujibu kwa kiasi tu mkuu:

Team Edo ipo team huwa azifi zinahama hama tu kwenye maslahi.
Na kwa namna hali ilivyo, unafikir Edo alirudi nyumba bure bure? Hapa yule na BT walisukuma kete moja kumuondoa late CEO kwani aliwaminya haswa kwenye mambo yao. Edo ndio master mind wa mikataba na upigaji haswa na mwenye jicho ka fursa za kampuni hii. Bt kamtumia sana Edo kumfanikishia safari ya kuishaka kampuni kwa makubaliano baada yake ataingia yeye.

Edo akazungukwa vibaya na BT, na hii ndio ilikuwa kete kubwa ya BT kwa Edo, kwani Edo angeshika kampuni ulaji wa BT ungekuwa shakani, kwani anamjua Edo kwenye kusuka mipango na kuziona fursa. Mpaka anastaafu zengwe lile alitengenezewa na BT, akaamua kujiondoa fasta asiharibu mambo. Uzuri BT anajua kula na kipofu hakumbana kila mahali kuna maeneo na ulaji alimuachia.

Kwa hali ilivyo, huyu Edo anaijua kampuni vizuri sana na anamjua BT vizur sana. Na huenda yeye anawindana na BT kwani BT ni kama anawazidi kete kwenye ulaji.
Edo na Aziz ni waenda pole na wanasikilizia upepo upo vipi. Kwa mujibu wa riwaya hii, hamna mahali inaonesha wamehitilafiana pakubwa, ila kwa aliyofanyiwa na BT sijui kama atakuwa nae sawa. Ila kwa niamivyo bado wapo mtu tatu BT, Mr. Edo na Mista fursa Aziz, kutokana na kipengele kimoja wapo cha riwaya hii kilionesha wapo pamoja.
 
Rost tamu nadhani yuko team BT maana timu Edo nadhani haina nguvu sana kwa sasa baada ya muasisi wake kuwa mgonjwa kwa muda mrefu maana ni kama team hizi zinajisahau sana zinakuwa na main character tu anapoondoka kundi linabaki kama halina mtu. Fikiria kwa mfano leo BT atoweke unadhani kuna mtu strong wa kusimamia hiyo gang, ni kama hayupo mpaka wajipange upya tena kumuweka wa kuiongoza.

Hivyo ndivyo hutakiwa mkuu. Mkiwa two big bulls ndio mafarakano kama kwa BT na Mr white haired.

Huenda Team Edo Imeridhika na mgawanyo and they have nothing left to fight for.

Vita kubwa ipo kwa hawa wenye wana waliopo vitengo, nani atangulie kushika kampuni?? Hawaaminiani hivyo kila mtu anataka mwana akae amlinde, huku akiwa na wasi wasi akishika asiyewangu anaweza kuniunguza.
 
Karibu mkuu najaribu kujibu kwa kiasi tu mkuu:

Team Edo ipo team huwa azifi zinahama hama tu kwenye maslahi.
Na kwa namna hali ilivyo, unafikir Edo alirudi nyumba bure bure? Hapa yule na BT walisukuma kete moja kumuondoa late CEO kwani aliwaminya haswa kwenye mambo yao. Edo ndio master mind wa mikataba na upigaji haswa na mwenye jicho ka fursa za kampuni hii. Bt kamtumia sana Edo kumfanikishia safari ya kuishaka kampuni kwa makubaliano baada yake ataingia yeye.

Edo akazungukwa vibaya na BT, na hii ndio ilikuwa kete kubwa ya BT kwa Edo, kwani Edo angeshika kampuni ulaji wa BT ungekuwa shakani, kwani anamjua Edo kwenye kusuka mipango na kuziona fursa. Mpaka anastaafu zengwe lile alitengenezewa na BT, akaamua kujiondoa fasta asiharibu mambo. Uzuri BT anajua kula na kipofu hakumbana kila mahali kuna maeneo na ulaji alimuachia.

Kwa hali ilivyo, huyu Edo anaijua kampuni vizuri sana na anamjua BT vizur sana. Na huenda yeye anawindana na BT kwani BT ni kama anawazidi kete kwenye ulaji.
Edo na Aziz ni waenda pole na wanasikilizia upepo upo vipi. Kwa mujibu wa riwaya hii, hamna mahali inaonesha wamehitilafiana pakubwa, ila kwa aliyofanyiwa na BT sijui kama atakuwa nae sawa. Ila kwa niamivyo bado wapo mtu tatu BT, Mr. Edo na Mista fursa Aziz, kutokana na kipengele kimoja wapo cha riwaya hii kilionesha wapo pamoja.
Duuuuh sawa kiongozi shukurani sana, ila Edo ana moyo mkuu sana maana aliyotendwa na BT ni hatari sana kushinikizwa kujiuzulu na afya pia huenda walimchokonoa mzee wa watu hadi leo hayuko sawa.
 
Duuuuh sawa kiongozi shukurani sana, ila Edo ana moyo mkuu sana maana aliyotendwa na BT ni hatari sana kushinikizwa kujiuzulu na afya pia huenda walimchokonoa mzee wa watu hadi leo hayuko sawa.

Edo hakuonesha interest ya kutaka zaidi nafikiri kuna ulaji aliupata zaidi ya kiti akaamua kutulizana..!!!
 
I so much agree with u. Unajua hata hawa tunaowaona wajinga si kweli. Ni siasa tu za kiafrica. Ni kama mawakili wa serikali. Yes. Inawezekana kbs hawa wa upinzani wanawaoutshine wa serikali lkn si kwamba wa serikali ni wajinga kama wengi wafikiriavyo. Kibatala always says TO BE THE BEST BE THE OPPONENT. So huwa inawajenga zaidi. Ni vile serikalini wako flexible. Siasa zinatuharibia sana watu wetu jamani. Speaker is very smart. Watu wa calibre yake achana nao kbs. Wako naturally beauty. Ila kikavazi nina pesa ningetungua magauni kama 20 hv ama 30 ya uturuki basi. Apendeze zaidi ya hapa jamani
Kwani jamani rais wa Ukraine mavazi yake yakoje?
 
Hapana. Maswali anaulizwa ni wanaomuwinda. Na sio maswali kama ufikirivyo.

Mf. Kipindi cha Late CEO aliulizwa maswali magumu mengi ikiwemo kutupiliwa mbali mikataba fisadishi, na miradi yake mingi ya uchotaji mifedhwa ilipigwa pini. Sasa swali hapo ni nitairejeshaje mikataba yangu, ?! Miradi yangu nitairejesha vipi unnoticed with majority? Haya ndio aina ya maswali.

Hata sasa anguko la Dodo ni swali zito kwake. Nani yupo nyuma ya hili? Is it a natural death? If not who draft the whole mission?

Hii ndio namna ya maswali aulizwayo.
Huko kwenye team yake sidhani kama anapata maswali magumu kwani, kwa inavyoonekana mwamba ni jasusi haswa, mtandao wake hauingiliki kiwepesi. Huko anawamudu japo kwenye team msaliti lazima awepo.

Hope nimekujibu kwa kiasi.
Hakika umenijibu mkuu, " ....anguko la Dodo ni swali zito kwake. Nani yupo nyuma ya hili? Is it a natural death? If not who draft the whole mission?"
Na BT ana mtaji wa watu wengi sana, kuna yule CEO mstaafu wa taasisi yetu pendwa TIZZ enzi za utawala wake BT, kuna yule wa Scotland Evalist Chaheli nk nk.
 
Tumia Akili deleted thread[emoji119] ina reflect ujumbe wa Yoga kurudi December.

Wacha inyeshe

Wakuu

Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.

Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.

Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.

Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".

Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".

Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.

Just a few days.
theState.
 
Tumia Akili deleted thread[emoji119] ina reflect ujumbe wa Yoga kurudi December.

Wacha inyeshe

Wakuu

Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.

Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.

Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.

Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".

Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".

Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.

Just a few days.
theState.
🌹🌹🌹🥰
 
Inaendelea.......

60 days before the dark days ........

(Flash back)

Someone called the boss na kumwambia you are in danger, some people are planning to take you out! Hawako na furaha ya hiki unacho fanya! Boss kama kawaida yake kujiamini sana, anadai yeye anaprotection ya kutosha, and if, alisalimika last time akiwa kama cashier wa kampuni ni urongo na upuuzi akiwa the CEO kuwa termineted!!

The boss anaamua kuongeza udukuzi kwa adui zake, lengo awaumbue kumbe they knew and walimpa alichotaka asikie but behind the corridor unyeti wa mambo unaendelea

Kosa kubwa ni kumundermine the old boss A.K.A the king maker!! So the old boss alijua kuna the old CEO kabla yake ambaye ndie alimtengeneza huyu CEO wa sasa. Hata wakati wa mapendekezo tha CEO aliinsisit huyu CEO apewe nafasi kuinusuru kampuni!! Na inavyo onekana huyu ndie behind the scene director wa the existing CEO

They called a meeting, involving one of his closest top security friend from the company! And then come up with targets chart board! Ile bord ilikua ikimuonesha the new boss na subordnates wake wooote wanaompa kiburi

Wakati huo, big boss na yeye akiwa hajui akaona am cut off totaly old boss in the company, aka select new secretary akamuondoa the old one, then na new public relation officer, wote wakiaminika hawakuwahi kuwa ndani ya kampuni!! Maswali kwa wafanyakazi wa chini walio dhani wana opportunity ya kuchukua hizo nafasi yakaanza but hofu iliyafanya yapoteee

The top security na vijana wake waka-identify targets wao na kupewa go ahead, but before anything kulikuwa na a very deep informer direct kutoka kwenye meza ya new boss!![emoji16][emoji16]

bwana weee!!
Wakaanza na yule old CEO, pitanaye in a way no one noticed!

Big boss was shorked and hakuamini! He was told he died from a normal death! One thing he didnt know is that, inside the office kuna mtu alikuwa anatoa taarifa kwa the old boss, na huyu mtu ni mtu wake wa karibu sanaaa!

The new boss ameshahangaika kumjua huyu mtu but amefail several times. Huyu mtu ndio alitoa time table ya the old CEO anaye aminiwa na new CEO wapi watakutana so that the agent responsible for the assasination can do his job!! [emoji849][emoji2957]

Huyu mtu ndie anaetoa taarifa kwa the old CEO timetable nzima ya the big boss, anakula nini, amelala saa ngapi, anafanya nini, anawaza nini na maamuzi yake ni yepi, sababu mtu huyu alitokea kuaminiwa sana na the big boss in town[emoji16][emoji16]


So how did they terminate mzee muibua kipaji cha CEO[emoji41][emoji22]......................

Who is the deep informal...... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
Roman 12- 17-21

"17 Do not repay anyone evil for evil. Be careful to do what is right in the eyes of everyone.

18 If it is possible, as far as it depends on you, live at peace with everyone.

19 Do not take revenge, my dear friends, but leave room for God’s wrath, for it is written: “It is mine to avenge; I will repay,”[a] says the Lord.

20 On the contrary:
“If your enemy is hungry, feed him;
if he is thirsty, give him something to drink.
In doing this, you will heap burning coals on his head.”[b]

21 Do not be overcome by evil, but overcome evil with good"

Ipo siku Mwenyezi Mungu atalipa kisasi. Muda mwalimu mzuri
 
Hakika umenijibu mkuu, " ....anguko la Dodo ni swali zito kwake. Nani yupo nyuma ya hili? Is it a natural death? If not who draft the whole mission?"
Na BT ana mtaji wa watu wengi sana, kuna yule CEO mstaafu wa taasisi yetu pendwa TIZZ enzi za utawala wake BT, kuna yule wa Scotland Evalist Chaheli nk nk.

He has inner and big roots. He is a bao bao. It needs machine to let it down.

Let BT be like a bao bao tree
 
Tumia Akili deleted thread[emoji119] ina reflect ujumbe wa Yoga kurudi December.

Wacha inyeshe

Wakuu

Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.

Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.

Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.

Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".

Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".

Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.

Just a few days.
theState.

Kwa ku connect dot. Mission ilikuwa BT aondolewe kwa msaada wa team tatu

New CEO
Late CEO
and
PK

Then after BT has been eliminated next is PK, the late CEO team. Hiyo code ya PJLK naona inamuhusu BT & PK at once. Labda tayar kuna uwezekano wa kuondolewa wote kwa pamoja baada ya anguko la dodo.

“Desert mission”
 
Kwa yoyote anayejua yoga mara ya mwisho aliishia wapi kuachia episode yake a-quote hicho kipande halafu anitag..........kiukweli nitashukuru sana

YOGA
Ni usiku but ni tyme nzuri kufikisha ujumbe mzuri nlionao: dark days ni story ambayo ni imaginary tu..... Yaani inazungumzia imaginary company! It is Not a trueMstory [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] it's not real just fictional!

Nlitamani Sana kuiendeleza kwa kuweka last episodes kabla ya kuintroduce the new one but naona tuishie hapo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] since hata flow yake imepotea kutokana na beautiful comments za woote mlioifatilia🥱[emoji2960]

With this statement let's put an end to this story ...... Ingawa discussion zitaendelea but pleeeeeeeease without naming people🥱[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]

Sema sasa............

Hivi mnajua new CEO kapata backup ya maaana that imempa confidence she can win this war????

Na je Hivi mnajua for the first time, born town side for a bit thought the were loosing the war???

kuna jambo laja ................... sema nini......... Ndugu wakigombana ...................

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Nawa love sanaaaaaaa: ACHA ..............IENDELEE

Tukutane December kunajambo letu[emoji102]
 
Tumia Akili deleted thread[emoji119] ina reflect ujumbe wa Yoga kurudi December.

Wacha inyeshe

Wakuu

Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.

Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.

Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.

Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".

Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".

Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.

Just a few days.
theState.
Kwahyo mwaka huu
Pk au Jk
Mmoja analamba nyasi? Au wote?
 
Huu ukurasa haupo kwenye huu uzi mkuu
mbona nimesha kupatia mkuu
Screenshot_20230630-194334.jpg
 
Back
Top Bottom